Never, [emoji851][emoji851],bora hela ale askofu(jokes)mnachangia kanisa kujenga shule, vyuo na hospitali ilihali gharama zinazotozwa baada ya ujenzi ni kubwa na nyie nyie mliochanga hamuwezi kuafford..
Serikali ikiintroduce tozo mchangie ujenzi wa madarasa, mahospitali...mnapiga kelele balaa..
Mnaonaje sasa nguvu hiyo hiyo ya kujenga mashule na mahospitali ya makanisa tukaielekeza kuchangia ujenzi wa shule za umma na mahospitali ya umma na Watanzania wote wakasoma?
Looks like ua against the Church and ua one of those who wish anything with Christians to go downMkuu ,Mimi waakati St Augustine inajengwa nilikuwa Mwanza na kulikuwa na michango ya kufa Kwa waumini wote!
Hoja hapa ni kuwa Maskini wanaochangia kanisa wananufaika vipi na Biashara hizo zikikamilika?
Hivi unajua kina shule za Kanisa wanatoza ada 4m!
Am not against the Church Sir,am questioning ,the Commercialization of Church to the expenses of the Poor and Humble Servanta of Jesus Christ!Looks like ua against the Church and ua one of those who wish anything with Christians to go down
Haina tofauti na kumchangia pesa mchungaji anunue gari halafu yeye anakuombea kwa Mungu ununue gariππLeo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Hawa mandondocha yakisikia uzinduzi wa helicopter yanashangilia huku yakitetemeka kabisa kumbe helicopter yenyewe haiwahusu.Simple calculation ni kuacha kuchangia maana hakuna matokeo ya moja kwa moja kwa muumini ndio maana nashangaa wanaowasakama akina gwajina etc. Wote wanafanya kwa njia tofauti, unatoa pesa ananunua helicopter unatoa sadaka wanajenga shule na hostels lakini manufaa yake yananufaisha wenye βjikoβ
Faith Based Orgs hazina tofauti na NGOs au mashirika mengineyo ππ
Unajua watu kama wewe mnafikra za hovyo sana hivi mnafikiri sadaka ndio zinazofanya makubwa yote hayo kwenye kanisa???!hivi hamuonagi vitega uchumi vya makanisa? Sadaka ni ndogo sana usifikiri wanafaidika kiivyo, maendeleo ya makanisa mengi ni misaada ya wazungu kama hamjui hilo uliza mchungaji yoyote akuelezeSimple calculation ni kuacha kuchangia maana hakuna matokeo ya moja kwa moja kwa muumini ndio maana nashangaa wanaowasakama akina gwajina etc. Wote wanafanya kwa njia tofauti, unatoa pesa ananunua helicopter unatoa sadaka wanajenga shule na hostels lakini manufaa yake yananufaisha wenye βjikoβ
Faith Based Orgs hazina tofauti na NGOs au mashirika mengineyo ππ
Nimepata mmoja wa kwanza, popomaKwani wana CCM masikini wananufaika nini na viwanja vya mpira ambavyo kwa wakati mmoja watanzania wote walichangia kuvijenga na sasa umiliki uko CCM?
Shule nyingi zilizoongoza na zinazomilikiwa hasa na kanisa katoliki si zao la moja kwa moja la michango ya waumini Bali kanisa limejenga kwa vyanjo vyake lenyewe.
Ukiangalia historia ya nchi hii elimu ililetwa na kanisa na shule nyingi zilikuwa zakanisa zikifundisha wanachi wote bure.....Wakati wa azimio la Arusha shule hizi zilitaifishwa na serekali ikaanza kuziendesha
Kanisa lilianza tena jenga shule zingine na mojawapo ni hizo zinazoongoza sasa...so kanisa katoliki limesaidia sana watanzania maskini kielimu na afya sidhani kama wanastahili lawama yeyote kwa status ya shule zao sasa.
Popoma la piliYawezekana ukawa kwako ukiristo ni huduma kama ngurumo za upako au hujui mchango wa ukiristo katika elimu na afya ya watanzania....makanisa ya Roman Catholic, Lutheran,Anglican n.k yamefanya makubwa katika kumsaidia mtanzania maskini.kielimu na Afya....sasa wenye jukumu la kutoa elimu bure ni serikali si makanisa..makanisa tayari yalishatekeleza hilo na serikali ikazichukua shule zao (za makanisa)
La tatu? GondogondoUnajua watu kama wewe mnafikra za hovyo sana hivi mnafikiri sadaka ndio zinazofanya makubwa yote hayo kwenye kanisa???!hivi hamuonagi vitega uchumi vya makanisa? Sadaka ni ndogo sana usifikiri wanafaidika kiivyo, maendeleo ya makanisa mengi ni misaada ya wazungu kama hamjui hilo uliza mchungaji yoyote akueleze
Hazisaidii wakristo maskini wasio na ada lakini tunachangishwa kuziendesha, tena kanisani hata hivyo sijaona zikishika nafasi za juu kabisa kitaifa. Je tuite watu wazifanyie maombi au tujitafakari aina ya wakufunzi waliopo na mazingira ya kujisomea.Leo matokeo ya Mitihani ya Darasa la nne na Form Four yametoka!
Kama kawaida shule zinazoongoza nyingi ni zile zenye Uhusiano na Kanisa ,iwe kwa umiliki au kwa njia nyingine! Hii bila shaka inatoka na misingi Bora iliyowekwa!
Pamoja na mafanikio haya ,Shule nyingi za Kanisa ,gharama zake za masomo ni ghali sana! Pengine kuliko hata shule za watu binafsi!
Hali hii huwafanya Wakristo wengi masikini wasinufaike na hizi shule!
Kwangu mm nafikiri hiki ni kinyume na misingi ya Ukristo na hata ubinadamu!
Ilitarajiwa basi wenye shule nao wanufaike!
Wote ni mashahidi Kwa mfano,upande wa KKKT kumekuwa na michango ya kuchangia Seminary kadhaa hapa nchini!
Lakini n vipi hawa masikini Wananufaika ambao ndio wanaochanga kuku na mbuzi wao,na wengine huchangia kwa maombi
Ilhali ada za shule hizi ni sawa na kipato Cha familia masikini kwa mwaka mzima!
Je, hao hawana haki ya hii Elimu Bora!
Je, Kanisa linaona hii hali!?
Hali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Ni vipi Msharika wa Maskini wa Loita Dayasisi ya Meru anaweza kupata huduma Bora za afya ktk Hospitali ya Selian aliyaoichangia kwa miaka mingi!
Nafikiri kuna kitu hakipo SAWA! Ndani ya Kanisa na Sisi Waumini pia!
Tutafakari!
Sasa kama unaona hupendezwi si utoke??!mijitu mingine hovyo sasa unawaambia din nyingine ili iwaje??πππ umasikini utawauwa nyie nyumbu, nenda kwenye din nyingineAm not against the Church Sir,am questioning ,the Commercialization of Church to the expenses of the Poor and Humble Servanta of Jesus Christ!
Mmmh, hapa mazee umedanganya. Sioni tofauti ya gharama kati ya hospitali za kanisa na hospitali nyingine za private ownership, na kama tofauti ipo, basi ni kwa za kanisa kuwa cheaper. Wakati mwingine tuwe wakweli, tusiandike tu ili mradi tumeanzisha uziHali haipo tofauti pia ktk Hospitali za Kanisa,Waumini wengi hawana ubavu wa kuingia hospitali kadhaa za ambazo ni ghali.
Mbona za serikali ni bure? Kwani lazima umpeleke huko kwenye awamu za malipo? Au alifeli? Ulalamikaji mwingine ni kipimo cha upeo wa mamboKuna shule Fulani ya Kidini ipo Ruaha Mbuyuni,mtoto wako akiwa na uwezo darasani ...wankuruhusu ulipe ada hatq kwa awamu Sitaπππ
Ila kama mtoto ni zile kuunga Sheriaa msumeno...unalipq ada awamu mbili TU!
Hawa ni Wakristo...wanainajisi Injili !