Maajabu ya soka la soka la Tanzania ya wajuaji, yaani kocha anafukuzwa huku akiwa na wastani mzuri za ushindi, mechi alizofungwa ni za kuhesabuka haswa. Kocha anafukuzwa kwasababu tu ya kivuli cha Yanga. Watu wanataka Simba iwe kama Yanga uwanjani pasipo kuhoji factors mbalimbali kama viwango vya wachezaji na umri. Kiufupi ubora wa Yanga ndio uliomfanya kocha atimuliwe.Jamaa ni kocha mzuri, sema tu presha ilimzidi akaachana na falsafa yake. Azam kocha huyo kazi kwenu. Uzuri mna mawinga wazuri wa kutosha na wachezaji wenye Kasi, achana na mifaza ya Simba ile.
Kila mtu na perception yake...perception ya boss ni kwamba u gotta blame somebodyMadrid walifungwa 5-1 na Barcelona 2018 sikusikia kocha kufukuzwa ndani ya siku 3!
Ipi sisi tuliwaachia tuPole
tofauti za vyama zisiwe chanzo cha dhihaka mkuu..nidhamu ni jambo la herimwana CCM sitegemei uwe na akili ya kisasa, maana una maika 60 na hukui.
😆😆😆 5-1Naomba atolewe haraka sana, atupishee.
TANO KWA MOJAIpi sisi tuliwaachia tu
Mambo wewe ni mtu hutaki presha unashangilia kidudu mtu kweli ni pepe ???😂🤣🤣🤣TANO KWA MOJA
TANOMambo wewe ni mtu hutaki presha unashangilia kidudu mtu kweli ni pepe ???😂🤣🤣🤣
Labda hukujitambulisha vizuriJinsi kalivyo kafupi na kanavyolalamuka kila saa. Kuna siku nilimuuliza oale Element hotel kabla hawajacheza na Waydad. Mgunda yupo wapi nataka niongee naye, kakanijibu huku kananungunuka. Sijui aliniogopa yule mrundi akijua mimi ni miongoni mwa staff wa WAC. Kakaanza kulalamika.
Ntiba si alikuwa mfungaji Bora karibia awe MVP mara hii hamtaki.Naomba iwe kweli, kocha simpendi kabisaaa.
Na dirisha dogo, Ntibanzokiza afurushwee.
Mmemuonea aisee..Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).
Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.
Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.
Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
Kwa una taarifa za wao kuhusika peleka polisiNa wewe ukaamini ule msala wa unga ni wa yule kocha wa makipa peke yake viongozi hawahusiki?
Wachambuzi njaa haoWabongo wanafiki sana eti Leo Kuna watu wanamtetea Ribertinho wakat hapo kabla kutwa ilikuwa ni kumponda.
Jamaa wamefura kwa hasira. Maamuzi ya kipuuzi kabisa badala ya kusajili wachezaji wazuri wanafukuza kochi!!?Kocha hajawahi poteza mechi,kupoteza moja tu unamtimua!!