Ñashangaa mtu kama Kennedy anakaa benchi dakika tisini ....mechi ambayo unaona upepo ushabadilika.....Kuna Mda kocha Unamshangaa sanaa, Na Nitashangaa Simba Wasipo Mtimua Huyu Kocha.
Kapombe kachokaa hawezi tena mpira anafanya Sub za Kipuuzi saana
Kwani Mwamedi anasemaje?Tukitolewa leo baadhi ya wachezaji wakatafute timu mpya
Ni kweli na mtashinda kwenye marudio usikuHatari na sana. Muwe mnatupa updates wengine tutaangalia marudio usiku
Ni kweli kabisaMpaka hapa simba kaisha ifanya Tanzania ku gain point 0.5 katika rank za soka duniani
Kwani Mwamedi na Mwijaku wanasemaje kuhusu hilo?Mwakilishi pekee wa Afrika mashariki na Kati ikiwemo Kongo
Wapumbav haoSimba badala ya kusajili wachezaji mlisajili magari, mechi za ligi zenyewe zimewawia ngumu mmebakia kuituhumu Yanga inahonga timu pinzani, Galaxy nao wamehongwa na Yanga.
Ni kweloooMashindano haya na simba ni vitu viwili ambavyo vimezoeana sana, ni kama bigijii na Alex ferguson
Ndio ndio nakupa Kolo 3/1Wakati wengine wakikomalia kubadilishiwa logo ya NBC, simba inafikiria hii fainali itakutana na nani
Na ligi kuu inafikiria ni mkono gani mwaka huu wautumie kupokelea kombe
Kwa Nini? Kuna Nini kimetokea,acha hizo mkuuNdio hivyo tena kesho ni mapumziko watoto wetu hawatoenda shule,jamaa wamechezea za uso mchana kweupe na taa zimewashwa
Ushamaliza kumpepea Mwamedi?Utopwinyo wote mngeuwawa tu,hamna faida yeyote
Kweli kabisaLeo simba Hadi Sasa wamecheza mpira mzuri, hata kama wengekuwa hawajafunga goli.. burudani imeonekana