Silaha za Urusi ni bora kuliko za Marekani, ni kimbilio la mataifa mengi kuanzia sasa

Niamini mimi, ile safari ya Mais wa Ujerumani, Ufaransa, Italy na Romania kwenda Ukraine ni kwa lengo la kusitisha mapigano, yaani wamekwenda kumwambia Zelensky aache utoto atakufa bure na miji yake itaendelea kupondwapondwa na Mrusi.
Bora waombe POO😂😂😂😂😂
 
#Iran and #Russia signed a memorandum of understanding today concerning the establishment of mutual trade centers. https://t.co/6TBlycD3zW

One center will be located in the Iranian capital, Tehran, and the other in Russia’s Baltic port city St. Petersburg. They will facilitate trade between the two countries in the energy, transportation, electronics, agriculture, food, pharmaceuticals and construction sectors.
 
Hujataka kuandika maelezo marefu, short and clear. Umeeleweka vyema kabisa. NATO ndio mwenye maamuzi juu ya vita hii. Hatujui NATO anawaza nini ila kile anachokitaka kitatimia tu.
 
Watu wanataka ubora wa silaha wewe unaleta uwingi
PUA NATO
Ubora!! damn man!!

Air superiority Stealth technology??

F22 raptor (US) vs Su-37(russia) ???

Though f22 is older, achana na kila kitu including size, weight, speed, missilies used, payloads, range, ceiling height, etc

Consider one criteria, their radar technology.

RCS: F22 0.001 msq wakati RCS ya SU-37 ni 0.1 msq

This means at 500km range in a war fight, F22 sees you as a plane and shoots you down first while at 500km range, SU-37 anamuona F22 kama kandege au nyuki au ball bearing sababu ya Radar cross section area, RCS.

In a more clear way,
Range ya S-400 ni km 400, s400 inaona aircraft zenye RCS 4 so inaweza kumrecognize f22 at <30km bila jamming za f22 ah EW au any assistance.

On the other hand f22 inaweza ku geolocate s400kwa umbali wa <110km and shoot a missile.

With F22 na F-35 and B-2 kama 100 hivi USA anaweza kumiliki anga lako within hours uku ukiwa bize na Abraham tanks on the ground.


USA ana F22 like 184+, russia like 12 hivi. Kwahiyo ndani ya saa chache US anamiliki nhi yako kutoka angani.


Forget F35-lightning II, B-2 bomber stealths fighters!!
 

Majenerali kufa. idadi mbaya ya askari kufa mashambulizi ya kiholela kushindwa kuichukua kyiv.
matumizi ya javelin dhidi ya maelfu ya vifaru.
ni ushahidi tosha.
hizi porojo hazitakusaidia istoshe fatilia soko la silaha Duniani mwaka 2021/2022 zimetoka ingia mtandaoni utaona
 
Hujataka kuandika maelezo marefu, short and clear. Umeeleweka vyema kabisa. NATO ndio mwenye maamuzi juu ya vita hii. Hatujui NATO anawaza nini ila kile anachokitaka kitatimia tu.
Mkuu unaikuza mno NATO, NATO inashindwa vita na vinchi Kama Vietnam na afghastan itaonandani kwa Russia 🤣🤣🤣‼️
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na mtaliban na Belarus
 
Urusi inayojifanya Ina mifumo mizuri pride yake Moskva ingepitiwa kirahisi na wa Ukrein [emoji1]
 
We unataka asemeje yaani upoteze Maelfu ya wanajeshi, upoteze Generals wakutosha, upoteze meli ya ma million ya Dollars, upoteze Tanks, Armed cars,afu useme special operation, Tena kwa miezi 3, bado unapambana
 
Labda akiwa anapigana na LIBYA kama yote hayo anayo anangojea nini kuwahami wa UKRO NAZI kama alivyofanya kule LIBYA nk
Hapo UKRONAZI waliiomba hio No Action Talk Only (NATO)
waeke No Fly Zone mpaka leo umeona nini !!?
Ukitoa kifo NATO wanaiogooa RUSSIA kuliko chochote kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…