Timu ilikaguliwa wakiwa uwanjani? Kama hawakukaguliwa pointi mtazisikia redioni?Mkuu kumbuka Simba ni club ,ina uongozi wake na haiendeshwi na mihemuko ya klabu nyingine yoyote Ile ....
wacha kila mtu afanye kulingana na falsafa zake na wanachoona wao ni sahihi.
kumbuka Simba hawakugomea suala la mabadiliko ya muda ,sasa unataka hayo maswali yako wakaulize ili iwaje? Wao walileta team uwanjan na hakukuwa na mechi so Wana haki kudai pointi zao tatu mkuu....
Yanga ndo muulize hayo ....na viongozi wenu.
Kwahiyo kulikuwa na sababu za kiusalama ili hali mashabiki walikuwa uwanjaniukiambiwa na serikali usicheze muda huu kotokana na sababu za kiintelijensia ni lazima utii.
Sasa we utaona serikali na yanga Nani ana nguvu?Hizo sababu za kiintelejensia unaleta wewe hazikuwepo wakati muda wa mechi unasogezwa acha upuuzi
Samahani mkuu, wewe ni msemaji wa Tiefuefu ama ? 🤣Timu ilikaguliwa wakiwa uwanjani? Kama hawakukaguliwa pointi mtazisikia redioni?
Kumbe nawe kuuuma. Visasi vya Yanga tuvihusishe na nchi. KILAZA WEWEMmetuabisha viongozi wetu narudi tena mmetuabisha mnadhani kwamba mnawakomoa Yanga? Acheni u snitch nchi nzima inataka kujua nani alietoa amri saa saba mchana mechi ihaiirishwe hadi saa moja wakati pre match meeting imefanyika saa nne?
Au toka atekwe Mo Dewji wote mnatetemeka tu? Yanga wamesimama kiume tunataka kujua TFF walipokea maagizo kwa nani na kwa nini?
Mzee Wa Konde Gang Upo [emoji3][emoji3]Yanga waache mambo ya kizamani ya kususa mechi.
Mbumbumbu nyie yaani unadhani kisa unanyundo kila changamoto unagonga tuu. Paka mwizi weweSasa we utaona serikali na yanga Nani ana nguvu?
Pumbavu sana wewe.Kwahiyo mpaka sasa hivi hujui nani aliyesogeza muda mechi kutoka saa 11 kwenda saa 1.Mmetuabisha viongozi wetu narudi tena mmetuabisha mnadhani kwamba mnawakomoa Yanga? Acheni u snitch nchi nzima inataka kujua nani alietoa amri saa saba mchana mechi ihaiirishwe hadi saa moja wakati pre match meeting imefanyika saa nne?
Au toka atekwe Mo Dewji wote mnatetemeka tu? Yanga wamesimama kiume tunataka kujua TFF walipokea maagizo kwa nani na kwa nini?
Usilazmishe Simba afanye jinsi wewe unataka au kuiga Yanga.Simba ina uongozi wake na wiliridhia kucheza saa moja.Kwani wakati Utopolo wanafanya maamuzi ya kugomea mabadiliko walifanya kikao cha pamoja na yanga.Uchwara sana wewe.Inamaana simba hawajui kama kanuni imevunjwa hapo?.
Kweli kabisa kwasababu huyu ndiye mkiti was TFF na bodi ya Ligi.Jamaa una akili mingi wewe.Nitashangaa km hatafukuzwa!Huyu babra should be fired
Kijana anayesifika kwa kuuangalia na kuuchunguza utupu wa Harmonize upo!? 🤣 🤣🤣Mzee Wa Konde Gang Upo [emoji3][emoji3]
Hawa wanajaribu kucheza na akili za TFF, wanajua ni wazi Yanga watadai ushindi kutokana na Simba kutokutokea uwanjani. Mpira hauwezi kuongozwa kama genge la kangara, kanuni zipo na zifuatwe.Japo mimi ni Simba SC ila kwa hili tamko lao lililokosa support ya kanuni au sheria kupinga kile walichosema Yanga SC jana kuhusu kanuni ya ligi No. 15 (10) wamekosea.
Nawaona Simba wametoa sababu nyepesi sana, unless kama hiyo kanuni waliyoitoa Yanga iwe na exception kwamba inaweza badilika kulingana na mazingira fulani yatayojitokeza ndio Simba waitumie hiyo exception but not otherwise.
Rage alijitahidi sana ila wapi hakumwelewa.Yanga washushwe daraja tu na kuamriwa warudishe hasara ya viingilio vyetu Kwa uhuni walioufanya jana.
Masuala ya kanuni wangekata rufaa na sio kugomea muda wa mchezo.
Mkuu lile Andiko La Simba Hata Mwanafunzi Wa Mwaka Wa Kwanza Jordan University Hawezi Kuandika Vile, Liko Shallow Sana na Hakuna Hata Legal Citation Yyote Kusapoti wanachotaka SimbaKijana anayesifika kwa kuuangalia na kuuchunguza utupu wa Harmonize upo!? [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]