Huko Mexico wasije wanaweka na ule Unga [emoji1787]Coke ya Zamani Asaivi? Sidhaniii...,
Hata kimataifa Coke wanalamikiwa kuwa ladha ya Kunywaji chao imeshukaa..
Nchi ambayo bado inayozalisha Coca-Cola bora Duniani ni Macedonia labda na Mexico.
Kama mimiBado kuna watu wanakunywa soda
Mimi nna miaka 15 sijui soda mpaka sasa
Ova
Taste ya mwanzo??Hakuna cha maji sijui nini.
Hio ni sehemu ya biashara. Kila kanda ina taste yake.
Lakini huwa kuna ile taste ya mwanzo n kale huwa ipo kila mkoa sema zinakuwa finyu
Sku izi hata ukiwa na miaka 25 unapaswa kuogopa sukari ,kuna madent kibao nawaona wamemaliza shule juzijuzi tu lakini vitΓ‘mbi vmeshaanza kuwatokaKama una umri kuanzia 30+ogopa vunywaji vya sukari sio uogope pombe...
Ni kweli coca siku hizi haisisimui.. Ladha yake baridi sana kama unakunywa dawa ya mganga.. [emoji6]
No coca cola ina taste tofauti. Na mostly kila kanda ina taste yake.
Ila zamani tulikuwa tunakunywa ile taste moja.
So ukitaka upate ile taste ya zamani tafuta ilioandikwa "original taste", ni lugha ya kibiaashara ikimaanisha taste ya kwanza iliovumbuliwa na coca cola
Uko sahihi kabisa coca cola ya Dar ni mbaya mno, japo leo nimekunywa coca hapa moshi kidogo ina ladhaHi π
Soda ya Coca-Cola kwakweli ni mbaya sana sijui kwangu yaani soda ukitoa kwenye friji bas soda hainaa radha ila Pepsi iko vizuri sana Coca-Cola jitafakarini
Hi [emoji112]
Soda ya Coca-Cola kwakweli ni mbaya sana sijui kwangu yaani soda ukitoa kwenye friji bas soda hainaa radha ila Pepsi iko vizuri sana Coca-Cola jitafakarini
Bado kuna watu wanakunywa soda
Mimi nna miaka 15 sijui soda mpaka sasa
Ova
Hakuna mauz yamashukaCoca ni kama unakunywa chai ya rangi iliyo poa tu.
Wenyewe wanadai eti wanauza brand
Ili kitambi kisheHaufi ila utumbo utayeyuka huko tumboni Cha Moto utakiona πππππππ
Uko sahihiHi π
Soda ya Coca-Cola kwakweli ni mbaya sana sijui kwangu yaani soda ukitoa kwenye friji bas soda hainaa radha ila Pepsi iko vizuri sana Coca-Cola jitafakarini
Hapana coca now ni mbaya sanaMi nilijua coca zimeanza kunikataa manake kila nikinunua siwezi kumaliza chupa moja wakati kawaida nakunywaga mbili ndio natosheka.
Hapana coca now ni mbaya ukinunua unajilaumu pesa yako impending bureMi nilijua coca zimeanza kunikataa manake kila nikinunua siwezi kumaliza chupa moja wakati kawaida nakunywaga mbili ndio natosheka.
AhaaahaUmeniwahi π€£π€£π€£
AhahaahqAisee sijui ww ni mkemia wa kuchanganya gongo.
Coca cola ilioandikwa original taste, ina taste ambayo ni uniform.
Hapana nakataaaSoda ya mbeya ni tamu sana ziaid ya soda ya dar.
Huenda kweli maji huchangia sana mkuu, soda dar ya moto hunywi ni mbaya.
Embu tuondoe ubishi ziletwe coca cola zote za kanda zote tuonjèHakuna cha maji sijui nini.
Hio ni sehemu ya biashara. Kila kanda ina taste yake.
Lakini huwa kuna ile taste ya mwanzo n kale huwa ipo kila mkoa sema zinakuwa finyu