Soda ya Coca-Cola zimekuwa mbaya sana

Mashoga mnapenda vitu vitam vitam


Punguza sukari acha ushoga utajiharishia
 
Hi πŸ‘‹

Soda ya Coca-Cola kwakweli ni mbaya sana sijui kwangu yaani soda ukitoa kwenye friji bas soda hainaa radha ila Pepsi iko vizuri sana Coca-Cola jitafakarini
Mkuu zote hata pepsi..

Yaani zimekuwa za hovyo mno ladha hadi harufu. Zina kaharufu flani kabaya sana.


Now niko na 7up au sprite basi.
 
Ni kweli coca siku hizi haisisimui.. Ladha yake baridi sana kama unakunywa dawa ya mganga.. [emoji6]
Wamepunguza kiasi kikubwa cha Cokein kwenye Cola! Kumbe Watanzania wengi mnapenda kubembea Kama mateja kila saa mnataka msisimko!![emoji1]
 
hizi soda ukiziweka kwenye jokofu badae zikapata moto kwisha habari yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…