Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Safi sana kaka mkubwaRaha ya pisi kali ni kuona na kusikia!. Karibu mitaa hii uone baadhi ya hazina Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!.
Na benki yangu ni CRDB CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.
P
KAhawa huwa kikombe kimoja tuπItaendelea au imeisha?
Sasa Buji hivi 2007 hadi mwaka huu si wa 5 na kasoro ya miezi kuwa miaka 6.
Hiyo Konyagi ya mviringo ilikuwaje mkuu...sababu bapa kwa ninavojua ni kitambo sana.
Mbula isyanaloli ndikulonda ubhutungulu nkulumba
Inategemea, ni Robusta au Arabica?KAhawa huwa kikombe kimoja tuπ
Kaka Paskali, hadi kwenye PISI umo..!! Safi sana..!!Raha ya pisi kali ni kuona na kusikia!. Karibu mitaa hii uone baadhi ya hazina Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!.
Na benki yangu ni CRDB CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.
P
Ahahaha afu robusta anaweza kuwa ni samaki mwanafyaleInategemea, ni Robusta au Arabica?
Haha hhahAhahaha afu robusta anaweza kuwa ni samaki mwanafyale
Pisi imefuta sirii kwota of ze kreti..!!Hiyo 2007 pisi ilikuwa Inatokea mkoa gani?π Hizo soda 19 si mchezo
Hatari sana πPisi imefuta sirii kwota of ze kreti..!!
Kwa hiyo hukumgegeda?Afadhili sikufanya naye mambo ya shetani. Tuliishia kulisakata dansi tu
Uyu hakua demu aiseeπ πNilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza, Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaka ukae.
Saa 1β jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa, zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa. Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
Usikute vile vi coca cola vidogo π πNilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza, Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaka ukae.
Saa 1β jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa, zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa. Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
Malaika wangu hata tukikutana saa Tisa usiku lazima aagize chips samakiNilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza, Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaka ukae.
Saa 1β jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa, zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa. Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
Bujibuji umenikumbusha kitambo hadi nimejihisi kutoka chozi. Ngwasuma ilikua imeeenea idara zote kaka. Hapo anaimbwa Julius Mzee wa Benki, Kapufi Mzee wa Mawe, Ndama mtoto wa Ng'ombe daaaaaaaahNilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza, Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaka ukae.
Saa 1β jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa, zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa. Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.