Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Ukimuandika mama yako na yeye awe na document ambazo kashaandika wew Ndo mrithi wa mali yeye akifariki na Usiwe na ndugu wenye tamaa na njaaaa maana KITAUMANA TU...!!
Hapana, maandishi ndiyo msema ukweli , kama alikuandika wewe ndiye mrithi hakuna wa kupinga hilo tena ili kukazia na wewe unaandika ukifa mali zote wawagawie UNICEF
 
Dah sio mchezo nipo na wife nimempa asome hii comment kacheka sana. Hivo kuliko kugawana bora mmoja wenu amuachie mwenzake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha msalimie shemeji [emoji1]

Mkuu haya maisha Acha tu


Ova
 
Unaweza muhamishia Mali,pesa zako kwa mama yako na akakuangusha
Hii inatokeaga na mimi nishaona,ilimkuta baharia mwenzangu ....mama yake alimyoosha kwelikweli

Ova
Sasa hapo inabidi kuwa makini unapochagua wazazi, unaweza pia mpatia babaako na yeye akaenda kunywea au kuhonga..😅😅😅
 
Nilikuwa nakupima kuona kiwango chako cha Haki na Uelewa.
Kwa upande wa Haki umefeli Kwa sababu hizo sheria unazozinukuu unachagua Vifungu vinavyokupendeza na kupendelea Mwanamke ilihali ukisoma Vifungu vinavyofuata vinaeleza pia kuwa hata mwanamke anaweza kuambiwa amhudumie mwanaume aliyeachana naye.

Hii hoja nimeipinga na vipo Vifungu vinasapoti hoja yangu Kwa sababu mazingira ya Kitanzania Mtalaka hawezi kuishi mwenyewe Kwa hata miezi sita bila Kupata mpenzi anayemgegeda au wanayegegedana,

Pili, uelewa wako kuhusu Lugha ni mdogo ndio maana unafikiri Lugha ni vile MTU anavyoongea au kuandika bila kujua kuwa Lugha ni utamaduni, hivyo unapomzungumza kiingereza kuna sehemu tuu utapishana na tafsiri za Kiswahili kutokana na tofauti za kiutamaduni.

Ndio maana nikakuambia tafsiri ya Former wife haiwezi kuwa MKE wa zamani katika utamaduni WA kiafrika, Mtalaka haiwezi kuwa na maana ya MKE wa zamani.

Ndio maana kwenye hiyo sheria imetumia Mischief Rules kuziba gap la kiutamaduni baina ya Uafrika na Ujio WA sheria hizi za kizungu, na Ipo tayari kupokea mabadiliko yoyote kulingana na utashi na busara za Mahakama. Hata hivyo sheria hiyo imelenga kumpendelea mmoja wa wanandoa ikiwa hapo Kabla kina sheria zilikiukwa licha ya kuwa wamepeana Talaka
Taikun na balenciaga mmoja wenu lazima atokwe na damu [emoji1]
Ila nawafatilia,ligi yenu nmeikubali

Ova
 
Taikun na balenciaga mmoja wenu lazima atokwe na damu [emoji1]
Ila nawafatilia,ligi yenu nmeikubali

Ova

Huyu ananiringishia na kingereza chake cha ugoko, Sisi Watoto wa Kata ni vingereza wapi na wapi 😀😀.

Ingawaje nimeshatoka mara kadhaa nje ya nchi lakini bado kingereza dish lake halijakaa vizuri.

Alafu huyu Balenciaga sio ajabu hata hapo Nairobi hajawahi kufika wala kuvunja boda lakini analeta vitisho vyake hapa, JPM anasema anasleng shweshweeshwee
 
Sasa hapo inabidi kuwa makini unapochagua wazazi, unaweza pia mpatia babaako na yeye akaenda kunywea au kuhonga..[emoji28][emoji28][emoji28]
MWANA ALIKUWA ANAMTUMIA MAMA MPUNGA AMCHUKULIE MIJENGO,MWANA ALIKUWA MBELE
MIAKA HIYO SEMA SMART PHONE HAKUNA,JAMAA ANATUMIWA PICHA ZA NYUMBA ZA BOSHEN
MAMA HUKU CHINI ALIKUWA ANAJIRUSHA NA VIGASTI TU ,NA KUANDAA MASHUGULI YA TAARAB,
SI UNAJUA WAMAMA WA KISWAHILI
JAMAA ANARUDI ANAJUA ANAKUTANA NA NYUMBA 3 NA HELA ZIPO BANK .....OLAAAAAA
ALIBAHATIKA KUPATA NYUMBA MOJA TU AMBAYO MM NLIMSIMIAGA KUMNUNULIA NYUMA YA MITAA YA MANGO GARDEN
NA JAMAA MPAKA LEO HAONGEI NA MAMA YAKE KAMNUNIA

ova
 
Haha msalimie shemeji [emoji1]

Mkuu haya maisha Acha tu


Ova
Sikupingi asee nishashuhudia jirani yangu aliachana na mkewe na wana watoto watatu wanaishi nyumba ya kupanga chumba ni 20k kwa mwezi jamaa alianzisha ugomvi pigana sana na mwanamke wakatoa mavitu nje narudi toka kazini naukuta ugomvi alafu mwamba akaniomba nimuwekee vitu vyake alivyogawana na mkewe asee utacheka wamegawana kochi magodoro ya kochi hayafai ndoo milango ya kabati na vitu vya ajabu ajabu tu. Jamaa nilikua nampa pikipiki anapiga boda usiku asubuhi aliporudi nikamuweka chini nikamwambia hivi vitu kama mwanaume hukutakiwa kuvichukua watoto watakaa wapi mlango wa kabati unamsaada gani kwako? Jamaa akaona kweli kazingua akavitoa nje vitu nikasaidiana nae kuvirudisha hapo alipopanga na uzuri jamaa ni mpambanaji alikaa kwangu mwezi mmoja na nikamuachia pikipiki full time apige kazi atafute hela ya chumba na mazaga kadhaa sikuamini baada ya mwezi alikua na hela ya chumba jiko la gas godoro na kitanda cha mtumba mke alieachiwa mazaga zaga yote Yupo yupo mara apige vizinga watu mara atake kurudi kwa mshkaji lakini mwamba kajikataa akijua kabisa akili za mwanamke hazijatulia
 
Huyu ananiringishia na kingereza chake cha ugoko, Sisi Watoto wa Kata ni vingereza wapi na wapi [emoji3][emoji3].

Ingawaje nimeshatoka mara kadhaa nje ya nchi lakini bado kingereza dish lake halijakaa vizuri.

Alafu huyu Balenciaga sio ajabu hata hapo Nairobi hajawahi kufika wala kuvunja boda lakini analeta vitisho vyake hapa, JPM anasema anasleng shweshweeshwee
[emoji1]

Yaani hata mm sielewi hapo,talaka itoke alafu mahakama imamue
Utoe matunzo kwa mke ...

Ova
 
Sheria huzijui,
Huwezi mhudumia Mtalaka (, Mwanamke au Mwanaume) uliyewahi kuwa naye kwenye Ndoa Kwa Sababu, Watu wengi kwenye jamii yetu hawezi kuishi peke Yao bila mahusiano.

Yaani kitendo cha kuachana Leo hii, ndani ya mwezi muda mfupi waliopeana talaka wapo kwenye mahusiano mengine.
Na hapo ndio inakuja hoja ya kuwa Mtalaka hahudumiwi.
Na sheria hiyohiyo inaeleza Jambo hilo.
Kasome sheria vizuri,
Anzia Vifungu vya 63, 118, 120- 130 utaona minachokieleza

Elewa kuwa zipo sababu za Mtu kupewa talaka ambazo zitaifanya Mahakama isimuamuru Mwanaume au Mwanamke kumhudumia Mwenza waliotengana, na sababu kubwa ni uasherati.

Mahakama Kutumia neno May ingetosha kukufungua macho kuwa Jambo hilo linategemea zaidi Mischief Rules.
-mimi na wewe Nani hajui Sheria? Wewe kama ulikuwa unajua sheria mbona ulishindwa kujua tools of statutory interpretation? Mjuzi yoyote wa Sheria Lazima ajue tools of statutory interpretation zinazotumika hapa Tanzania kwenye mfumo wetu wa sheria za Uingereza, wewe ulikuwa hujui, Kwa kitendo Cha kutokujua tools of statutory interpretation, tayari umeonyesha hujui sheria hakuna mjuzi yoyote wa Sheria asiyejua tools za statutory interpretation.
  • Kuhusu hoja ya kusema kuwa huwezi kumuhudumia the former wife, hapo unajichanganya kabisa, kwenye hoja yako umetaja vifungu kama 120 Cha sheria ya Ndoa, technically umejiingiza kwenye mtego mfano hicho kifungu Cha 120 kimesema hivi, Right to maintenance to cease on remarriage (1) The right of any divorced woman to receive maintenance from her former spouse under any order of court shall cease on her remarriage. (2) The right of any man to receive maintenance from his former wife under any order of court shall cease upon his remarriage. (3) The right of any divorced person to receive maintenance from his or her former spouse under an agreement shall cease on his or her remarriage unless the agreement otherwise provides. Hicho kifungu kinatilia nguvu masharti ya kifungu Cha 115 ambacho hicho kifungu cha 115 kinazungumzia kuwa mahakama inaweza ikatoa amri ya matunzo kipindi Cha Kesi ya Ndoa na baada ya kutolewa talaka, Wakati kifungu Cha 120 kinasema kuwa Jukumu la kumtunza former wife au former husband linaishia pale huyo former wife anapoolewa au anapooa inacase of the former husband, kwamba akiolewa tu Jukumu la kumtunza former wife/husband (kama Kuna amri ya Mahakama) Hilo Jukumu linaishia hapo, umetaja vifungu vya sheria bila kuvielewa, kifungu kingine ulichotaja ni kifungu Cha 63, hicho kifungu kimsingi kinasema kuwa itakuwa ni jukumu kwa mume kumtunza mke wake Kwa kumpatia malazi,mavazi na chakula Kwa kuzingatia kipato Cha mume, lakini pia kimesema kuwa itakuwa ni jukumu kwa mke kumtunza mume wake pale mume napokuwa Hana uwezo wa Kutafuta kutokana na ugonjwa wa akili,matatizo ya kiafya,
  • umesema hadi s.130 yaani umetoka kabisa nje ya mada umeenda hadi kwenye vifungu ambavyo vinahusu matunzo ya watoto, wakati hoja ni matunzo Kwa former wife,
  • hebu nitajie hicho kifungu Cha sheria kinachosema mahakama inaweza kugoma kutoa maintenance Kwa sababu ya uasherati nikisome vizuri nikielewe,
  • eti unaniambia kuwa ingetosha kunifungua macho wakati, Mimi ndiye niliyekuelekeza matumizi ya maneno hayo, shall,may na discretion, au umesahau?
 
Sikupingi asee nishashuhudia jirani yangu aliachana na mkewe na wana watoto watatu wanaishi nyumba ya kupanga chumba ni 20k kwa mwezi jamaa alianzisha ugomvi pigana sana na mwanamke wakatoa mavitu nje narudi toka kazini naukuta ugomvi alafu mwamba akaniomba nimuwekee vitu vyake alivyogawana na mkewe asee utacheka wamegawana kochi magodoro ya kochi hayafai ndoo milango ya kabati na vitu vya ajabu ajabu tu. Jamaa nilikua nampa pikipiki anapiga boda usiku asubuhi aliporudi nikamuweka chini nikamwambia hivi vitu kama mwanaume hukutakiwa kuvichukua watoto watakaa wapi mlango wa kabati unamsaada gani kwako? Jamaa akaona kweli kazingua akavitoa nje vitu nikasaidiana nae kuvirudisha hapo alipopanga na uzuri jamaa ni mpambanaji alikaa kwangu mwezi mmoja na nikamuachia pikipiki full time apige kazi atafute hela ya chumba na mazaga kadhaa sikuamini baada ya mwezi alikua na hela ya chumba jiko la gas godoro na kitanda cha mtumba mke alieachiwa mazaga zaga yote Yupo yupo mara apige vizinga watu mara atake kurudi kwa mshkaji lakini mwamba kajikataa akijua kabisa akili za mwanamke hazijatulia
Hatari...mm mwenyewe nishakuwaga na kesi ya ndoa mahakamani
Sema nlimpiga KO moja mbaya sana
Ukishaona kuna kutoelewana,mifarakano basi kaa mguu sawa
Kuwa mtulivu,tumia akili na busara umalize jambo lako
Hapo sasa inabdi uishi kwa timing

Ova
 
MWANA ALIKUWA ANAMTUMIA MAMA MPUNGA AMCHUKULIE MIJENGO,MWANA ALIKUWA MBELE
MIAKA HIYO SEMA SMART PHONE HAKUNA,JAMAA ANATUMIWA PICHA ZA NYUMBA ZA BOSHEN
MAMA HUKU CHINI ALIKUWA ANAJIRUSHA NA VIGASTI TU ,NA KUANDAA MASHUGULI YA TAARAB,
SI UNAJUA WAMAMA WA KISWAHILI
JAMAA ANARUDI ANAJUA ANAKUTANA NA NYUMBA 3 NA HELA ZIPO BANK .....OLAAAAAA
ALIBAHATIKA KUPATA NYUMBA MOJA TU AMBAYO MM NLIMSIMIAGA KUMNUNULIA NYUMA YA MITAA YA MANGO GARDEN
NA JAMAA MPAKA LEO HAONGEI NA MAMA YAKE KAMNUNIA

ova
Daah , kosa kubwa alilofanya ni kutokumsoma mamaake tangu alivyokuwa mdogo.

pole yake
 
[emoji1]

Yaani hata mm sielewi hapo,talaka itoke alafu mahakama imamue
Utoe matunzo kwa mke ...

Ova

Nafikiri Mahakama imeweka hicho kifungu kama mtego Kwa mwenza ambaye aidha alivunja sheria Fulani za kiwajibu na kimajukumu kimakusudi.
Na pia imelenga kutoa msaada Kwa mwenza ambaye anaweza kuwa kwenye hali ngumu iwe kimazingara, kiuchumi, au kiafya.

Hata hivyo sheria hiyo ni ngumu kufanya kazi Kutokana na sababu kuwa MTU akiachwa wengi wao huingia katika mahusiano mengine, na hapa ndipo Watu hawatakubali kuhudumia mtalaka( mwanaume au Mwanamke) ambaye yupo katika mahusiano na MTU mwingine hata kama hajafunga naye Ndoa.

Ingawaje sheria Vifungu vya Chini vinaeleza kwenye Duration of Maintenance Ipo katika namna mbili, mosi, aidha Kwa kifo (,Mtalaka anapokufa, lakini sababu ya pili, ni Akiolewa au kuoa tena, basi huo ndio utakuwa mwisho wa kumhudumia.

Sasa kama sababu inayoweza kuvunja ndoa ni Adultery, basi sababu hiyohiyo inaweza mpelekea Mtalaka asihudumiwe Baada ya kuachana.

Huwezi hudumia mwenza anayelala na MTU mwingine. Hiyo sheria ya hivyo haipo
 
Nilikuwa nakupima kuona kiwango chako cha Haki na Uelewa.
Kwa upande wa Haki umefeli Kwa sababu hizo sheria unazozinukuu unachagua Vifungu vinavyokupendeza na kupendelea Mwanamke ilihali ukisoma Vifungu vinavyofuata vinaeleza pia kuwa hata mwanamke anaweza kuambiwa amhudumie mwanaume aliyeachana naye.

Hii hoja nimeipinga na vipo Vifungu vinasapoti hoja yangu Kwa sababu mazingira ya Kitanzania Mtalaka hawezi kuishi mwenyewe Kwa hata miezi sita bila Kupata mpenzi anayemgegeda au wanayegegedana,

Pili, uelewa wako kuhusu Lugha ni mdogo ndio maana unafikiri Lugha ni vile MTU anavyoongea au kuandika bila kujua kuwa Lugha ni utamaduni, hivyo unapomzungumza kiingereza kuna sehemu tuu utapishana na tafsiri za Kiswahili kutokana na tofauti za kiutamaduni.

Ndio maana nikakuambia tafsiri ya Former wife haiwezi kuwa MKE wa zamani katika utamaduni WA kiafrika, Mtalaka haiwezi kuwa na maana ya MKE wa zamani.

Ndio maana kwenye hiyo sheria imetumia Mischief Rules kuziba gap la kiutamaduni baina ya Uafrika na Ujio WA sheria hizi za kizungu, na Ipo tayari kupokea mabadiliko yoyote kulingana na utashi na busara za Mahakama. Hata hivyo sheria hiyo imelenga kumpendelea mmoja wa wanandoa ikiwa hapo Kabla kina sheria zilikiukwa licha ya kuwa wamepeana Talaka
  • wewe mbona huelewi, unasema nachagua vifungu? Wakati kifungu nilichonukuu Mimi ni kifungu Cha 115 Cha sheria ya Ndoa, hicho kifungu kimeeleza situations zaidi ya mbili ya maintenance, soma kifungu kwa ujumla wake,uelewe yaani unakubali kuwa even former husband mahakama inaweza ikatoa amri ya matunzo, halafu unakuja unapinga kwa former wife? Sasa hapo Mimi na wewe Nani hajui Sheria? Mimi nimekutajia kabisa na kifungu, kimeeleza situations zaidi ya mbili za matunzo Kwa former wife nk,
  • Unasema kuwa hoja yangu umeipinga Sasa umeipinga Kwa kutumia kifungu gani Cha Sheria? Wakati kifungu Cha 120 kimesema matunzo yatakoma pale tu former wife anapoolewa i.e upon remarriage? Naomba ulete hicho kifungu Cha uasherati Ili tusome na tuchambue,
-kwani huyo mtalaka zamani alikuwa ni dada yako?
-unapoziita sheria za kizungu, hebu niambie sheria ya Uingereza inaruhusu Mwanamke kuolewa akiwa na Miaka 15 Kwa maana sheria yetu ya Ndoa inaruhusu Mwanamke kuolewa akiwa hata na 15yrs,
 
Taikun na balenciaga mmoja wenu lazima atokwe na damu [emoji1]
Ila nawafatilia,ligi yenu nmeikubali

Ova
Huyo hajui sheria, nimemfundisha vitu vingi Sana leo eg s.115 ya sheria ya Ndoa, nimemfundisha Kuhusu sheria ya tafsiri ya sheria, tools of statutory interpretation, si umeona ameanza kunukuu vifungu vya sheria japo havielewi
 
-mimi na wewe Nani hajui Sheria? Wewe kama ulikuwa unajua sheria mbona ulishindwa kujua tools of statutory interpretation? Mjuzi yoyote wa Sheria Lazima ajue tools of statutory interpretation zinazotumika hapa Tanzania kwenye mfumo wetu wa sheria za Uingereza, wewe ulikuwa hujui, Kwa kitendo Cha kutokujua tools of statutory interpretation, tayari umeonyesha hujui sheria hakuna mjuzi yoyote wa Sheria asiyejua tools za statutory interpretation.
  • Kuhusu hoja ya kusema kuwa huwezi kumuhudumia the former wife, hapo unajichanganya kabisa, kwenye hoja yako umetaja vifungu kama 120 Cha sheria ya Ndoa, technically umejiingiza kwenye mtego mfano hicho kifungu Cha 120 kimesema hivi, Right to maintenance to cease on remarriage (1) The right of any divorced woman to receive maintenance from her former spouse under any order of court shall cease on her remarriage. (2) The right of any man to receive maintenance from his former wife under any order of court shall cease upon his remarriage. (3) The right of any divorced person to receive maintenance from his or her former spouse under an agreement shall cease on his or her remarriage unless the agreement otherwise provides. Hicho kifungu kinatilia nguvu masharti ya kifungu Cha 115 ambacho hicho kifungu cha 115 kinazungumzia kuwa mahakama inaweza ikatoa amri ya matunzo kipindi Cha Kesi ya Ndoa na baada ya kutolewa talaka, Wakati kifungu Cha 120 kinasema kuwa Jukumu la kumtunza former wife au former husband linaishia pale huyo former wife anapoolewa au anapooa inacase of the former husband, kwamba akiolewa tu Jukumu la kumtunza former wife/husband (kama Kuna amri ya Mahakama) Hilo Jukumu linaishia hapo, umetaja vifungu vya sheria bila kuvielewa, kifungu kingine ulichotaja ni kifungu Cha 63, hicho kifungu kimsingi kinasema kuwa itakuwa ni jukumu kwa mume kumtunza mke wake Kwa kumpatia malazi,mavazi na chakula Kwa kuzingatia kipato Cha mume, lakini pia kimesema kuwa itakuwa ni jukumu kwa mke kumtunza mume wake pale mume napokuwa Hana uwezo wa Kutafuta kutokana na ugonjwa wa akili,matatizo ya kiafya,
  • umesema hadi s.130 yaani umetoka kabisa nje ya mada umeenda hadi kwenye vifungu ambavyo vinahusu matunzo ya watoto, wakati hoja ni matunzo Kwa former wife,
  • hebu nitajie hicho kifungu Cha sheria kinachosema mahakama inaweza kugoma kutoa maintenance Kwa sababu ya uasherati nikisome vizuri nikielewe,
  • eti unaniambia kuwa ingetosha kunifungua macho wakati, Mimi ndiye niliyekuelekeza matumizi ya maneno hayo, shall,may na discretion, au umesahau?


😀😀😀
Yaani wewe ndio unifundishe Aina za vitenzi sio?
Naona umeamua kunitukana.
Sema nini haina Shida. Ila hayo mavitu licha ya kusomea shule ya Kata lakini sidhani kama nlizembea Kiasi hicho
 
- Mimi kitaaluma ni Muhasibu nina CPA T yangu, ila najua English tu basi na hapo tatizo kwako ni lugha ya kiingereza.
-inaweza ikatoa au isitoe hiyo ni discretion ya Mahakama, mantiki ya hicho kifungu mahakama inaweza ikatoa au isitoe hiyo amri ya maintenance, Kwa kuangalia mazingira Fulani Fulani kama means ya Mwanamke ya kupata pesa ipoje ana kipato kiasi gani nk.
-eti Unasema Nina Kazi ngumu kushindwa mahakamani, Mimi ni accountant, wewe huna mamlaka ya Kuandika hayo maneno mtu mwenyewe may , shall na discretion hujui maana yake
 

Attachments

  • Screenshot_2023-04-16-23-41-32-770_com.kiwibrowser.browser.jpg
    Screenshot_2023-04-16-23-41-32-770_com.kiwibrowser.browser.jpg
    127.8 KB · Views: 5
Pia mwanandoa anaweza kumiliki Mali binafisi, hiyo ipo kisheria na hiyo Mali haigawanywi
Ukisikia wanadai Mali binafsi, ujue wanamaanisha Mali za mwanamke, lakini mwanaume ukisema una Mali binafsi zilizopatikana ndani ya ndoa, hata unye hadharani hawakubali.

Hata ile kauli eti mnaweza kukubaliana kuwe na Mali binafsi na Mali za pamoja ni uongo, Kwa Tz unajidanganya,, Mali za mwanaume ni za wote, ila za mwanamke ni binafsi, ni kama muungano wa Tanganyika na zanzibar
 
  • wewe mbona huelewi, unasema nachagua vifungu? Wakati kifungu nilichonukuu Mimi ni kifungu Cha 115 Cha sheria ya Ndoa, hicho kifungu kimeeleza situations zaidi ya mbili ya maintenance, soma kifungu kwa ujumla wake,uelewe yaani unakubali kuwa even former husband mahakama inaweza ikatoa amri ya matunzo, halafu unakuja unapinga kwa former wife? Sasa hapo Mimi na wewe Nani hajui Sheria? Mimi nimekutajia kabisa na kifungu, kimeeleza situations zaidi ya mbili za matunzo Kwa former wife nk,
  • Unasema kuwa hoja yangu umeipinga Sasa umeipinga Kwa kutumia kifungu gani Cha Sheria? Wakati kifungu Cha 120 kimesema matunzo yatakoma pale tu former wife anapoolewa i.e upon remarriage? Naomba ulete hicho kifungu Cha uasherati Ili tusome na tuchambue,
-kwani huyo mtalaka zamani alikuwa ni dada yako?
-unapoziita sheria za kizungu, hebu niambie sheria ya Uingereza inaruhusu Mwanamke kuolewa akiwa na Miaka 15 Kwa maana sheria yetu ya Ndoa inaruhusu Mwanamke kuolewa akiwa hata na 15yrs,

😂😂
Ndio maana unatakiwa ufundishwe Kwanza Lugha na tamaduni ya Lugha husika.
Nimekuambia Hakuna MKE au Mume WA zamani kwenye utamaduni wa Lugha ya Kiswahili. Mtalaka haitwi Mume au MKE wa zamani, wala Mjane au mgane haitwi MKE au Mume WA zamani.

Mambo ya shule yanahitaji Kutumia zaidi Akili Mkuu.

Ndio maana Kwa wazungu Mwanamke na Mwanaume wote wanatumia neno I will Marry you, lakini Kwenyw Lugha za kiafrika Mwanamke hawezi Kutumia kitenzi Marry you akimaanisha nitakuoa.

Soma Lugha Acha kukariri Vifungu
 
😀😀😀
Yaani wewe ndio unifundishe Aina za vitenzi sio?
Naona umeamua kunitukana.
Sema nini haina Shida. Ila hayo mavitu licha ya kusomea shule ya Kata lakini sidhani kama nlizembea Kiasi hicho
- hoja zimekushinda, nimekupatia Notes zisome usipo elewa niambie nikusaidie
 
Back
Top Bottom