Kamaliza mzozoHuyo ana mapepo anajifanya ananijua Sana nahisi NI mgeni JF
TRA wananikondesha Sanaπππkwa majibu haya kweli, ulaumu soko limekua gumu??
Vinapenda vyenyewe kubaka ni kumwingilia bila idhini yake. Katoto kanaifata hadi geto kanaimwagia uno kanabakwa kweli hako?Nyie ndio mnabaka watoto wa shule asee,
Zamani utabakia kua zamaniWanawake WA zamani wangepata exposure kama wanazopata WA sasa nadhani realistic standard zingekuwa the same don't you think??
Mwisho unatupwaUyo mlevi itakua hajalewa uyo wanaume kama hao tele tu Shida iko kwetu sisi Wanawake tunataka mambo mengi bila ya kufikiria uwezo wa wapenzi wetu
Kwasababu ya utandawazi ndio maana wanawake wanataka vitu vizuriLodge kila kona, watu wengi hatufahamiani kwahiyo aibu imepungua.
Pia watu wa sasa tumekuwa na mahitaji na malengo makubwa sana wanaume kwa wanawake, hii inafanya wanaume tuwe bahili kwa maana kupunguza matumizi ya sio lazima. Upande wa pili ndio unatumia Uchi kufanikisha malengo
TRA wanamuitaKamaliza mzozo
Mama zako walianza kuvaa nguo mwaka 1977Mlipoanza kutembea uchi mmepoteza ladha
πππ AkawalipeTRA wanamuita
Shem wewe bado uko JF?Mwisho unatupwa
Akalipe kodiπππ Akawalipe
Niko ntaenda wapi na bando zilivyo ghali hiviShem wewe bado uko JF?
Toa mfano mmoja na picha tumwone Huyo mpumbavuHalafu unakuta wapumbavu wamebahatika lakini wanazichezea ndoa zao
Haya me nimerudi tena kuchungulia naona skuhizi hakuko kama zamani buanaNiko ntaenda wapi na bando zilivyo ghali hivi
Kila kitu kipo wazi nyie wa siku hizi mna makando kando mengi sana.Bado hujajibu swali, Rudia kusoma uzi
Hali Sawa ilianza mwaka 1985Haki sawa mnaweza pambaneni
Kama yapi?!J
Kila kitu kipo wazi nyie wa siku hizi mna makando kando mengi sana.