Kama anaweza ku-afford kununiwa siku nzima ajaribu Babu.Nimependa ulivyohitimisha simulizi yako Mjukuu,
"Kwa msada wa chanzo changu.."
Kwa kuwa Mimi na Mkwe wangu wote ni Wanyama, na hii habari inatunufaisha zaidi sisi mashabiki wa Simba SC, nitamshauri Mkwe wangu akutafutie Jersey ya Simba kama zawadi yako Mjukuu ili uhamie upande wetu π€
Kwa mihemko hii bila shaka we utakuwa manager wa Pacome.Wewe unaongea kama shabiki andazi tu kwasababu viongozi wa simba kwa utashi wao huwa wanaamua wamlete nani na sio kwamba wanafuata maoni ya wapuuzi kama wewe ambao hata humu ndani hamutumii majina muliyopewa na wazazi wenu...
Za wachezaji wote wawili???Huenda kuna ukweli binafsi nimezinasa taarifa hizi wiki moja nyuma.
Level ya Aucho sio ya kuifanyia comparison Simba labda Fountain Gate kushuka chini huko ndio utawapata wachezaji sampuli yakeNitajie wachezaji wako wawili tu wenye uwezo kumzidi Aucho? Au Mzamiru?
Sasa kama unauhakika kapangiwa mpaka nyumba, kimebaki nn tena!Na ndiye aliyeko kwenye nafasi nzuri zaidi, tusubiri tuone.
Hebu ninong'oneze Babu yako, unataka tukutafutie zawadi gani ili uhamie upande wetu MjukuuKama anaweza ku-afford kununiwa siku nzima ajaribu Babu.
Ni kweli kabisa maana Simba sasa hivi ni Maji Maji ya SongeaLevel ya Aucho sio ya kuifanyia comparison Simba labda Fountain Gate kushuka chini huko ndio utawapata wachezaji sampuli yake
Babu unaijuaje rangi yangu jamani?Hebu ninong'oneze Babu yako, unataka tukutafutie zawadi gani ili uhamie upande wetu Mjukuu
Hata kama itatulazimu Mimi na Mkwe wangu tuhamishe Mlima Kilimanjaro ili uje hapa DSM kwaajili yako, tupo tayari π
Ila ujue Kwa hiyo rangi yako, Utapendeza maradufu ukivaa Jersey ya Mnyama π€
Chemistry ya Yanga haiwezi kuvurugika kwa kukosekana wachezaji wawili kwenye timu. Nyinyi simba mtaendera kuwa chakula cha Yanga mpaka pale tutakoposema sasa inatosha!
Msimu wa 4 kushiriki au kuchukua kombe?Hata kama ni ushabiki, upepo msimu wa 4 huu?
Sikushangai kwa ushamba wako wa kutoijua timu namba 6 kwa ubora Afrika.Ni kweli kabisa maana Simba sasa hivi ni Maji Maji ya Songea
Unajipa matumaini siyo! Kwanza kwenye hiyo orodha ya wachezaji niliowataja hapo, amebakia Sure Boy pekee kwenye kikosi cha sasa. Na uhakika wa kuanza tarehe 19 ni 1% tu kwa mtazamo wangu.
Nini kinachomtambulisha yeye kuwa kiongozi bora halafu wengine wasionekane bora?Acha ligi, Hersi ndiye kiongozi bora wa mpira wa miguu Bongo hivi sasa. Wakati mwingine ni vyema kutumia akili kabla ya hisia za kiushabiki.
Babu nitaachache kujua rangi za Wajukuu zangu π(jokingly)Babu unaijuaje rangi yangu jamani?
Ila kweli, huwa nikivaa red nasifiwa kweliweli. Lakini, yeye anajua kiasi gani niko Yanga. Hatokaa athubutu kunishawishi.
Hahahaha rastaman akawapiga maboya. πππHizi zinaweza kua propaganda za mawakala wa pacome na aucho ili wapewe mikataba Minono jagwani, kama Rasta man alivyowaingiza Chaka makolo
Nikukumbushe tu, hicho chanzo unachokiita uchwara ndicho kimenipa hadhi ya kutambulika kama mwanachama bora wa Jamii Forums kwa mwaka huu 2024.