Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Kila Serikali inakujaga na yake... Naona Mama ameingia kama Mkapa.. Hata sijui haya ni maagano gani!?
Hata mwezi nafikiri wamefika 40...
 
Magari ua viongozi na misafara yao ndiyo yanayoongoza kwa kuendeshwa ovyo, ja kuvunja sheria za usalama barabarani.
 
Speed kali kupindukia ndio msafara unakuwa msafara? Hivi hao wengine si wangetangulia, mpaka muongozane kiasi hicho? Sio ya kutengeneza?

Tume iundwe (ikiongozwa na Spika mjiuzulu) kuchnguza ajali hiyo.
 

Uko sahihi, je ndio chanzo cha hii ajali ya leo?
 
Huu utaratibu wa magari yaliyoko kwenye msafara wa viongozi kuendeshwa kama yanaendeshwa na vichaa ufikia mahali ufe.

Hakuna wanapowahi zaidi ya kaburini tu halafu utasikia "ni mpango wa Mungu".

Stupid fools.

Maafisa wa Marekani wakati wakitathimini hali na usalama wa rais wa Baraka Obama alipokuja Tanzania, wali konklud kuwa barabara zetu ni mbovu na hatarishi sana kwa usalama wa rais wao, hivyo katika msafar wake aendeshwe kwa mwendo mdogo from ubungo tanesco to airport.

nashangaa usalama wetu wanapo ruhusu kukimbizwa kwa viongozi wetu kwa mwendo wa mashindano ya magari, as if kuna imejensi huko waendapo given ubovu wa barabara.

Nakuunga mkono mkuu..
 
Sema inawezekana nyuma ya pazia wanaambiwa wasitoe uhamisho izi maswala ya serikali kuna mengi sana
Wanaambiwa na Nani wakati katibu mkuu kashasaini kibali mtu ahame, na wakati huo halmashauri nyingine watu wanapewa vibali....ni kutoheshimu mamlaka na roho mbaya tu ya huyo mkurugenzi, haya mwenzie kafariki sasa, hiko kibali akafungie vitumbua, au akibandike ukutani iwe ukumbusho.
 
Kuwa Mwafrika ni tatizo, hivi kuna haja gani mkuu wa mkoa kutembea na wanahabari wengi kiasi hichi?
Hao 6 ndio waliofariki, je waliopona na waliofariki jumla ya waandishi wa habari walikuwa wangapi?
Dah.... RC wa Mwanza ndani ya Simiyu...ziara ya kikazi..... Kama bi Mkubwa anashinda ndani ya ndege....Basi wengine Ni kina Nani hasa hata wasipende padiemu? 🤣🤣🤣🤣🤭
 
Kutokana na uwongona unafiki wa serikali hii ya kusema walioachwa ni kwasbsb ya kuwania urais ,, mwenyezi mungu kwa kukataa unafiki, leo ajali ya msafara wa mkuu wa mkoa umesababisha maafa ya watu 18 na majruhi wengi na waliathirika zaidi wakiwa ni waadishi wa habari. Bila kutubu dhambi zetu basi mwaka huu ukame utakuwa mkali na amamfa yatatuandama, kazi kwenu
 
Dah.... RC wa Mwanza ndani ya Simiyu...ziara ya kikazi..... Kama bi Mkubwa anashinda ndani ya ndege....Basi wengine Ni kina Nani hasa hata wasipende padiemu? 🤣🤣🤣🤣🤭
Walikuwa wanaelekea Ukerewe, kufika Ukerewe kuna njia mbili, moja ya Meli pale Mwanza, na nyingine kupitia Bunda ambako wangepanda kivuko.
Hao walipita hiyo ya Bunda ambayo unapitia Wilaya ya mkoa wa Simiyu.
Mama anahusikaje hapo?
 
Nina rafiki zangu kibao kwenye tasnia hiyo waliopo Mwanza. Natamani nifahamu majina ya waathirika, lakini nimeshindwa kuwapigia simu mmoja mmoja! Natamani niwatambue kwa njia nyingine!
Aliyepata majina, naomba atupatie!
Waandishi waliofariki kwenye ajali ya gari ni

1. Husna Mlanzi wa ITV

2. Vanny Charles wa Icon. TV

3. Johari Shani wa Uhuru Digital

4. Antony Chuwa wa Habari leo Digital

5. Abel Ngapemba Afisa habari Mwanza

6. Steven Msengi Afisa Habari Ukerewe

7. Paul Silanga Dereva wao

Miili yao imehifadhiwa katika Kituo cha Afya Nassa wilayani Busega mkoani Simiyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…