Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nao tuliwafunga kwao.Mazembe ajafungwa nyumbani Ila katolewa kwa goli la ugenini. Ugenini 0-0 Lubumbashi 1-1. Simba licha ya kutolewa kwa goli la ugenini Ila imefungwa kwa Mkapa.
Wewe na soli ya kiatu mnakanyagwaNimeamua kuchukua break ya kupumzisha moyo wangu nilifanya hivi kwa arsenal and it worked out leo arsenal ifunge ifungwe mi.poa tu
Moyo umeuma sana aisee unashabikia kwa moyo watu wanauza game kama ile ya south ya kaizer chiefs kesho unasikia tu zimbwe kafungua duka anauza samaki wa baharini,boko kamvua mtu jumba tabata manula kanunua jumba.kubwaaa waseeeeenge nyie kama hela zenu za halali mbarikiwe kama mnauza mechi mlaaniwe na vizazi vyenu na wastaafu kina wawa wanachukua rushwa za mwishomwisho
Hakuna kocha anayemfundisha mtu kucheza mpira.makocha wanatoa maelekezo yakutumia uwezo ulionao pamoja nakufundisha mbinu za mpira na displine.mpira unazaliwa nao.kama huna mguu wa mpira utakesha kufundishwa labda utaishia kwenye kujua danadana.Mara nyingi makocha hupata maujiko ya bure kuwa wanajua kufundisha kumbe ni vipaji binafsi vya wachezaji simba ilikuwa inabebwa na LUIS na CHAMA na sii makocha
Hii inanikumbusha nilipokuwa A level kuna liticha fulani litanzania lilikuwa linafundisha biology na lilikuwa haliingii darasani na likiingia hatulielewi linatumia vine and reez tulisoma wenyewe kwa jitihada kubwa tulifaulu sana na somo hilo tuliongozs teacher magumash akapewa zawadi teacher bora
Kwani simba ilishakua na mafanikio gani makubwa hili mashabiki waumie kiasi hicho chakutaka wachezaji wapigwe risasi.Tusijipaishe sana kuliko uhalisia.Safari ya simba kufikia mafanikio makubwa haiwezi kua kwa kipindi kifupi hivi.Yaani ndani ya miaka 4 uwe timu yakutisha,sio kirahisi kihivyo.Hizo hatua tulizokua tunafika nikwasababu Timu nyingi kubwa Afrika zimepoteza viwango na sisi kwasehemu kubwa tulikua tunakutana za timu za size yetu,kwahiyo tumekua tukienda kinamna namna hivyo hivyo.Chamsingi ni wahusika wajenge timu itakayokua na spirit ya ushindani.kwa namna wachezaji walivyocheza jana,ilitakiwa wapigwe risasi hadharani kabisa. Hivi hawajui kuna mashabiki ambao hawalipwi chochote na wamewekeza muda na upendo kwa timu?!
This is very disappointing ase.
Tuombe radhi.Wakudeka SC njooni mlalamike Simba anabebwa kumbe Simba ndio anawabeba nyie.
Jina jipya mjini ni Bata fcAmesikika MSUKULE akiomba Mechi na Simba....! Aache Wanaume wapambane. Muda utafika.
Ni nani alimpatia jina La Msukule? Ni Jerry Muro au NUGAZ?
Yanga wanajipatia Majina Wenyewe alafu Yana click..!!
Hivi yule mchezaji anaitwa Wonder Kid alicheza jana?Nimeumia sana
Tuliwaambieni hamna timu mkabisha, mara pre-season ya mwezi na mauzauza kibao, hii timu inaweza kushuka daraja.Huyu bwalya ni mtu na nusu alivyoipiga waaaah kitu
HujakoseaRivers United ya Botswana
Bata fcGalaxy wangeyajua haya si wangewakopesha tu biashara nauli yao kuliko kuja kuipoteza kwa Mkapa?
Unasemaje?Utopolo utawasikia ooh hii timu mbovu..? Hahaah haya maji ya kina kirefu uto mkae kimya tu maana simba ndio wataalam wa hizi mambo
Ukweli mchunguKwani simba ilishakua na mafanikio gani makubwa hili mashabiki waumie kiasi hicho chakutaka wachezaji wapigwe risasi.Tusijipaishe sana kuliko uhalisia.Safari ya simba kufikia mafanikio makubwa haiwezi kua kwa kipindi kifupi hivi.Yaani ndani ya miaka 4 uwe timu yakutisha,sio kirahisi kihivyo.Hizo hatua tulizokua tunafika nikwasababu Timu nyingi kubwa Afrika zimepoteza viwango na sisi kwasehemu kubwa tulikua tunakutana za timu za size yetu,kwahiyo tumekua tukienda kinamna namna hivyo hivyo.Chamsingi ni wahusika wajenge timu itakayokua na spirit ya ushindani.
Midomo ndio inawaponzaHamna watu wanaomba Simba ifungwe kama hawa vyura. Yani hata hao Jwaneng hawana roho mbaya kama hawa tulioshare damu kwnye koo huko
Mkuu[emoji1783][emoji1783]Ushindi wa Simba ni nje ndani, wale wapuuzi wa Jangwani wamepigwa nje ndani wametia nuksi nchi kima wale.
Pre season ya mwezi Morocco haijafanya kazi?Tunahitaji kujenga timu upya, hamna shortcut
Huko nako kuna mtoano mwingine, kwa Simba hii mnaenda kukamilisha ratiba tu.Nyieeee UTOPOLO sikilizeni sisi tunaenda zetu Shirikisho, nyie mnaenda wapi???
Mara paaap Simba vs Rs Berkane kwenye mechi play off shirikisho.Huko nako kuna mtoano mwingine, kwa Simba hii mnaenda kukamilisha ratiba tu.
Hivi Morrison ndio Efua?Dah! Kutoka Championship mpaka Shirikisho!! Halafu unatolewa na timu ambayo ulishaipiga mbili bila kwao!!!
Simba imeliabisha Taifa!! Eti Morrison anatembea juu ya mpira 😁😁😁