Coach nae kihiyo tu..Bora hata wacheze Onyango na Inonga- Wawa ameishachoka jamani mipira ya juu haruki- kule mbele ndio kabisa - Bocco kachoka- Dilunga kachoka- Kagere kachoka- Mugalu hakuna kitu- waliosajiriwa nao hakuna kitu- shabalala na Kapombe nao shida- kwa kweli uongozi kazi wanayo.
Ubishoo mwingi umetugharimuSimba ni wapumbavu ,uwezo wanao Ila wanaleta show game
Pole mdau...ndio mpiraNajuta hata kuja kuangalia Mechi bora ningekaa nyumbani nipike, maumivu niliyonayo Mungu anajua.
Mechi ya Leo kali Sana, Simba vs Kifwamba
Sahihi lakini kitu chenyewe kinacheua uji....Kachomwa na kitu chenye ncha kalii
Simba are not done kumbe. Nilidhani hii kauli iliwalenga Galaxy. Hata hivyo Simba wametolewa "kiume"!jumla ya mabao 3-3 huku Jwaneng Galaxy w
Chief katika watu ni wazendo mimi ni mojawapoKuweni wazalendo bhana !
Tukitolewa leo baadhi ya wachezaji wakatafute timu mpya
WanaSimba tuweni Watulivu, Mpira ndivyo ulivyo kwa maaana ya kuwa na Matokeo Katili zaidi ya Nyati mwenye jeraha. Tumefurahi pamoja hatuna budi kuhuzunika pamoja kwa utulivu. Tukubali utani kama ambavyo huwa tunatania wenzetu hatuna budi kupunguza munkari.
Poleni WanaMsimbazi.
Sidhani, hao kina Banda, Sakho, Nyoni, Kanoute, Inonga.... Hawa wamepiga hela mdefu ila ni magalasaaaUwekezaji kwa wachezaji umepewa bajeti ndogo sana msimu huu
Siyo Siri mkosi ulianzia hapoView attachment 1985534
Huyu ndiye mchawi wenu, mnaleta hata mashoga kwenye timu
Huyu mkimruhusu azungumzie taasisi yenu mmekwishaSiyo Siri mkosi ulianzia hapo