Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hawataki kusikia wanaitwa waafrica, inaonekana huwajui wewe, wanafikira wako more superior kuliko ngozi nyeusi, usilazimishe undugu hawatakiWaafrika gani unazungumzia!?..kwani waarab si waafrika!?..uafrika si rangi nyeusi ya ngozi
kaka waafrika wenzio Senegali, Cameroon hao siyo waafrikaWapi amesema sio kwa ajili ya waafrika? Mleta mada wivu unakutesa sana.
We jamaa kichwa ni box kabisa wapi wameandika hii sio kwa waAfrica? Acha ushambaMorocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Inategemea na jamaa alikua anaongea vipi na namna alivyo ulizwa. Shida ni kua watu mpo tayari kukumbatia habari ya uongo kisa tu inaendana na mnachowazaHivi kama kuna Saido, Dodo na Saidama....!
Hafu mimi nakuja na Pilau na kusema hii Pilau italiwa na Saido na Dodo....! Unahitaji uthibitisho gani kujua kwamba haumo!
Otherwise labda wewe Ostaadh.
Hahah hahah haaa Wamoroko wa Vigwaza mmechefukwa, Pole sanaW
We jamaa kichwa ni box kabisa wapi wameandika hii sio kwa waAfrica? Acha ushamba
Wamesha delete manake waliikosea.Ilikuwa kwemye verified tweeter account japo wamesha delete
Watu na misimamo yenu banaKwani kuna sehemu kaandika unahisiana na waafrika? Usipotajwa maanake hauusiki
Lete sauti yakeAkitaja wanaohusika na ushindi amenukuliwa hivi:-
" This victory belongs to all the Moroccan people, to all the Arab peoples, to all the Muslim peoples of the world"
Umesoma hesabu za seti?Elimu ni muhimu sana,hivi kweli ukiangalia maneno ya kocha yanaendana na ya huyu poyoyo?hizi ni chuki tu za kutajwa uislam hakuna lingine,wala nguruwe watu wa hovyo sana.
You are not mentioned, you are not there.Mbona unapotosha mkuu?
Kwa mujibu wa maandiko ya kiingereza pichani hakuna mahali amesema “Si kwaajili ya Afrika” kama ulivyodai kwenye ‘Heading’ ya uzi wako.
Ni kama tu vile Uturuki inavyoshiriki UEFA na Euro cup.Kwanini wanashiriki champion ligue na afcon Kama wao sio africa
Huu ni upumbavu na upuuzi tu!!
Kataja wahusika watatu, Waafrika hatuhusikiKwenye thread yako maelezo yote yanaonyesha una inferiority complex ya aina fulani. Ulikuwa unasubiri tu kitu kidogo kabisa kiilipue. Jamaa kasema vizuri kabisa ushindi ni kwa nchi yake, waarabu na waislam. Hakusema siyo kwa ajili ya Afrika. Mtu yoyote anapofikwa na jambo lile zuri au baya hukumbuka wale walio karibu kwa haraka zaidi.
Daah nimecheka aisee!!Kwanza mfalme wao alimdanganya Magu atamjengea Uwanja wa Mpira hadi Magu akavuta bila hata site ya Uwanja kujulikana
Sema li Magu nalo lilikuwa liongo liongo ukute lilitudanganya
Wee jamaa umejua kunichekesha aiseeKwanza mfalme wao alimdanganya Magu atamjengea Uwanja wa Mpira hadi Magu akavuta bila hata site ya Uwanja kujulikana
Sema li Magu nalo lilikuwa liongo liongo ukute lilitudanganya
Haujielewi we jamaaHahah hahah haaa Wamoroko wa Vigwaza mmechefukwa, Pole sana
Watu wanagubu tu. Kwanza Nani kamsikia akisema hivyo. Hivo vimaandishi mtu yoyote anaweza kuandika tu.Nimejaribu kutafuta hiyo sehemu sijaona, sijui kwanini watu wanapenda sana kuyakuza mambo.
Iulize nafsi yako ina vinasaba gani na Waarabu?Haujielewi we jamaa
Furaha halisi unajitengenezea mwenyewe. Furaha za kutengenezewa zinaweza kukugeuka muda wowote. Ona furaha yako ya jana ilisababishwa na Waburushi, leo wamekuruka kwamba wewe sio sehemu ya ushindiShangwe zote zile nimewashangilia jana kumbe wamejitoa kwenye uafrica eboo😀