Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
hapana, wanaandikishana mamaake akifa yeye anamilikishwa hivyo zinakuwa mali za urithi, nazo hazigawanywi pasu pasu 😅😅😋😋Huyu jamaa alie kuandikisha mama yake ni dume la mbegu ikitokea akafa mamake alithi mali na ndugu zake bora kuliko mali yake kuliwa na huyo kahaba angeishia kuhonga tu