Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ke wenye makalio bandia toka Mloganzila huwaokota sana Wavulana waliozaliwa miaka ya 2000, usikute wamejazana tele makanisani na misikitini kuomba Me wema ilihali wao wenyewe ni feki.Kwani haukumfanyia interview kabla ya kuamua kumuoa?
@antonnia nini shida
Kosa kubwa tunalofanya wakati wa kuoa au kuolewa ni kuwa,tabia mbaya unazoziona mwenzi wako anazo,usifikiri kuwa iko siku utaweza kuzirekebisha mkishakuwa mmefunga ndoa,ukumbuke kuwa tabia huwa haina dawa,kama ni mlevi,mzinzi,mvivu,muongo,mchafu n.k kaa ukijua kabisa kuwa huwezi kuvibadilisha...Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Kumbe ni lishemele bhana [emoji848][emoji35]Subiri kwanza wewe ni ME au KE?
Mhh
Sasa mwanamke nae anaoa mkuu wangu.π€£π€£π€£π€£π€£wewe bado hujaoa hao viumbe hawaelekezeki hata upige ngumi sanasana utapata kesi tu..
πππYan wabongo umepata lituntufye huko limekushinda unakuja kuambatanisha wote ili ujipe moyoπ€£π€£wewe tulia na mbuzi wako kila mtu afe kivyake
Unaweza Kuta unamlaumu binti wa watu bure tu kumbe tatizo ni ww maana sio Kila mtu ni mpambanaji wengine wanahitaji kushikwa mkono na kuonyeshwa njia ndipo waendelee mbele.Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Kuna siku na wewe yatakufika we cheka tu. Lolπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
ID nyingi humu zina sheresha tu. Wanachoandika ni kwa vile wanajua hakuna anewafahamu. Story zao nyingi ni uongo tuSubiri kwanza wewe ni ME au KE?
Mpe taraka, kama huwezi vuta jiko la pili kaishi nae huko ukaenjoy huyu wa kwanza taratibu atashika adabu acha kabisa kumzingatia mpaka anyooke.Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
πππ Akijibu niitesiku zako ushaziona???? π π π π jf mwanamke anakuwa mwanaume chap
Nahisi kama.ulikuwepo mkuu! Yote uliyoyaongea yapo sahihi mkuuππ»ππ»Pole sana mkuu.
Huwenda uliyaona hayo yote kabla ila ukajipa moyo atabadilika.
Hakunaga kubadilika kwenye ndoa zaidi ya kuwa mshenzi zaidi.
Yaani 95% ya watu ndoa inawabadilisha na kuwa washenzi zaidi.
So suala la kubadilika kwenye ndoa tusilichukukie poa.
Chagua mwenza mwenye tabia ambazo yuko nazo wakati huo ambazo unahisi utaziridhia kwenye ndoa akiwa nazo,then ishi naye, mbali na hapo ni betting.
Asante sana.
Aisee!! Hii tabia imeshamiri sana jf sijui hata huwa wanafikiria nini!!Anajiongelea yeye mwenyewe. Mtoa mada ni dem according to her previous threads