Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Uaenda mbali
Samuel Eto aliwahi zomewa wakati yupo Hispain..
Rais wa USA alizitaje nchi za Kiafrica![emoji1787][emoji1787]
Mtu anasema bora Wazungu.
Mtu mweusi utadhaurika popote bale mradi sio kwa waafrica wenzako hilo halina ubishi.
Ivi Ile kauli ya Trump Ni ya ukweli ama mie nilijua Ni maneno yaliyokuwa yanazunguka. Bora tungekuwa na umoja wetu wenye nguvu na sarafu yetu. Na mtu mweusi aruhusiwe kuingia nchi yeyote ya afrika Ila sio zile Tunisia moroco Egypt Libya Mana hao jamaa Ni waarabu sio waafrika
 
Samuel E'to alishawahi kuzomewa na kupigwa na ndizi kama sikosei kule Hispain wale walimfanyia vile walikuwa Waarabu???!
Etoo alikataliwa kununua saa uk kuwa wewe Ni mweusi huna uwezo. Baloteli na wengineo. Hata wakifunga goli ukicheki hawawapi Ile pongezi Kama mwenzao nguruwe pia.

Yaani yule wa kwao wanamfeel kinyama na hongera sio ya kinafiki.


Ivi wale balcks walioko India lile kabila la siddis ivi kweli wanapata treatment nZuri from Indian government
 
Inategemea na jamaa alikua anaongea vipi na namna alivyo ulizwa. Shida ni kua watu mpo tayari kukumbatia habari ya uongo kisa tu inaendana na mnachowaza
Screenshot_20221207-221015.jpg
 
Hivi nyie hizi habari huwa mnaziokota wapi?
Hivi una akili kweli. Jaribu kutoka hapa kwenu si upo kwa mama yako (tz). Ruka mipaka ndio utajua Kama hujui.acha kabisa naomba ufunge mdomo mkuu. Hapa tu Qatar ujenzi wa viwanja wamesemaje waliokufa waafrika.wale dada zetu wanaonyenyesha mbwa uarabuni.
Hata g
Hapahapa bongo wanalazimishwaga wasex na mbwa,naomba usinitie hasara basi. Mwishowe nitoe povu.

Yaani wewe Hapa kwenu unapendwa unajua Ni pote.

Kuna kijana wa ditopile tulisoma naye rashia Ile anakuja likizo. Siti moja na mdada mzungu yule mdada aligoma kukaa naye. Ikabidi uongozi imbembeleze kumpeleka first class.


Enzi hizo tunakula Malaya was Moscow Kuna wengine hawakuwa wanataka blacks hata iweje Ila wengine POA tu.



Achana na nguruwe ngozi mkuu Tabia zao kama nguruwe tu.


Mie nikiwa kiongozi nadhani wataniua asubuhi na mapema.

Yani mie Bora tufe Ila sio misaada na hizo madini miktaba natengua yote.


Kongo wanauana wanachukua Mali Ile fujo pia Wana mikono yao
 
Etoo alikataliwa kununua saa uk kuwa wewe Ni mweusi huna uwezo. Baloteli na wengineo. Hata wakifunga goli ukicheki hawawapi Ile pongezi Kama mwenzao nguruwe pia.

Yaani yule wa kwao wanamfeel kinyama na hongera sio ya kinafiki.


Ivi wale balcks walioko India lile kabila la siddis ivi kweli wanapata treatment nZuri from Indian government
Halafu mtu anakwambia eti Mwarabu ni mshenzi kuliko Mzungu!!
Ebanee ngoja nitafute kuna picha za hao wahindi wanapo ndani ya mji wanaishi majalalani bwana bwana nikajua kumbe ndo maana wanakimbiliaga huku kwetu eeh??
Wakati wa kombe la Dunia south Africa ile
Say no to racism ilikuwa ni Waarabu juu ya Waafrica?
 
Hivi una akili kweli. Jaribu kutoka hapa kwenu si upo kwa mama yako (tz). Ruka mipaka ndio utajua Kama hujui.acha kabisa naomba ufunge mdomo mkuu. Hapa tu Qatar ujenzi wa viwanja wamesemaje waliokufa waafrika.wale dada zetu wanaonyenyesha mbwa uarabuni.
Hata g
Hapahapa bongo wanalazimishwaga wasex na mbwa,naomba usinitie hasara basi. Mwishowe nitoe povu.

Yaani wewe Hapa kwenu unapendwa unajua Ni pote.

Kuna kijana wa ditopile tulisoma naye rashia Ile anakuja likizo. Siti moja na mdada mzungu yule mdada aligoma kukaa naye. Ikabidi uongozi imbembeleze kumpeleka first class.


Enzi hizo tunakula Malaya was Moscow Kuna wengine hawakuwa wanataka blacks hata iweje Ila wengine POA tu.



Achana na nguruwe ngozi mkuu Tabia zao kama nguruwe tu.


Mie nikiwa kiongozi nadhani wataniua asubuhi na mapema.

Yani mie Bora tufe Ila sio misaada na hizo madini miktaba natengua yote.


Kongo wanauana wanachukua Mali Ile fujo pia Wana mikono yao
Wewe umeniqoutes vibaya nilikuwa namuuliza huyo jamaa juu aliesema Waarabu ni washenzi kuliko Wazungu..
Umekosea fanya Edit mkuu unanikosea.
 
Siipendagi morocco ila hili jamaa ni nyoko[emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]linajua sana aseeeee lol!!!
 
Waseme wasemavyo lakini ukweli ni kwamba Morocco ipo kwenye ardhi ya bara la Afrika...
 
Hivi nyie hizi habari huwa mnaziokota wapi?
Hivi nyie mnawajua Wazungu nyie au?
Rais Aliepita wa USA aliwaitaje Waafrica??
Wote sawa tuu hawapendi watu weusi lakini mzungu ana uwoga kidogo kutokana na kubanwa na uwoga wa sheria, mwarabu bado ana akili za kijima na sheria ni kama kibongo bongo tuu
 
Know your history brown man you're not black like a charcoal.mzungu and mwarabu are having rangi like ya nguruwe. So I call them pig skin. Yaani huwa nawapiga biti nikutana nao Basi tu. Nawezaza Mana nao huwa wanatuua pia
 
Wote sawa tuu hawapendi watu weusi lakini mzungu ana uwoga kidogo kutokana na kubanwa na uwoga wa sheria, mwarabu bado ana akili za kijima na sheria ni kama kibongo bongo tuu
Ndugu yangu tuyaache tu haya tusigombane Mwafrica mwenzangu ila Hao viumbe ungewajua basi tu..
Omba Mungu siku uje kuishi nchi zao ndo utakuja jua .
 
Ndio maana hata ule uzi wa world cup sijachangia chochote.

Nchi yangu Tanzania haipo.

Halafu mtu bila aibu unakuta kwao nangurukuru anashabikia England au Brazil.

Unabakia kujiuliza tu. Huyu ana akili timamu kweli??

Watanzania na waafrika tuna mental slavery ambayo kuachana nayo itachukua muda

Naangalia mpira kama burudani tu ila huwezi nikuta nashabikia timu ya Taifa jingine.
Sasa jamani kama Tz hatuna uwezo wakucheza huko watu wasishabikie? Ila kwa hao waarabu hapana huku kwetu hawatutambui kama ni wenzao [emoji3] tushabikie tu hizo nyingine ili kupunguza stres zetu maana sie huku mwendo wa migogoro tu na kupeana rushwa, AFCON yenyewe ni ndoto ya mchana
 
Huyo sofiane, sijui Sofia ninani hapa duniani?
 
Ndugu yangu tuyaache tu haya tusigombane Mwafrica mwenzangu ila Hao viumbe ungewajua basi tu..
Omba Mungu siku uje kuishi nchi zao ndo utakuja jua .
Naishi nao kwa miaka mingi sana na nawajua vizuri sana wengine ni family kabisa, wazungu ni waoga kufanya mambo ya ovyo kwa sababu ya ustaarabu na sheria ila waarabu ni wajima sana wanaweza kukufanyia mambo kama panya road tuu (my opinion)
 
Samuel E'to alishawahi kuzomewa na kupigwa na ndizi kama sikosei kule Hispain wale walimfanyia vile walikuwa Waarabu???!
Mzungu na Mwarabu wote wabaguzi ila ubaguzi wa waarabu ni mbaya zaidi kwani ndani yake kuna ujinga mkubwa. Umetolea mfano wa Eto na aliokutana nayo huko Italia (bara nyingine). Majuzi tu hapa, hapo Egypt kuna mchezaji walimwandama sana timu ya timu ya taifa kwa ajili ya ajili tu ni mweusi (tena ukimwona ndio wale huku kwetu wanaitwa white).
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Hawa ndio wameishia hapo, kwanza kipindi cha pili walikuwa wanacheza kama konokono maombi yetu tu ndio yaliwabeba.
 
Hivi una akili kweli. Jaribu kutoka hapa kwenu si upo kwa mama yako (tz). Ruka mipaka ndio utajua Kama hujui.acha kabisa naomba ufunge mdomo mkuu. Hapa tu Qatar ujenzi wa viwanja wamesemaje waliokufa waafrika.wale dada zetu wanaonyenyesha mbwa uarabuni.
Hata g
Hapahapa bongo wanalazimishwaga wasex na mbwa,naomba usinitie hasara basi. Mwishowe nitoe povu.

Yaani wewe Hapa kwenu unapendwa unajua Ni pote.

Kuna kijana wa ditopile tulisoma naye rashia Ile anakuja likizo. Siti moja na mdada mzungu yule mdada aligoma kukaa naye. Ikabidi uongozi imbembeleze kumpeleka first class.


Enzi hizo tunakula Malaya was Moscow Kuna wengine hawakuwa wanataka blacks hata iweje Ila wengine POA tu.



Achana na nguruwe ngozi mkuu Tabia zao kama nguruwe tu.


Mie nikiwa kiongozi nadhani wataniua asubuhi na mapema.

Yani mie Bora tufe Ila sio misaada na hizo madini miktaba natengua yote.


Kongo wanauana wanachukua Mali Ile fujo pia Wana mikono yao
Urusi inafaamika kwa kiwango cha ubaguzi
Alikuja kuweka sawa kuwapoza Waafrika waliozani kutotajwa tu pale basi hawathaminiki. Watu walishindwa kuelewa kua wakati mwingine ni kusahau tu
 

Attachments

  • 20221208_071349.jpg
    20221208_071349.jpg
    105.8 KB · Views: 3
  • 20221208_071159.jpg
    20221208_071159.jpg
    73.4 KB · Views: 3
Kesho watapigwa kama ngoma.
Arudie kuandika kuwa kufungwa kwa Morocco ni kwa waislamu wote, Waarabu na Wenyewe.
Afrika isihusishwe na kipigo chao cha kesho
 
Back
Top Bottom