Simu zimechangia kuupoteza umuhimu wa kujuana kabla ya mahusiano; siku hizi mapenzi mengi huanza ndani ya siku hiyohiyo bila kujuana vizuri

Utakuja kujinyea ipo siku
 
Acha lawama

Watu kutumia viungo vyao kuna tatizo gani mkuu.....

Yajue ya kuzingatia,, usije ukachanganyikiwa...
 
Hiyo saa 2 mpaka saa 6 ushipigwa mizinga mpaka unajiuliza hivi kabla ya kukutana nami alikuwa anaishije.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…