fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafanikio yao yalikuwa ya chupli chupliKwani simba ilishakua na mafanikio gani makubwa hili mashabiki waumie kiasi hicho chakutaka wachezaji wapigwe risasi.Tusijipaishe sana kuliko uhalisia.Safari ya simba kufikia mafanikio makubwa haiwezi kua kwa kipindi kifupi hivi.Yaani ndani ya miaka 4 uwe timu yakutisha,sio kirahisi kihivyo.Hizo hatua tulizokua tunafika nikwasababu Timu nyingi kubwa Afrika zimepoteza viwango na sisi kwasehemu kubwa tulikua tunakutana za timu za size yetu,kwahiyo tumekua tukienda kinamna namna hivyo hivyo.Chamsingi ni wahusika wajenge timu itakayokua na spirit ya ushindani.
Kaamua kutumia jina la mama yake, Efua ni jina la mama yakeHivi Morrison ndio Efua?
Na ndiyo timu pekee iliyofungwa kwenye uwanja wa nyumbani kwake kwenye hiyo michezo ya mwisho!Mazembe ajafungwa nyumbani Ila katolewa kwa goli la ugenini. Ugenini 0-0 Lubumbashi 1-1. Simba licha ya kutolewa kwa goli la ugenini Ila imefungwa kwa Mkapa.
Mkuu ushakula BAN?? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nile ban tu. [emoji36][emoji36][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuuMkuu ushakula BAN?? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Inaelekea ulivurugwa sana... Leo relax usijipe matumiani kuwa mtaifunga Yanga, maana ikitokea mmefungwa utavurugwa zaidi ya Jwaneng
Mkuu kweni wewe ni utopolo?Inaelekea ulivurugwa sana... Leo relax usijipe matumiani kuwa mtaifunga Yanga, maana ikitokea mmefungwa utavurugwa zaidi ya Jwaneng
Tamka kwa nguvu wasikieMnakula 3 mikia..