Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Ngoja nisubiri mpambano wa Waafrica wa Kimanzichana na Waarab wa Kilwa...
 
Lakini kiujumla hakuna ngozi ya nguruwe inataka kuwekwa kundi moja na brown lala mkuu. Kuna siku mjamaika akaitwa mwafrika akamaindi kuwa mie am Jamaican and not African. Mpaka mghana mmoja akamaindi kuwa Sasa anakataa Jamaica Kuna Nini na huku inazidiwa na nchi nyingi mno kiuchumi za kiafrika. Halafu west Africa Wana Tambo Kama za baadhi ya ndugu zetu hapa hapa bongo mpaka na wao wanatambaga kuwa level zao Ni waasia sio blacks
Hao ni watu wasio na akili timam
 
MBONA MUDA SANA MOROCCO WALISHASEMA WAO SIO WAAFRIKA?? HIVI HATUWEZI WATOA KWENYE UMOJA WA AFRICA AU???

Au kama kuna uwezekano tuchimbe mpaka wao kama mfereji wa suez kisha unaujaza maji wabakie kule juu kama ka kisiwa tu wachague pa kwenda🤒🤒🤒
Ila hawakujitoa umoja wa Africa kwa sababu walisema wao siyo Waafrica, walijitoa sababu nchi nyingi za Africa zilitaka Western Sahara wawe huru wakati Moroco wao wanasema sehemu hiyo ni eneo lake hivyo haiwezi kuwa huru.

Hata kutaka kujiunga na EU ilikuwa mbinu tu ya kutaka kuwa karibu na EU (nchi gani haipendi kuwa karibu na EU?). Hili limewasaidia sana Maana Moroco wanapewa hela na misaada ili kupunguza wimbi la Wamoroco wanaozamia Ulaya

Nchi karibu zote za Africa ni masikini kulinganisha na nchi za EU hivyo kwa namna moja zinategemea sana EU sapport na hii ni zaidi sana kwa nchi zinazopakana na EU
 
Na Morocco walifikia hatua ya kuomba kujiunga na Ulaya mwaka 1987. Kwamba wanajihisi kuwa wazungu zaidi ya Africa.

Wazungu waliwagomea ndo wakaanza kujileta Africa, hata hivyo, bado wanaegemea uarabu zaidi ya uafrika.
Mkuu hiyo ilikua na baada ya AU kuitambua Jamhuri ya Sahrawi na kuipa uanachama kwenye AU.

Morocco wakadai wanafanyiwa isivyo haki na wala halikuwa suala la ‘identity’

Mgogoro wa Morocco 🇲🇦 na Sahara Magharibi
 
Na tuone kama watafika popote!
Binafsi sipendi mpira, wala huwa sina muda wa kuangalia. Ila siku ile nimejikaza nikaangalia na maombi juu nikijua walao Afrika tunaenda kuonekana katika ulimwengu wa soka kumbe sivyo!
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Kuna watu wanajifanya ni waarabu na waumini wa dini ya mnyazimungu🤔
Morogoro kaskazini STRUGGLE MAN
 
Vitu vingine fanya kama passion tu, havina impact yoyote kwa individual person. Imagine tuseme Tanzania imefanikiwa kuingia WC na ikafika final na ikachukua kombe, wewe km wewe una nufaika vp na ushindi huo? Je inaweza kukuza uchumi wa nchi? Achana na uchumi wako tu.
Ukifuatilia sana soccer utagundua tunapigia debe kazi za watu pasipo kujijua.

Wewe mwana simba, ubingwa mara nne mfulilizo ulikunufaishaje?
Je ubingwa wa yanga na hata wangekuwa unbeaten 100 games ww ingekuongezea nini?
Lakini utagundua inaposhinda simba/yanga kuna kundi flani la watu wanapata manufaa wewe utabaki mpiga kelele na kuchangia timu ya watu wa watu.

Kurudi kwenye mada hata anaeshabikia morroco hana tofauti na mtu wa mbeya anayeshabikia simba. Mpira utabaki kuwa burudani and it has nothing to do with uzalendo since ni biashara ya watu fulani.
Asante brother , comment bora sana kwangu kuwahi kukutana nayo.
 
Wanaigeria walivyokua wanawashobokea huko twitter kisa walikua wanacheza wimbo wa Burna boy naona ujumbe wameupata, eti Morocco ipo west Africa hata aibu hawana,waAfrica weusi tujifunze kubalance shobo kwa hawa waarabu koko,wengine washanza kuwaombea wafungwe huko na Portugal [emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.

Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.

#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.

View attachment 2438715
Ndiyo maana waislam wanadharauliwa na dunia, ni wabibafsi, washamba, elimu duni. Sasa wako bara lipi. Wakati wa kutafuta makundi ya nchi za kuwakilisha mabara wao walikuwa bara gani. Wamejidharaulisha sana.
 
Bora kutupiwa ndizi kuliko kuwa karibu na nusu shetani/arabs
Mie hao wote naona wote tu wanatudharau..
Akiniheshim namheshmu
Akinidharau namdharau..
Haina haja kupanic sanaaaa tunawapa ukuu usio na maana.
 
Back
Top Bottom