Sheria huzijui,
Huwezi mhudumia Mtalaka (, Mwanamke au Mwanaume) uliyewahi kuwa naye kwenye Ndoa Kwa Sababu, Watu wengi kwenye jamii yetu hawezi kuishi peke Yao bila mahusiano.
Yaani kitendo cha kuachana Leo hii, ndani ya mwezi muda mfupi waliopeana talaka wapo kwenye mahusiano mengine.
Na hapo ndio inakuja hoja ya kuwa Mtalaka hahudumiwi.
Na sheria hiyohiyo inaeleza Jambo hilo.
Kasome sheria vizuri,
Anzia Vifungu vya 63, 118, 120- 130 utaona minachokieleza
Elewa kuwa zipo sababu za Mtu kupewa talaka ambazo zitaifanya Mahakama isimuamuru Mwanaume au Mwanamke kumhudumia Mwenza waliotengana, na sababu kubwa ni uasherati.
Mahakama Kutumia neno May ingetosha kukufungua macho kuwa Jambo hilo linategemea zaidi Mischief Rules.