Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Kweli Simba, Barca & sasa Man U. Siku inazidi kuwa mbayaMan U nayo inapigwa siku mbaya ni siku mbaya tu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Simba, Barca & sasa Man U. Siku inazidi kuwa mbayaMan U nayo inapigwa siku mbaya ni siku mbaya tu!!
And the other way around,it's true.Furaha ya yanga inategemea na kushindwa kwa simba
Hapa mkuu umenifumbua macho. Makolo walikuwa kumbe janjajanja!!! Unaweza kuwa sahihi mkuu, kwani kuna uwezekano mfadhili mkuu ndiyo maana alikimbia majukumu ya uongozi baada ya kugundua hakuna janjajanja msimu huu. Ha ha haaa!haijacheza ligi kwa sababu Ligi ya Botswana imesimama tangu mwaka jana!
Ahsante kwa utabiri, usisahau kumlipa mganga wako stahiki zakeMnakula 3 mikia..
Mechi inayofata ni totenham nadhani. Sidhani kama atabaki.Man u wabadilishe kocha.Timu ni nzuri ila mwalimu kaishindwa.sasa sijui uongozi unamwogopa kwa heshima ya sir.Alex au shida nini.
Okay ngoja nikupe faida ya wasiwasi kuwa umefanya uchunguzi haraka na vizuri.Kilichotokea ni matokea tu ya uwanjani.ukifanya uzembe lazima uadhibiwe wala hakukua na hayo unayoyasema.
[emoji23][emoji23][emoji23] kolo kama koloFuraha ya yanga inategemea na kushindwa kwa simba
Nakusalimu kwa jina la jamuhuri ya watu wa Utopolo....Kama nawaona utopolo wanavyotamani maajabu yatokee
Tehe tehe teheGroup stage Simba tunawataka Al Ahly Esperance de Tunis.
Unajua Barbara kajichekesha chekesha sana kule CAF... sasa mtoto wa kike kwa mwanaume ni mtoto wa kike tu!! Na kwavile CAF walishashtukia janja janja ya Makolo, ndo wakaamua kuwatumia ujumbe wa kuiadhibu Yanga huku wakisema "haya matukio yanatokea mara kwa mara"!!Hapa mkuu umenifumbua macho. Makolo walikuwa kumbe janjajanja!!! Unaweza kuwa sahihi mkuu, kwani kuna uwezekano mfadhili mkuu ndiyo maana alikimbia majukumu ya uongozi baada ya kugundua hakuna janjajanja msimu huu. Ha ha haaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1362]And the other way around,it's true.
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba tulipangiwa katimu kepesi mnoo [emoji16]
Mdomo wenu mpana kama bakuli la kanisa la sadaka... Mweke akiba ya manenoWakudeka SC njooni mlalamike Simba anabebwa kumbe Simba ndio anawabeba nyie.
Ni kichapo day.Baadae Man Utd tunafungwaaaa weekend inaisha vibayaaa
Dua la kuku limempata Mwewe.Mnakula 3 mikia..