Sitosahau nilivyokoswa na risasi nikiwa baa

Ulifanya makosa,kukimbia,tena ukakimbilia kaunta ambako kuna pesa za mauzo,kosa kubwa hilo.Yawezekana walifikiri unaenda kutorosha pesa,kuchukua silaha au kuwajulisha wana usalama waje wadili nao.Pole sana.
 
Imagine angevunja huo mlango[emoji23],
 
Ulifanya makosa,kukimbia,tena ukakimbilia kaunta ambako kuna pesa za mauzo,kosa kubwa hilo.Yawezekana walifikiri unaenda kutorosha pesa,kuchukua silaha au kuwajulisha wana usalama waje wadili nao.Pole sana.
Yani hata sikuwaza hivyo mimi nilikua naokoa maisha yangu..
 

Pole sana
 
Mimi ishawahi kunitokea aisee sema nilipambana nao wote na walikua kama tisa hivinikafanikiwa kuua wa 5 wengine wakakimbia...Nikipata muda ntaelezea
Dah! Ulikua na ujasiri sana aiseeh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…