Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Jamaa ni kocha mzuri, sema tu presha ilimzidi akaachana na falsafa yake. Azam kocha huyo kazi kwenu. Uzuri mna mawinga wazuri wa kutosha na wachezaji wenye Kasi, achana na mifaza ya Simba ile.
Maajabu ya soka la soka la Tanzania ya wajuaji, yaani kocha anafukuzwa huku akiwa na wastani mzuri za ushindi, mechi alizofungwa ni za kuhesabuka haswa. Kocha anafukuzwa kwasababu tu ya kivuli cha Yanga. Watu wanataka Simba iwe kama Yanga uwanjani pasipo kuhoji factors mbalimbali kama viwango vya wachezaji na umri. Kiufupi ubora wa Yanga ndio uliomfanya kocha atimuliwe.
 
Labda hukujitambulisha vizuri
 
Mmemuonea aisee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…