macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hapa ndipo tunapopishana. Hakusema hatuhusiki.Kataja wahusika watatu, Waafrika hatuhusiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo tunapopishana. Hakusema hatuhusiki.Kataja wahusika watatu, Waafrika hatuhusiki
Alisemaje?Hapa ndipo tunapopishana. Hakusema hatuhusiki.
Sipo hapa kueleza nasaba yangu? Swali je wapi ameimention Africa? Na kuna yeye kuipraise dini yake?Iulize nafsi yako ina vinasaba gani na Waarabu?
Yaani nawewe umemuamini mleta nada?Kwanini wanashiriki champion ligue na afcon Kama wao sio africa
Huu ni upumbavu na upuuzi tu!!
Wanataka kuwajengea uwanjaHivi Morocco inanisaidia nini mimi Mtanzania wa kabuku?
Lol! Ila angefuzu walau Ghana au Senegal hao ndo waafrica pureFuraha halisi unajitengenezea mwenyewe. Furaha za kutengenezewa zinaweza kukugeuka muda wowote. Ona furaha yako ya jana ilisababishwa na Waburushi, leo wamekuruka kwamba wewe sio sehemu ya ushindi
Uafrika siyo ngozi nyeusi elewa,mwafrika ni mtu wa Bara la afrika, Gaddafi kaipigania Sana afrika na alijitoa Arab league,Algeria ilikua mbele mapambano dhidi ya apartheid afrika kusini,wapi waarabu wa afrika walisema wao si waafrika!?Hahahaha hawataki kusikia wanaitwa waafrica, inaonekana huwajui wewe, wanafikira wako more superior kuliko ngozi nyeusi, usilazimishe undugu hawataki
Tena wana mioyo ya dhahabu tofauti na hao mumiani magaidiLol! Ila angefuzu walau Ghana au Senegal hao ndo waafrica pure
Siku Ghana anatoka wachezaji walienda kutoa shukrani kwa mashabiki. Ni upendo wa Hali ya juuTena wana mioyo ya dhahabu tofauti na hao mumiani magaidi
Na heshima pia. Huo ndio uungwanaSiku Ghana anatoka wachezaji walienda kutoa shukrani kwa mashabiki. Ni upendo wa Hali ya juu
ila je ni kweli ushindi wamoroko ni kwa ajili ya waislamu ?Wapi amesema sio kwa ajili ya waafrika? Mleta mada wivu unakutesa sana.
Nikama Allah kuongea kiarabu tuNi kama "WARAKA WA PAULO KWA WAEFESO" unavyosomwa kwenye makanisa afrika. Kwa maneno mengine ni kama wametutaja tu..
Hatufanani hata tungefuzu tz ikacheza fainali na Brazil naiombea brazil ishindeNdio maana hata ule uzi wa world cup sijachangia chochote.
Nchi yangu Tanzania haipo.
Halafu mtu bila aibu unakuta kwao nangurukuru anashabikia England au Brazil.
Unabakia kujiuliza tu. Huyu ana akili timamu kweli??
Watanzania na waafrika tuna mental slavery ambayo kuachana nayo itachukua muda
Naangalia mpira kama burudani tu ila huwezi nikuta nashabikia timu ya Taifa jingine.
Samuel E'to alishawahi kuzomewa na kupigwa na ndizi kama sikosei kule Hispain wale walimfanyia vile walikuwa Waarabu???!Waarabu na shetani hawana tofauti
Tulijisahau tukawashangilia kumbe wanatuona sisi wajinga tu
Hivi nyie hizi habari huwa mnaziokota wapi?Waarabu sio watu wale, Africans wanaokimbilia Europe kupitia border za waarabu wanakuambia bora ukamatwe na mzungu kuliko mwarabu, kuna story nyingi sana youtube za mateso waafrica wanayopewa na waarabu
Nenda kwao ndio utamjua mzungu na rangi yake. Yaani dini ililetwa Kama mind slavery fulani. Jamaa tulikuwa tuanataka kuingia club Ni free Ila wanakataa wanatuambia tutoe hela Ila unakuta Ni bure. Yaani labda dada zao wanatukubali kwa kugegeda Wala hakuna lolote la zaidi.Wewe sasa ndo umeandika ..
Kuna jamaa hapo juu kasema eti bora Mzungu nikasema huyu ameshawahi kweli ishi na Mzungu au kwakuwa anawaona wamekuja huku kwetu wanatembea akajua ndo walivo.!!
Uaenda mbaliNenda kwao ndio utamjua mzungu na rangi yake. Yaani dini ililetwa Kama mind slavery fulani. Jamaa tulikuwa tuanataka kuingia club Ni free Ila wanakataa wanatuambia tutoe hela Ila unakuta Ni bure. Yaani labda dada zao wanatukubali kwa kugegeda Wala hakuna lolote la zaidi.
Yaani black unadharaulika nje kinyama. Hivi hamuoni hata USA tu wanavyopata treatment yao. Hapa tu sauzi Kuna black hakanyagi. Mie huwa nawacheki na jamaa wenye shobo na nguruwe nabakia kusema nakaa kimya.
Ni Kama Kuna kabila hapa Tanzania hawawezi nunua kwenye duka ambalo sio la mtu wa kabila yao. Ila wakiwa huko kwenu utaona watajifanya kuwa marafiki na nyie Ila baadaye Ni matusi kwenda mbele.