Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Ile ilikuwa ni zaidi ya moto, weka mbali na watotoBujibuji umenikumbusha kitambo hadi nimejihisi kutoka chozi. Ngwasuma ilikua imeeenea idara zote kaka. Hapo anaimbwa Julius Mzee wa Benki, Kapufi Mzee wa Mawe, Ndama mtoto wa Ng'ombe daaaaaaaah
Alianza kutapika baadaye yake. Hali ikawa mbaya sanaSema tu ukweli.
Alikujambia mpaka ukashiba ushuzi ukashindwa kwenda kumbandua.
Soda 19 ni balaa tu. Anacheua mdomoni na makalioni. Hahahaha
Chakula cha Kingereza. Aliishi UK? Ukerewe? Ukonga, Ukinga?Malaika wangu hata tukikutana saa Tisa usiku lazima aagize chips samaki
Mimi ni jitu la miraba 27, nje imepaki Toyota Mark ll, Supercharger 24 Valve, mapafu ya mbwaushukuru hukupokonywa
Yupo huyo mwingine ndio alikuwa zaidi, yeye misosi, hashibiUyu hakua demu aiseeπ π
TrueFm academia
" Dunia kigeu geu" hii nyimbo wakiirudia live nazani uwanja unaojaza mkapa utajaa siku hiyo
Dah ila wewe mzee weweπ€£π€£Nilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza, Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaka ukae.
Saa 1β jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa, zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa. Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
Forget about itSio kila pisi kali ina akili
Ni focus kwenye Tukuyu tu, au sio?Forget about it
Yes bro yes πNi focus kwenye Tukuyu tu, au sio?
Sawa bro. Sasa nimezeeka nachunga kondooYes bro yes π
Una miaka mingapi Tena .....?Sawa bro. Sasa nimezeeka nachunga kondoo
63 by 10th MarchUna miaka mingapi Tena .....?
Kongole mzee yaani ww na shimba ya buyenze ni mizee kweli Ila mitandaoni mmo π€£π€£ umeupiga mwingi Ila si una π° za kutosha sio63 by 10th March
Cash ni kama tako, kila mtu analo. Mimi ni pensioner, nakula mafao yangu. Nina kuku, kondoo, bata, Ng'ombe, na mbuzi. Dada zenu na tudemu twenu wakiwa na uhitaji tunasaidiana. Unajua tena Ng'ombe huwa hazeeki maini.Kongole mzee yaani ww na shimba ya buyenze ni mizee kweli Ila mitandaoni mmo π€£π€£ umeupiga mwingi Ila si una π° za kutosha sio
Aaah hiyo ni moja ya fantasy yangu nikizeeka, Mimi Nina 20 nipo chuo first year na Bibi yangu pia ni mstaafu na yeye ni mfugaji wa kuku (hapo kwenye uhitaji wa tudemu vipi) ni shoo sio Tena unamkoromea kabisa ukimwagia Yale maji ya uzima π€£π€£π€£π€£ kwani hukuoa mkuuu au wife alifariki?Cash ni kama tako, kila mtu analo. Mimi ni pensioner, nakula mafao yangu. Nina kuku, kondoo, bata, Ng'ombe, na mbuzi. Dada zenu na tudemu twenu wakiwa na uhitaji tunasaidiana. Unajua tena Ng'ombe huwa hazeeki maini.
Kwakweli πππππΎAfya ya akili ni muhimu kwenye maisha
Mtumainiye Mungu Kama jina lako π€£π€£π€£Kwakweli πππππΎ