Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe


Wewe ni mjinga Kwa sababu hizo tools zako nimeshakutajia lakini Kwa vile uelewa wako Mdogo hujaona hata principle moja ya statutory interpretation. Ni wale mnaokariri vitu ndio maana unataka nikutajie kama mtoto wa darasa la Kwanza.

Nilikuuliza swali unafikiri ni Kwa nini Busara inatumika kwenye sheria? Lakini Kwa vile Akili yako ni ndogo hujajua jibu la swali hilo ni sehemu ya hizo Principles of Statutory interpretation.

Nakuambia kama ungekuwa Wakili hizi kesi ungeshindwa Kwa sababu umekariri sheria kama Kasuku.
Nilikuambia sheria ni zaidi ya zilivyoandikwa
 
Duuu! Ndugu mahakama inaangalia umiliki
 
  • twende taratibu, umenitajia tools ngapi? , Na Mimi nimetaja tools ngapi?, Na je ulitaja baada ya Mimi kuanza kuzitaja, ulianza kuzitaja wewe?, Mimi ndiye niliyeanza kwa kukuuliza swali kuwa, unazijua principles of statutory interpretation, ukasema huzijui Mimi nikaja nikakutajia kitu kinaitwa literal rule na intention of the legislature au umesahau? Na ndiyo na wewe ukaenda ukaGoogle ukaleta principle of mischief ambayo kimsingi ni marudio ya hoja yangu, au umesahau, infact ulikuwa hujui statutory interpretation, Kwa sababu hata sheria ya tafsiri ya sheria ulikuwa huijui, ungekuwa unaijua ungeweza kuzitaja Principles of statutory interpretation haraka, bila kusubiri Mimi nianze kutaja,na kuchambua,
  • kwani Mimi Toka awali nilikuwa nanukuu kifungu kikitumia lugha gani? si kifungu kimesema the Court may, na nikakwambia hiyo ni discretion kwa kuangalia mazingira Fulani Fulani au umesahau, au Kati ya Mimi na wewe nani ambaye aliyeleta hoja ya discretion? unakumbuka mwanzoni msimamo wako ulikuwaje kuhusu maintenance Kwa former wife?
-mimi na wewe nani amekariri sheria?, Wewe unayeelewa mbona ulishindwa kujua tools of statutory interpretation?, Mbona ulikuwa hujui Sababu za kuvunja ndoa zote?, Mbona ulikuwa hujui kifungu Cha 115, na 120 vinasemaje?, Kama wewe unajua sheria mbona haya maneno yamekushinda " when granting or subsequent to the grant of decree of divorce" nimekuuliza zaidi ya Mara tano umeshindwa? hii tafsiri yake nini? Kama unaelewa sheria si ungetoa tafsiri ya hicho kifungu
 
-sheria imesema the court may order when granting or subsequent to the grant of decree of divorce? hayo maneno umeyaelewa? Mahakama inaweza, Kwa kuangalia mazingira Fulani Fulani, Sasa hapo kipi Huelewi? inaangalia mazingira Fulani Fulani ndiyo itoe hiyo amri, na Mimi tangu awali ndiyo ulikuwa msimamo wangu wa Kisheria,
-kama hicho kitu hakipo au hakiruhusiwi, Kisheria sheria ingesema "The court shall not order grant order when granting or subsequent to the grant of decree of divorce" , sheria ingepiga marufuku expressly, Kwa kuwa hicho kitu Cha maintenance kinawezekana kwenye mazingira Fulani Fulani basi mahakama inaweza, na ndio maana kifungu Cha 120 kimesema matunzo yatakoma pale tu former husband/ wife anapoolewa, umeelewa?
- Unapotaka nikuwekee Kesi hapo ndio unapoonyesha hujui sheria, Iko hivi Kama kitu kimeshasemwa na sheria,na sheria Iko expressly haina haja kwenda kwenye caselaw
 
Hivi kwa ulichoandika hapa ni kwamba umekubaliana na kile alichokuwa akikisema Balensiaga kwamba mtalaka anaweza kuhudumiwa au? Binafsi sikujua kwamba wewe ni mbishi wa kiwango hicho.
 
-hapa ulikiri kuwa hufaamu principles of statutory interpretation?! Si umeona? Umekiri kabisa Kwa kuandika "sifahamu mkuu"
 
- hapa ndiyo nilianza kutaja majibu Kuhusu principles of statutory interpretation!, Umeona? Sasa Mimi na wewe nani mjinga?
 
Hakuna Sheria ya kutunza MWANAMKE uliyeachana naye.

Alafu wanandoa wakiachana neno MKE na Mume linaondoka automatically. Ndoa ndio inamfanya MTU kuitwa Mume au MKE.

Wanao tunzwa ni Watoto tena wenye umri Fulani
- hapa ulisema hakuna sheria ya kumtunza Mwanamke uliye achana naye, huu ndiyo ulikuwa msimamo wako, lakini nikaja nikakupa kifungu Cha 115, na 120 kinachosema ukomo wa maintenance?
 
Hakuna sheria yoyote Duniani ya Aina Hiyo.

Kama Ipo hata nchi yoyote iweke hapa.

Anayehudumiwa ni MKE wa Ndoa, mkishaachana hakuna kitu kama hicho,
Hapa ulisema hivi, "Mkishaachana hakuna kitu Kama hicho" wakati kifungu Cha 115 miongoni mwa mambo kinasema "when granting or subsequent to the grant of decree of divorce ", kifungu Cha 120 kinahusu ukomo wa maintenance,
Msimamo wako ulikuwa 'mkishaachana hakuna kitu Kama hicho "
 
- hapa nikaanza kukufundisha matumizi ya maneno "the court may"
 
Bwana Bashir Yakub ukaona ile ni fursa ili uwapige pesa wabongo wajinga sio?! πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Fanya kazi kwa bidii upate pesa yako ya halali, wacha utapeli utapeli... sasa kuweka namba yako hapo maana yake ni nini?!
 
Hapa ukasema hivi, "hiyo shall au may au discretion ninaweza kutokujua maana yake katika muktadha wa Sheria" hapa ulikiri Kuwa maneno shall, may na discretion yanaweza yakawa yanakushinda! Umekiri kuwa hujui Sasa hapa Mimi na ww nani mjinga?
 
Bwana Bashir Yakub ukaona ile ni fursa ili uwapige pesa wabongo wajinga sio?! πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Fanya kazi kwa bidii upate pesa yako ya halali, wacha utapeli utapeli... sasa kuweka namba yako hapo maana yake ni nini?!
Awapige pesa, kuwa na adabu huyo ni Wakili, na kazi ya uwakili ni kazi yenye heshima kabisa, na ndio maana Uwakili unapewa/ unaapishwa na Jaji Mkuu, kama Rais anavyoapishwa na Jaji Mkuu
 
Inawezekana vipi sheria kutungwa huku ikiwa imebeba vitu ambavyo haviwezekani kama unavyodai?
 
Asante sana.
Kwanza naomba kufahamu ikiwa mali imeuzwa ndani ya ndoa na fedha iliyotokana na mauzo hayo haitakuwepo wakati wa kugawana mali?

Pili,je, inawezekana kuandikisha mali kwa majina ya watoto kabla ya kufikisha umri wa miaka 18?
 
Waelekeze mkuu! Nashangaa wabongo walivyomkazania hiyo kijana, kutwa ma-post ya hakimi. Na hawa wanaoshabikia huu upuuzi ni vijana wasio na pesa. πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…