Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

Mimi Ni mnyama, tuliwaambia hiyo biashara ya kuuza wachezaji tegemezi itawatokea puani. Hawakusikia. Pengo lao halitozibika sasa hivi. Na yule kocha asiyekuwa Na vyeti afukuzwe tu. Niliwahi kusema pia pale Simba kuna pengo lingine la kocha naona watu hawakunielewa.
 
Haikuwa bahati yenu ila tukiachana na bahati kwasasa timu yenu ina struggle sana kupata matokeo

Ukitaka kujua hilo kumbuka ni lini simba inapigwa goli tatu nyumbani

Kuondoka kwa Chama na Luis kumetuvuruga sana.

Inabidi wafanye juu chini watafute mbadala wao
 
Uchawi wanaoutegemea tena Kwa kuiba vitu vya watu ili watumie nguvu Yao kufanikisha ushindi wao wataangukia pua kila siku
 
Hii mechi ilikuwa siyo ya kufungwa hata kidogo! Simba ya sasa imekosa kabisa wachezaji wa kazi kazi kama ilivyo kuwa msimu uliopita.

Poleni sana watani. Ni wakati sasa kila timu kupambana na hali yake. Binafsi nitafarijika sana iwapo msimu ujao zitashiriki timu mbili tu, ili tuwakilishwe na wababe halisi kwenye mashindano yajayo ya kimataifa.
Asante sana Mkuu ila hii Simba ya MO na Barbra hapana wanabett hawa.
 
Hamna watu wanaomba Simba ifungwe kama hawa vyura. Yani hata hao Jwaneng hawana roho mbaya kama hawa tulioshare damu kwnye koo huko
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee
 
Niseme tu Boko na kapombe hawakustahili kumaliza hata dk 30 makosa yaliyotokea warekebishe kwenye shirikisho tumekosa nafas za wazi wazi nying Sana wawa uzeee umemtupa mkono
 
Ni ujinga kumlaumu kocha kwa hiko kipigo walichopata Simba, ni uzembe wa wachezaji 100% hawajitambui kabisa.

Inshort wachezaji wa Simba wengi wana umri mkubwa lakini hawajui wanachofanya uwanjani, na matokeo ya aina hii sio mara ya kwanza kutokea UD Songo walifanya hiki hiki, ila cha leo ni aibu kubwa zaidi.

Wachezaji wanapewa kila wanachotaka lakini wapi, mishahara mizuri, kambi nzuri, posho,kufungwa tatu nyumbani ni zaidi ya upuuzi, ni sawa na kwenda hatua tatu mbele halafu kurudi kumi nyuma, nxt yr Tanzania itapeleka timu mbili pekee hopless, mpira wetu bado sana.
Barcelona inafungwa sembuse simba? Over confidence ndo ttz
 
Back
Top Bottom