The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Mausiano yenu yana muda gani kabla mjaowana, maana msikute mlianzia bar, mkaenda nyumba za wageni kesho kutwa mkawekana ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ishu ni mahari kubwa na mke mvivu? Hayo yanatibika. With time utaniambia ila usikurupuke kuachanaWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Kaomba msimseme ovyoTatizo mnangalia sura na shepu lazima liwakute tu... pole mkuu
Kwani haukumfanyia interview kabla ya kuamua kumuoa?
Hicho kitabu nilikutana nacho mara nyingi ila nikakipuuza. Na kuna kingine "48 laws of power" Ila mwaka huu nitajitahidi kukisoma maana nimezidi udhembe..Sahihi mkuu.
Kama atapenda atafute kitabu cha "HOW TO WIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE".
Kinaweza kumsaidia kumbadilisha mkewe kwa sbababu muandushi wa kitabu hiko ameelezea mbinu mbalimbali ambazo ukizitukia zinaweza kukusaidia kuwaweza marafiki na kuwashajihisha watu eidha wabadilike au wawe vile unavyotaka wewe.
Sasa namna gani utafanya ili watu wafanye unavyotaka wewe basi mtoa mada asakw hiko kitabu akisome kwa utulivu sana.
Mkuu wewe bado sana yaani, wanawake ni maua tu kwenye nyumba kama ulioa upate msaidizi ni kweli ulikurupuka, sisi tuliomaliza kitabu cha mapenzi na kuhitimu kitabu cha wanawake hao ndio mademu tunaowataka sema bahati tu hatunayo ya kupata mademu wa hivyo, tunaishia kupata mafeministi wanatupelekesha kishenzi hatunywi hata maji, kama unaachana nae tafadhali sana[emoji120][emoji120][emoji120] mpe namba yangu nijipakulie minyama bro wako, mimi demu ninaemtaka ni yule ambaye nikishamzagamua cha asubuhi alale weeee mpaka usingizi umuogope, akiamka anywe supu alioandaliwa na beki 3 kisha aendelee kulala, akiamka apige msosi wa nguvu kisha aendelee kulala aamke jioni akoge, anisubiri kwa mzagamuo wa usiku, hayo ndio yatakuwa maisha yake ampaka apate mimba anizalie watoto wazuriii, pisi kale na madume shababi, hiyo ndio kazi yake nitakayompatia, na nitampatia zawadi akirudi tu hospitali kujifunguaWakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Aliyesema hivyo ni mimi nyange huyo udimpopoe hahusikiMnatuchanganya mlisema mnataka golikipa
Sasa hivi mnaelemewa..
Ulitongozewa!??Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Mwanamke wa kula kulala na kuzaa watoto ndie nimtakae, nilijua wamekwisha kumbe bado wapo asante Mungu bado nina matumainiMwache mtoto wa watu,
So mnasema ndoa ni ajira kwa mwanamke!!!!!,
Mwache,akila/kulala na kukuhudumia inatosha
NB;umejaribu kuongea nae kuhusu biashara labda?
Kweli kabisa yeye ndiye mvivu wa kutafuta hela badala yake anatafuta usaidizi kwa mkewe hii ni aibu kwa mwamme, kama ni mimi nisingeandika uzimkuu tafuta hela........mkeo siyo mvivu wewe tafuta hela tu
Uvivu ni hulka ya mwanamke yeyote aliyekuwa hajabadilika, akiacha uvivu anakuwa femenist, wewe uko upande gani?Kutii mashart ni lazima,Mimi naona shida sio kutokuwa na kazi ni mvivu ni tabia yake
Kuna ushauri mmoja wa muhimu hapa. Nenda kamwambie huu ujumbe umeandika hapa kwa kumjulisha hisia zako juu yake.Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sana na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu