Single mothers nawaibia siri nyingine

Single mothers nawaibia siri nyingine

Aisee uko vizuri Yan 11 single mothers wote hao ulikuwa unataka kugundua nn?
 
Being a father.. A father to a daughter in this generation have never been so easy.
 
Ulikua unania ya kuwaoa Masingle mother wote hao uliokua unakutana nao?
 
Hapa nazungumzia hawa single mother's wa mwendokasi ambao hawajawai kuwa na ndoa na waliowazalisha wapo

Hawa single mother's wa mwendokasi most wao ndio waliachwa na kama wao ndio waliwaacha waliowazalisha basi waliwaacha kwa sababu za kijinga

Mwanaume yoyote yule hawezi kumuacha mwanamke mwenye akili,Sasa kama mwanaume mwenzio kamzalisha alafu akamiacha
Je kwanini alimuacha ?
Wewe una akili kuliko aliyemzalisha ?

Mwanaume kamili hawezi kuchukua mtumba aliyakuwa kitu kipya kipo

Makapukula ndio wanaongoza kutoka na single mother kwa sababu ya kufata maslahi na si upendo

Mwanaume asiye na mapungufu yoyote hasa ya kiuchumi,kiafya,kiumbo hawezi kuoa single mother

Ukiona mwanaume kaoa single mother jua HAJIAMINI na TAHIRA

Kuoa single mother ni kusababisha migogoro mikubwa baadae hasa kwenye urithi

na swala la urithi wa mali na umiliki mali. Hebu wazia umekutana na mwanamke ana watoto labda wawili halafu mkaanza kuyajenga pamoja. Baada ya miaka kadhaa mtoto akikua na kupata uelewa kuwa wewe si baba yake Utakubari awe MRITHI WA MALI ZAKO ??

Ushauri
Single mother Tafuteni hela angalau mpate mario maana mwanaume mwenye kila kitu hawezi kukuoa
Acheni Gubu kuolewa tu ukiwa single mother ni msaada tosha
Msibague wanaume ukipata mlevi sawa ukipata mfupi sawa ukipata wa dini tofauti na yako single mother badilisha haraka dini uolewe kwani nafasi zenu ni Finyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beauty is in the eyes of the beholder! Unapokuwa busy kutafuta upungufu wao, wenzio wapo busy kuangalia uwezo wao. Hayana formula boss.
 
Beauty is in the eyes of the beholder! Unapokuwa busy kutafuta upungufu wao, wenzio wapo busy kuangalia uwezo wao. Hayana formula boss.
Kwaiyo huo uwezo mzazi mwenzake hakuuoana mpaka wewe ndio ukauone [emoji23][emoji23][emoji23] wengi baada ya kuachwa huwa wanaigiza tu tabia then ukimuweka ndani unaona sura halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nazungumzia hawa single mother's wa mwendokasi ambao hawajawai kuwa na ndoa na waliowazalisha wapo

Hawa single mother's wa mwendokasi most wao ndio waliachwa na kama wao ndio waliwaacha waliowazalisha basi waliwaacha kwa sababu za kijinga

Mwanaume yoyote yule hawezi kumuacha mwanamke mwenye akili,Sasa kama mwanaume mwenzio kamzalisha alafu akamiacha
Je kwanini alimuacha ?
Wewe una akili kuliko aliyemzalisha ?

Mwanaume kamili hawezi kuchukua mtumba aliyakuwa kitu kipya kipo

Makapukula ndio wanaongoza kutoka na single mother kwa sababu ya kufata maslahi na si upendo

Mwanaume asiye na mapungufu yoyote hasa ya kiuchumi,kiafya,kiumbo hawezi kuoa single mother

Ukiona mwanaume kaoa single mother jua HAJIAMINI na TAHIRA

Kuoa single mother ni kusababisha migogoro mikubwa baadae hasa kwenye urithi

na swala la urithi wa mali na umiliki mali. Hebu wazia umekutana na mwanamke ana watoto labda wawili halafu mkaanza kuyajenga pamoja. Baada ya miaka kadhaa mtoto akikua na kupata uelewa kuwa wewe si baba yake Utakubari awe MRITHI WA MALI ZAKO ??

Ushauri
Single mother Tafuteni hela angalau mpate mario maana mwanaume mwenye kila kitu hawezi kukuoa
Acheni Gubu kuolewa tu ukiwa single mother ni msaada tosha
Msibague wanaume ukipata mlevi sawa ukipata mfupi sawa ukipata wa dini tofauti na yako single mother badilisha haraka dini uolewe kwani nafasi zenu ni Finyu

Sent using Jamii Forums mobile app
wengi waliopo ni single mother sema hawajanyonyesha na watoto wao likufa kwa kujitakia!
 
Back
Top Bottom