Sitausahau usiku wa Ngwasuma nikiwa na pisi kali kutoka Arusha

Sasa Buji hivi 2007 hadi mwaka huu si wa 5 na kasoro ya miezi kuwa miaka 6.


Hiyo Konyagi ya mviringo ilikuwaje mkuu...sababu bapa kwa ninavojua ni kitambo sana.


Mbula isyanaloli ndikulonda ubhutungulu nkulumba
 
Hiyo 2007 pisi ilikuwa Inatokea mkoa gani?πŸ˜… Hizo soda 19 si mchezo
 
Huyo manzi isingempa hiyo chipsi kuku angekunywea kreti zima la soda peke yake
 
Uyu hakua demu aiseeπŸ˜…πŸ˜…
 
Usikute vile vi coca cola vidogo πŸ˜…πŸ˜…
 
Malaika wangu hata tukikutana saa Tisa usiku lazima aagize chips samaki
 
Bujibuji umenikumbusha kitambo hadi nimejihisi kutoka chozi. Ngwasuma ilikua imeeenea idara zote kaka. Hapo anaimbwa Julius Mzee wa Benki, Kapufi Mzee wa Mawe, Ndama mtoto wa Ng'ombe daaaaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…