Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

Simba ile nauli waliotumia kuendea Botswana hata wangewapatia Biashara watumie kwenda Libya. It's very pathetic.
 
Mara nyingi makocha hupata maujiko ya bure kuwa wanajua kufundisha kumbe ni vipaji binafsi vya wachezaji simba ilikuwa inabebwa na LUIS na CHAMA na sii makocha

Hii inanikumbusha nilipokuwa A level kuna liticha fulani litanzania lilikuwa linafundisha biology na lilikuwa haliingii darasani na likiingia hatulielewi linatumia vine and reez tulisoma wenyewe kwa jitihada kubwa tulifaulu sana na somo hilo tuliongozs teacher magumash akapewa zawadi teacher bora
 
Nimeamua kuchukua break ya kupumzisha moyo wangu nilifanya hivi kwa arsenal and it worked out leo arsenal ifunge ifungwe mi poa tu.

Moyo umeuma sana aisee unashabikia kwa moyo watu wanauza game kama ile ya south ya kaizer chiefs kesho unasikia tu zimbwe kafungua duka anauza samaki wa baharini.

Boko kamvua mtu jumba Tabata Manula kanunua jumba kubwaaa waseeeeenge nyie kama hela zenu za halali mbarikiwe kama mnauza mechi mlaaniwe na vizazi vyenu na wastaafu kina wawa wanachukua rushwa za mwishomwisho
 
Hakuna timu isiyofungwa duniani, na mara nyingi unapofungwa unapata cha kujifunza.
Usikate tamaa Simba bado ipo katika mashindano ya Shirikisho na tutafika Makundi.
Mpira ndivyo ulivyo
A.S. Vita katolewa kabisa.
T.P Mazembe naye kashuswa Shirikisho na Amazulu tena kafungwa Nyumbani kama Simba.
 
Nimeamua kuchukua break ya kupumzisha moyo wangu nilifanya hivi kwa arsenal and it worked out leo arsenal ifunge ifungwe mi.poa tu
Moyo umeuma sana aisee unashabikia kwa moyo watu wanauza game kama ile ya south ya kaizer chiefs kesho unasikia tu zimbwe kafungua duka anauza samaki wa baharini,boko kamvua mtu jumba tabata manula kanunua jumba.kubwaaa waseeeeenge nyie kama hela zenu za halali mbarikiwe kama mnauza mechi mlaaniwe na vizazi vyenu na wastaafu kina wawa wanachukua rushwa za mwishomwisho
Nikweli mkuu wameuza ila kitu cha muhimu udhaifu umeonekana naamin tunayo nafasi nyingine kombe la shirikisho take it simple mkuu usikate tamaa kila kitu kitakaa sawa tu
 
Hakuna timu isiyofungwa duniani, na mara nyingi unapofungwa unapata cha kujifunza.
Usikate tamaa Simba bado ipo katika mashindano ya Shirikisho na tutafika Makundi.
Mpira ndivyo ulivyo
A.S. Vita katolewa kabisa.
T.P Mazembe naye kashuswa Shirikisho na Amazulu tena kafungwa Nyumbani kama Simba.
Mazembe ajafungwa nyumbani Ila katolewa kwa goli la ugenini. Ugenini 0-0 Lubumbashi 1-1. Simba licha ya kutolewa kwa goli la ugenini Ila imefungwa kwa Mkapa.
 
kwa namna wachezaji walivyocheza jana,ilitakiwa wapigwe risasi hadharani kabisa. Hivi hawajui kuna mashabiki ambao hawalipwi chochote na wamewekeza muda na upendo kwa timu?!
This is very disappointing ase.
 
Back
Top Bottom