Siri nzito: Wanaume wote tuliopo katika mahusiano karne hii hatupedwi na wanawake zetu na wanatusanifu sababu mambo yao hayajanyooka

Kuna ukweli hapa.
 
Duh, so hapo mwana kampenda demu sana na demu hajampenda wala nini, aisee atakuja zalishwa watoto wasio wake.

Kwakweli ni hatari kupendwa kisa una hela.
 
Umeongea maneno yenye busara.
Kazi kwao wanaojidai kupenda kiumbe kinaitwa mwanamke🀣🀣🀣🀣
 
hoja imeungwa mkono
 
Mwanaume: UKIWA NA PESA KUWA MAKINI SANA NA MWANAMKE UNAYETAKA KUMUOA. NI HERI YA WALE UNAOJIPIGIA TU KISHA UNAPITA MBALI NAO MAANA HAO HATA HAWATOKUUMIZA KICHWA. ILA YULE UNAYETARAJIA KUMUOA KUWA NAE MAKINI SANA, 90% HAJI KWAKO KWA UPENDO WA KWELI BALI PESA ZAKO NDIYO SABUNI YA ROHO YAKE. JAMANI TUNA MIFANO HAI MINGI SANA KWA HIYO KUWA MAKINI

UTAKUJA KUFA VIBAYA MBWA WEWE KWA KUKOSA UMAKINI WAKO

Ni heri ukaishi na wanao tu. Mbususu zipo hata kama hujaoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…