Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Halafu hawa baadhi ya wanasiasa,wasiishie tu kukimbizana na siasa,walee vyema watoto wao pia,hii sidhani kama watoto au ndugu wa late JPM imewahi kutokea,mzee yule alikua anadiscipline TAIFA na familia yake pia.Viongozi waige aina ile ya ulezi,mzee hakuegemea kwa wananchi tu,hadi kwake.


Wanasiasa wengi Watoto zao wanalelewa na Mabeki tatu Mama anapita Kushoto Baba kulia
 
The poor kid is drunk guys...

Yes ! He might have behaved stupid..

But he is drunkk!! Maujinga haya ya tungi tunakumbana nayo sana. Hakutakiwa endelea hojiwa kwa hali hiyo..

Angeweza mtukana mpaka MaMa..

Nauhakika saivi anajutia tu... Polisi nao wanapaswa kuwa na weledi.

Nchi za wenzetu ukidakwa kwa hali kama hiyo..polisi wanakuamuru usiongee kitu kozi kitakugharimu baadae..

Bongo mtu hana fahamu kabisa polisi nao wanapandisha mizuka. WTF...
 
Kama alivyo tangaza leo taarifa na Bango kubwa. Tuna omba mrejesho, atangaze na adhabu atakayo pewa. Mfano. Jera wiki 2.
 
Mzee naye anapaniki mshughulikieni mtoto... Wakati yeye ndo kamkuza hivyoo...
Baada ya kujificha aibu hii anapaa mtandaoni..
 
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.

UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.

P.
Mh.umeji misdirrect, Hakuna na haitowahi kutokie vicarious liability kati ya biological father na Mtu mzima ambaye ameshakidhi miaka 18 , anayejitegemea na sio disabled.
Malezi mabovu, kudekeza watoto, kuwasimulia watoto kuwa wewe nio mtu mmkubwa sana kazini, na kuwakoromea watu mbele ya watuto ili uonekane wewe ni mwamba. Kuwatetea watoto pale wanapofanya makosa,hayo yote yanachangia mtoto mpumbavu kukibeba cheo chako na kunyanyasia watu mitaali kuliko hata wewe uliye kisotea

LAKINI YOTE KWA YOTE BABA HAWEZI KUSHTAKIWA WALA KUULIZWA KWA SHAURI LA TORT AU JINAI LILILOFANYWA NA MTU MZIMA ALIEMZAA. YEYE ATATESEKA TUU KILA SIKU KUSIKIA MWANAYE ANALAUMIWA AU ANASHTAKIWA. HAYA NI MATESO YA DAMU NZITO KULIKO MAJI ATAKAYOPAMBANA NAYO NA SI VINGINEVYO
 
Kabla ya kuendelea naomba ninukuu maneno ya hekima ya wahenga yasemayo, "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo."

Jioni hii habari kubwa sio ushindi wa watani wa jadi kwenye mechi zao, bali ni clip zinazosambaa mitandaoni kuhusiana na kijana aliyejisanibu kama mtoto wa waziri Simbachawene, ambaye alisababisha ajali kisha akagoma kutii sheria kisa yeye ni mtoto wa waziri tajwa.

Kijana kwenye clips za video anaongea shit sana...akionekana katoa lock hasa..baada ya hizo video kwenda viral mitandaoni.. Baba mtu kajitokeza na kumkana kijana wake huku akijivua lawama na kulitaka jeshi la polisi lichukue hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.

Kama mzazi kafanya vema sana lakini nyuma ya pazia kuna tatizo kubwa la kimakuzi kuliko karipio la baba. Huku mitaani hawa watoto wa viongozi wanawapata tabu mno vyombo vya usalama na wananchi wa kawaida. Wao wanajiona ni "The untouchables", walio juu ya sheria.

Sasa ni vema mzazi na waziri Simbachawene asimamie kauli yake na isiwe ni hasira tu na kujikosha mbele ya jamii. Amaanishe, sheria ichukue mkondo wake. Jeshi la polisi nalo lisimame kwenye sheria bila kuangalia sura.

Video hizi hapa, haitakuwa jambo la busara kwa mzazi na influence yake, arudi kwa mlango wa nyuma na kufanya patano lenye viashiria vya mlungula. Aache sheria ichukue mkondo wake, asimamie kauli yake na jeshi la polisi nalo lifanye kweli.​


IMG-20220820-WA0295.jpg
 
Behind the door wenzake walimshughulikia. Unajua iko hivi, kila mtu anataka kujipendekeza, huyo mtoto wa Simbachawene kitakachoenda kutokea ni afisa mmoja tu tena anaweza kuwa IGP akaamrisha dogo aachwe na akampigia waziri tunaomba utusamehe na hapo hao traffic kibarua kipo hatarini. Yaani hao polisi hawakutumia hekima. Ni muhimu walipaswa baada ya kujua wawasiliane hata na baba yake kwa sababu ni waziri then kimya kimya wanamaliza zali. Hiyo ya mapicha video, wamuulize mwenzao kilichomtokea.
Watu hawatokuelewa, hao jamaa wataitwa kwa RTO j3 wapigwe chini, kazi ya upolisi hupaswi kutumia akili yako wewe Bali fanya unachotegemewa kufanya,mfano Afande wako akutume sehemu afu wewe useme huna nauli Basi utatolewa
Na anaakuuliza kabisa,usafiri si unao ? Sema "Hilo halishindikani Afande" nenda ukope hata kwa wenzio uende, Kuna siku Magufuli kamwambia jambo fulani Askari wa JWtz jamaa akajibu "jeshi halishindwi Afande"
 
This is Bongo mkuu. Hivi ulishawahi kujua wale traffic wanaowazinguaga madereva wa serikali kwa video huwa wanaishia wapi??? Hahahah huyo dogo kila atakaye mshughulikia be assured atapoteza cheo.
Kumbe kuna mengi yanajificha hatujui,sasa kama yule traffic aliomzingua mahiga unataka kusema alizinguliwa baada ya anko magu kifa au?
 
Back
Top Bottom