Siwahitaji watoto wa kiume kwenye familia yangu

kama mwanao analiwa au ndugu yako aliliwa ni wewe ..subiri utakapozeeka na kuugua unahitaji msaada wa kukualisha hata taulo unaanza kuita watoto wa kiume wa ndugu zako huku hao mabinti waki sema nimoelewa siwezi acha mume wangu atapikiwa na nan, fucvk you wewe na kizazi chako
 
Jamaa ana kitu cha msingi asipuuzwe,

Ni kweli watoto wa kike wana show love Sana kwa baba..

Mtoto wa kiume ni wa mama..
 
Jamaa ana kitu cha msingi asipuuzwe,

Ni kweli watoto wa kike wana show love Sana kwa baba..

Mtoto wa kiume ni wa mama..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]unazaa watoto kwa lengo la kuja kukusaidia?? Wew mwenyewe umeshindwa kujiwezeshaa unataka kuwatupia watoto mzigo..
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]unazaa watoto kwa lengo la kuja kukusaidia?? Wew mwenyewe umeshindwa kujiwezeshaa unataka kuwatupia watoto mzigo..
Kwani mkuu watoto tunawazaa kwa lengo gani?
Hatuzai watoto ili tujaze ulimwengu,
Tunahitaji watoto ili watusaidie baadae.

Kuna muda utafikia hata pesa Zako haziwezi kukusaidia,
Utahitaji watoto wako wakufariji na kikuangalia kwa karibu..
Watoto wa kike wanajali Sana baba zao,,kuliko watoto wa kiume.
 
Tuanzie kwako, WEWE NI KISANGA SANA KWA BABAAKO..!!? WEWE UNALIWA..!!?
Nasubiri majibu.
 
Siku watakapozalia nyumbani kwako ndiyo utaelewa vizuri!
 
Mkuu wewe ni mbinafsi sana, alafu pia ni mkwepa majukumu.

Pole sana Mkuu.
 
Hata wewe ni mtoto wa kiume, unaliwa?
 

hujui unacho kiomba mkuu, asilimia kubwa ya wazazi wenye watoto mashoga wanasema walikuwa wanaomba Mungu awape " mtoto wa kike' pindi walipokuwa wajawazito. So kwa sababu wewe unataka watoto wa kike tu, watoto wote wa kiume ambao dunia imepanga kukupa itawageuza na watakuwa mashoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…