Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Ndio maana nikasema sheria huzijui, unaposema mazingira Fulani Fulani ambayo sheria haijayataja unamaanisha ndio hiyo Discretion ya Mahakama?😀😀

Hakuna kitu kama hicho.
Sio jukumu la mwanaume au Mwanamke kujua Hali ya Mtalaka wake, Ila ni jukumu lake kuangalia Hali ya Watoto wao.
Unazungumzia mawazo ya kijiweni tena ya Mwaka 47 Huko.

Hiyo shall au may au discretion ninaweza kutokujua maana yake katika Muktadha wa sheria.
Bahati nzuri ni mtaalamu wa Lugha hivyo najua kila neno linaweza kuwa na maana Fulani kulingana na Muktadha. Hivyo upo sahihi.
  • inaonekana husomi au huelewi ninachoandika, Mimi nimeandika hivi "Kama means ya Mwanamke ya kupata pesa ipoje ana kipato kiasi gani nk_ haya maneno nimeyaandika hapo juu, au neno 'Means ' huelewi maana yake?
    [*]Mimi na wewe nani anazungumzia mambo ya kijiweni? Mimi natumia Sheria ya Ndoa ya '71, wewe unatumia sheria ya wapi? Hakuna hata Sehemu moja kwenye Hoja zako umetoa rejea ya kifungu, Mimi nimekupa kifungu kabisa Cha 115 Cha sheria ya Ndoa, wewe umeweka mawazo Yako binafsi ambayo sio ya kisheria na kimsingi ni maneno ya vijiweni Kwa sababu hayana authority yoyote ile

-umeshakubali kuwa maneno ya Shall na may yanakusumbua
- wewe ni mtaalam wa Lugha? Lugha gani
 
Ndio maana nikakuambia unajua maana ya busara Kutumia kwenye sheria?

Nimekuambia Mimi ni mtaalamu wa Lugha.
Sasa Mimi mwenyewe ninashangaa sijui maana ya shall na May 😀😀
  • nimekupa assignment ya kujua neno discretion umeshindwa au?
  • wewe ni mtaalam wa Lugha gani? Halafu eti unajiita 'taikuni wa fasihi '
 
  • inaonekana husomi au huelewi ninachoandika, Mimi nimeandika hivi "Kama means ya Mwanamke ya kupata pesa ipoje ana kipato kiasi gani nk_ haya maneno nimeyaandika hapo juu, au neno 'Means ' huelewi maana yake?
    [*]Mimi na wewe nani anazungumzia mambo ya kijiweni? Mimi natumia Sheria ya Ndoa ya '71, wewe unatumia sheria ya wapi? Hakuna hata Sehemu moja kwenye Hoja zako umetoa rejea ya kifungu, Mimi nimekupa kifungu kabisa Cha 115 Cha sheria ya Ndoa, wewe umeweka mawazo Yako binafsi ambayo sio ya kisheria na kimsingi ni maneno ya vijiweni Kwa sababu hayana authority yoyote ile

-umeshakubali kuwa maneno ya Shall na may yanakusumbua
- wewe ni mtaalam wa Lugha? Lugha gani

Ndio nikakuambia hicho kifungu ulichokitoa hakielezi unayoeleza humu. Na ndio maana ukiambiwa utoe reference hata ya kesi moja, au mfano wowote wa kesi hapo mtaani kwako ya mtu aliyepewa Talaka alafu anahudumiwa hauna. Ndio maana nikakuambia unamaneno ya kijiweni.

Anayehudumiwa ni MKE na watoto hao ndio Watu wanaotambulika kisheria ambao mwanaume analazimishwa kuwahudumia.
Mtu mkishapeana talaka mmeshavunja mkataba wenu.
Hapo kilichobaki ni watoto, na Kugawana Mali.

Mtaalamu wa Lugha ya kingereza na Kiswahili..
 
Ndio nikakuambia hicho kifungu ulichokitoa hakielezi unayoeleza humu. Na ndio maana ukiambiwa utoe reference hata ya kesi moja, au mfano wowote wa kesi hapo mtaani kwako ya mtu aliyepewa Talaka alafu anahudumiwa hauna. Ndio maana nikakuambia unamaneno ya kijiweni.

Anayehudumiwa ni MKE na watoto hao ndio Watu wanaotambulika kisheria ambao mwanaume analazimishwa kuwahudumia.
Mtu mkishapeana talaka mmeshavunja mkataba wenu.
Hapo kilichobaki ni watoto, na Kugawana Mali.

Mtaalamu wa Lugha ya kingereza na Kiswahili..
  • mwanzoni umeomba mfano nimekupa, umekuja kusema eti nitoe kesi, hili suala nilishalitolea ufafanuzi Kuwa sheria kupitia kifungu Cha 115, kimetoa discretion, na nikakwambia Kuwa kwenye kutafsiri sheria huwa tunaangalia kama Hilo jambo lipo kwenye sheria, sio lazima uweke Kesi
  • Mimi na wewe nani ana maneno ya vijiweni? Mimi nimekupa hadi sheria na kifungu kabisa Cha 115 Cha law of marriage act, wewe umeleta document/ authority gani ya kujenga hoja yako? Sasa hapo Mimi na wewe nani anatoa maneno ya vijiweni? Ikiwa hujui hata tafsiri ya neno 'Mali za wanandoa ' Mimi na wewe nani wa kijiweni?
  • kujenga hoja yako lete authority kama wewe ni Taikuni wa fasihi? taikuni wa fasihi unaongeaje bila authority?
  • mtaalam wa Lugha ya kiingereza na kiswahili? Mbona maneno madogo madogo huyajui? Una Elimu gani kwani Mkuu?

-
 
  • mwanzoni umeomba mfano nimekupa, umekuja kusema eti nitoe kesi, hili suala nilishalitolea ufafanuzi Kuwa sheria kupitia kifungu Cha 115, kimetoa discretion, na nikakwambia Kuwa kwenye kutafsiri sheria huwa tunaangalia kama Hilo jambo lipo kwenye sheria, sio lazima uweke Kesi
  • Mimi na wewe nani ana maneno ya vijiweni? Mimi nimekupa hadi sheria na kifungu kabisa Cha 115 Cha law of marriage act, wewe umeleta document/ authority gani ya kujenga hoja yako? Sasa hapo Mimi na wewe nani anatoa maneno ya vijiweni? Ikiwa hujui hata tafsiri ya neno 'Mali za wanandoa ' Mimi na wewe nani wa kijiweni?
  • kujenga hoja yako lete authority kama wewe ni Taikuni wa fasihi? taikuni wa fasihi unaongeaje bila authority?
  • mtaalam wa Lugha ya kiingereza na kiswahili? Mbona maneno madogo madogo huyajui? Una Elimu gani kwani Mkuu?

-

😀😀😀

Huku kwenye Lugha usije Mkuu. Tubaki kwenye sheria. Kwenye Lugha hakuna maneno madogo madogo, nafikiri hata kwenye sheria ni hivyohivyo Kwa sababu huwezi ijua sheria kama huna Elimu ya Lugha.

Sasa turudi kwenye mjadala.

Mwanzoni ulipotoa kifungu chako nikakueleza kwenye Lugha hakuna MKE wa zamani, Ila kuna Mtalaka na mjane. Hiyo nafikiri tulielewana.

Ukabaki kwenye kifungu chako hicho kinachosema Mahakama inaweza kutoa amri Mke au Former wife (wakimaanisha Mtalaka) ahudumiwe Kabla au Baada ya Talaka kutolewa.

Mimi hiyo sheria nikakuambia haiwezekani na haipo. Hapo ndipo tulipo tunabishania.
Kwa bahati nzuri ukaniletea Msamiati discretion ndio ukazidi kuisadia hoja yangu.
Nikakuuliza swali, unajua maana ya busara Kutumika kwenye sheria?
Sijui kama ulikuwa unanikwepa kunijibu ukijua nilikuwa naelekea wapi.
 
😀😀😀

Huku kwenye Lugha usije Mkuu. Tubaki kwenye sheria. Kwenye Lugha hakuna maneno madogo madogo, nafikiri hata kwenye sheria ni hivyohivyo Kwa sababu huwezi ijua sheria kama huna Elimu ya Lugha.

Sasa turudi kwenye mjadala.

Mwanzoni ulipotoa kifungu chako nikakueleza kwenye Lugha hakuna MKE wa zamani, Ila kuna Mtalaka na mjane. Hiyo nafikiri tulielewana.

Ukabaki kwenye kifungu chako hicho kinachosema Mahakama inaweza kutoa amri Mke au Former wife (wakimaanisha Mtalaka) ahudumiwe Kabla au Baada ya Talaka kutolewa.

Mimi hiyo sheria nikakuambia haiwezekani na haipo. Hapo ndipo tulipo tunabishania.
Kwa bahati nzuri ukaniletea Msamiati discretion ndio ukazidi kuisadia hoja yangu.
Nikakuuliza swali, unajua maana ya busara Kutumika kwenye sheria?
Sijui kama ulikuwa unanikwepa kunijibu ukijua nilikuwa naelekea wapi.
- kwenye sheria maneno madogo madogo yapo mfano May, Shall ambayo kimsingi usipo yazingatia maana inapotea.
-kuhusu mke wa zamani hatukubaliana huo ni Uongo kabisa, Mimi nilinukuu maneno ya kwenye sheria ya Ndoa yanayosema 'Former wife ' "(1) The court may order a man to pay maintenance to his wife or former wife–" hayo maneno ya kisheria unayaelewa?
-unasemaje sheria haipo Wakati kifungu Cha sheria ya Ndoa Cha 115 (1)(e) kimesema "when granting or subsequent to the grant of a decree of divorce" unasemaje hiyo Sheria haipo Wakati kifungu kipo Cha sheria ya Ndoa ya '71, kimetamka? Mimi nasema sheria ipo na kifungu kipo Cha 115(1)(e) Cha sheria ya Ndoa,
  • Kuhusu busara/ discretion nilishakujibu kuwa mahakama huwa inazingatia mambo Fulani Fulani mfano means ya Mwanamke kupata kipato, na inaweza kutoa amri kwa kipindi Fulani Cha Muda, na nilishakufundisha hapo awali kuwa matumizi ya neno may ni discretion, ila inawezekana Kwa mahakama kutoa hiyo amri
  • Mimi nikukwepe? Wakati Mimi ndiye niliyetoa ufafanuzi kabisa na nikakutajia jina la sheria unayotakiwa kutumia, ya Statutory interpretation Act au umesahau?
-
 
- Mimi na wewe nani lugha inampiga Chenga? Hujui English ww na taikuni

Wewe unajua kingereza kipi?
Maana unatoka kwenye mada, sheria imekushinda unakuja kwenye Lugha.
Nikawaida Watu wasiojua Lugha sheria kuwashinda.

Sheria ni Lugha, Lugha inabeba mantiki au maana inayofanya Watu waelewane.
Mantiki imebebwa na Facts(hoja), hoja zimebebwa na vielelezo na uhalisia.

Sasa hicho kifungu ulichotoa, na maelezo unayoyatoa hayana Mantiki (hoja), Kwa sababu hayajui hata maana ya Ndoa iliyovunjwa Kwa Talaka.

Sheria Kwa vile ni Lugha, Lugha ni utamaduni, ndio maana hapo uliposema MKE wa zamani nikakuambia hakuna MKE wa zamani kwenye utamaduni WA Kiswahili ambao umeathiriwa na uarabu. Ila kuna Mtalaka.

Lakini wewe ukatafsiri Former wife kama linavyotumika katika Lugha ya kingereza (utamaduni WA kingereza) ambao unakinzana na utamaduni WA kiafrika.
 
Wewe unajua kingereza kipi?
Maana unatoka kwenye mada, sheria imekushinda unakuja kwenye Lugha.
Nikawaida Watu wasiojua Lugha sheria kuwashinda.

Sheria ni Lugha, Lugha inabeba mantiki au maana inayofanya Watu waelewane.
Mantiki imebebwa na Facts(hoja), hoja zimebebwa na vielelezo na uhalisia.

Sasa hicho kifungu ulichotoa, na maelezo unayoyatoa hayana Mantiki (hoja), Kwa sababu hayajui hata maana ya Ndoa iliyovunjwa Kwa Talaka.

Sheria Kwa vile ni Lugha, Lugha ni utamaduni, ndio maana hapo uliposema MKE wa zamani nikakuambia hakuna MKE wa zamani kwenye utamaduni WA Kiswahili ambao umeathiriwa na uarabu. Ila kuna Mtalaka.

Lakini wewe ukatafsiri Former wife kama linavyotumika katika Lugha ya kingereza (utamaduni WA kingereza) ambao unakinzana na utamaduni WA kiafrika.
  • Mimi na wewe nani hajui lugha ya kisheria? Mbona nimekuuliza maana ya maneno haya when granting or subsequent to the grant of decree of divorce umeshindwa kujua maana yake? Kama wewe unajua Lugha ya kisheria naomba uniambie maana ya haya maneno, when granting or subsequent to the grant of decree of divorce
  • mtalaka ni Nani? Zamani alikuwa ni Nani?
  • unajua _Principles of statutory interpretations _?
 
- kwenye sheria maneno madogo madogo yapo mfano May, Shall ambayo kimsingi usipo yazingatia maana inapotea.
-kuhusu mke wa zamani hatukubaliana huo ni Uongo kabisa, Mimi nilinukuu maneno ya kwenye sheria ya Ndoa yanayosema 'Former wife ' "(1) The court may order a man to pay maintenance to his wife or former wife–" hayo maneno ya kisheria unayaelewa?
-unasemaje sheria haipo Wakati kifungu Cha sheria ya Ndoa Cha 115 (1)(e) kimesema "when granting or subsequent to the grant of a decree of divorce" unasemaje hiyo Sheria haipo Wakati kifungu kipo Cha sheria ya Ndoa ya '71, kimetamka? Mimi nasema sheria ipo na kifungu kipo Cha 115(1)(e) Cha sheria ya Ndoa,
  • Kuhusu busara/ discretion nilishakujibu kuwa mahakama huwa inazingatia mambo Fulani Fulani mfano means ya Mwanamke kupata kipato, na inaweza kutoa amri kwa kipindi Fulani Cha Muda, na nilishakufundisha hapo awali kuwa matumizi ya neno may ni discretion, ila inawezekana Kwa mahakama kutoa hiyo amri
  • Mimi nikukwepe? Wakati Mimi ndiye niliyetoa ufafanuzi kabisa na nikakutajia jina la sheria unayotakiwa kutumia, ya Statutory interpretation Act au umesahau?
-

Na ndio maana nikakuambia wewe ungekuwa Wakili ungeshindwa kila Siku Mahakamani hata ungesoma mpaka PhD.

Sheria ni zaidi ya vile ilivyoandikwa😂😂 Kwa sababu inahusu Lugha, na Lugha inahusu Akili.

Hapo uliposema MKE wa zamani ndio hapohapo nikajua unatatizo.
Lugha ni utamaduni ukishaelewa hapo haitakusumbua, na sheria haitakusumbua.

Mtalaka haitwi MKE wa zamani 😀😀
Ukishasema Mke lazima kuna Haki lazima zianze kufikiriwa na hapo ndipo wazo lako la kuhudumiwa linaingia sanjari na hiyo sheria uliyoinukuu.
Lakini ukishasema Mtalaka automatically hiyo sheria haifanyi kazi.

Sasa hiyo sheria inategemea Discretion ya Mahakama Kwa sababu ya maneno Former wife kukaa kimtego hapo. Ndio maana sio lazima Bali inategemea zaidi busara za Mahakama,

Sasa nakuuliza, unaelezea maana ya Former wife katika utamaduni WA kiafrika?
 
  • Mimi na wewe nani hajui lugha ya kisheria? Mbona nimekuuliza maana ya maneno haya when granting or subsequent to the grant of decree of divorce umeshindwa kujua maana yake? Kama wewe unajua Lugha ya kisheria naomba uniambie maana ya haya maneno, when granting or subsequent to the grant of decree of divorce
  • mtalaka ni Nani? Zamani alikuwa ni Nani?
  • unajua _Principles of statutory interpretations _?

Nilikuambia Mimi ni mtaalamu wa Lugha lakini sio haimaanishi mtaalamu wa Lugha ya kisheria.

Mtalaka ni Mwanamke aliyewahi kuolewa akaachika au kuachwa.
Zamani alikuwa ni MKE lakini sasa sio MKE na Hana Haki za Mke.

Sifahamu Mkuu, Ila Kwa faida ya wengine eleza Kwa ufupi ni nini, alafu hakikisha iwe inahusiana na tunachojadili.
 
Na ndio maana nikakuambia wewe ungekuwa Wakili ungeshindwa kila Siku Mahakamani hata ungesoma mpaka PhD.

Sheria ni zaidi ya vile ilivyoandikwa😂😂 Kwa sababu inahusu Lugha, na Lugha inahusu Akili.

Hapo uliposema MKE wa zamani ndio hapohapo nikajua unatatizo.
Lugha ni utamaduni ukishaelewa hapo haitakusumbua, na sheria haitakusumbua.

Mtalaka haitwi MKE wa zamani 😀😀
Ukishasema Mke lazima kuna Haki lazima zianze kufikiriwa na hapo ndipo wazo lako la kuhudumiwa linaingia sanjari na hiyo sheria uliyoinukuu.
Lakini ukishasema Mtalaka automatically hiyo sheria haifanyi kazi.

Sasa hiyo sheria inategemea Discretion ya Mahakama Kwa sababu ya maneno Former wife kukaa kimtego hapo. Ndio maana sio lazima Bali inategemea zaidi busara za Mahakama,

Sasa nakuuliza, unaelezea maana ya Former wife katika utamaduni WA kiafrika?
- kwenye hoja zangu hujajibu Hata moja nimekuuliza maswali haya unajua Maana ya maneno " when granting or subsequent to the grant of decree of divorce " hili swali hujajibu umelikimbia, ? Kwa Nini? Mbona Mimi nimekuwa nikikufundisha Kwa mifano na vifungu vya sheria eg section 115 ya sheria ya Ndoa, usilete hoja mpya kabla hujajibu maswali yangu?
Kama wewe kweli ni Taikuni tia tafsiri ya maneno
when granting or subsequent to the grant of decree of divorce
- umesema ningekuwa Wakili ningekuwa napoteza Kesi, sidhani kama una ufahamu mzuri, kama Mimi ningepoteza kesi basi wewe ndiyo hata Hakimu hata andika kwenye proceedings za Mahakama, unadiriki vipi kusema nitapoteza Kesi wakati natoa hadi vifungu kuunga Mkono hoja zangu, wakati wewe hujaweka hata kifungu kimoja
-kuhusu maneno discretion nilishakujibu vizuri sana toka awali
- Kuhusu kutumia utamaduni kwenye kutafsiri sheria, kwenye sheria tunatumia Kitu kinaitwa Principles of statutory interpretation, hebu nitajie principles of statutory interpretation
 
Nilikuambia Mimi ni mtaalamu wa Lugha lakini sio haimaanishi mtaalamu wa Lugha ya kisheria.

Mtalaka ni Mwanamke aliyewahi kuolewa akaachika au kuachwa.
Zamani alikuwa ni MKE lakini sasa sio MKE na Hana Haki za Mke.

Sifahamu Mkuu, Ila Kwa faida ya wengine eleza Kwa ufupi ni nini, alafu hakikisha iwe inahusiana na tunachojadili.
- umekubali kuwa hujui sheria, Kaa utulie
 
- kwenye hoja zangu hujajibu Hata moja nimekuuliza maswali haya unajua Maana ya maneno " when granting or subsequent to the grant of decree of divorce " hili swali hujajibu umelikimbia, ? Kwa Nini? Mbona Mimi nimekuwa nikikufundisha Kwa mifano na vifungu vya sheria eg section 115 ya sheria ya Ndoa, usilete hoja mpya kabla hujajibu maswali yangu?
Kama wewe kweli ni Taikuni tia tafsiri ya maneno
when granting or subsequent to the grant of decree of divorce
- umesema ningekuwa Wakili ningekuwa napoteza Kesi, sidhani kama una ufahamu mzuri, kama Mimi ningepoteza kesi basi wewe ndiyo hata Hakimu hata andika kwenye proceedings za Mahakama, unadiriki vipi kusema nitapoteza Kesi wakati natoa hadi vifungu kuunga Mkono hoja zangu, wakati wewe hujaweka hata kifungu kimoja
-kuhusu maneno discretion nilishakujibu vizuri sana toka awali
- Kuhusu kutumia utamaduni kwenye kutafsiri sheria, kwenye sheria tunatumia Kitu kinaitwa Principles of statutory interpretation, hebu nitajie principles of statutory interpretation

Ndio maana nikakuambia ungekuwa Wakili ungepoteza kesi nyingi.
Kutoa istilahi Fulani haimaanishi unajua Jambo Fulani.
Hizo Kanuni za kutafsiri sheria "Principles of Statutory interpretation" wewe ndio umezileta hapa. Sasa ni jukumu lako kuzitaja na kuzifafanua.
Hapo ndio itajulikana kuwa kuna sheria ya kumfanya Mtalaka ahudumiwe au asihudumiwe.
Mwisho itajulikana Wakili msomi umepoteza kesi au vipi.

Nakukumbusha swali langu unajua maana ya busara Kutumika katika sheria? Alafu Kwa vile hujui Lugha najua unaniuliza tena Discretion ni kitu gani😀😀
Nafikiri jibu la swali hili litajikita kwenye moja ya hizo principles za kutafsiri sheria.

Nakukumbusha Mimi ni mtaalamu wa Lugha hivyo uwe Makini.

Nakusubiri.

Mjadlaa huu Watu wanajifunza so twende
 
  • Wakili, umezungumzia Kuhusu kuandikisha Mali Kwa majina ya wengine eg Mama Ake Hakimi, na kusema kuwa Hana Mali yoyote (Hakimi), hiyo mahakama iliyoamua Hilo shauri ilitakiwa ijiulize inawezekana vipi mtu mwenye kipato Cha zaidi ya Bilioni 2 asiwe na Mali yoyote? Tuseme alikuwa anatumia zote? Mahakama ilitakiwa ijiulize Mama Hakimi ameweza vipi kumiliki ukwasi wa kutisha i.e hizo Mali kama Nyumba? , Mama Hakimi analipwa Bilioni ngapi , Hadi aweze kumiliki hizo Mali?, Mahakama ilitakiwa itoe amri kwa Hakimi atoe matunzo Kwa mke wake
  • Hapo Hakimi ametumia false pretense.
Nadhani hapo ndip suala la zawadi linapoingilia kati yaani ""Hakim alimpatia zawadi ya mshahara mamaake"... kisheria hiyo ni mali ya mama Hakik
 
Back
Top Bottom