Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Tangu uingie mitini wakati unataka kuyashitaki makampuni ya simu ulionekana hovyo kweli nimeshangaa kuona umerudi au kuna chochote ulipewa ukasaliti umma?
Akiulizwa atupe mrejesho anauchuna

[emoji1]

Ova
 
Kwa Sheria za Tanzania, ni jukumu la mwanaume kumtunza mke wake hicho kifungu kipo kwenye Sheria ya Ndoa,
Na pia kipo kifungu Cha sheria kinachosema mume anaweza kumtunza mke na watoto walioachana.

Hakuna Sheria ya kutunza MWANAMKE uliyeachana naye.

Alafu wanandoa wakiachana neno MKE na Mume linaondoka automatically. Ndoa ndio inamfanya MTU kuitwa Mume au MKE.

Wanao tunzwa ni Watoto tena wenye umri Fulani
 
  • Sasa kama hujui Kuna mazingira ambayo mahakama inaweza ikatoa amri ya matunzo kipindi Cha Kesi ya ndoa,hadi baada ya kuvunjika ndoa i.e talaka,
  • hivi unajua Kuna mazingira ambayo pia Mwanamke anaweza kumtunza mme wake?

Mwenzako anazungumzia watu walioachans, wewe unazungumzia waliopo kwenye Ndoa.

Unafanya Makusudi au haujamuelewa?
 
...Naona Wanaume wamelishikia Bango Kumpongeza Mwanaume Mwenzetu bila Kufikiri!
Kitakachotokea Sasa... Jamaa Bado Ataktakiwa kutoa matunzo Kwa ajili Mtoto/Watoto wake, atajua Mwenyewe wapi atakozitoa Mwenyewe! SI anacheza mpira na analipwa Hela nzuri TU?
Tusubiri tuone Hakimu atampangia atoe Shilingi ngapi za matunzo...ama aende Jela!
Tusubiri pia Mke wake apate Wakili Mzuri wakati Dunia' nzima inajua Hela zake Hakimu 'amezificha' Kwa kumpa Mama yake!
Tungoje tuone SHERIA za huko kuhusu Watoto zinavyofanya Kazi....Sio SHERIA za Wizara yetu ya Ustawi wa Jamii ! [emoji1][emoji1]
 

Kama anahudumia Watoto wake hill sio tatizo.
Tatizo lilikuwa kugawana Mali na tapeli
 
Huyu jamaa alie kuandikisha mama yake ni dume la mbegu ikitokea akafa mamake alithi mali na ndugu zake bora kuliko mali yake kuliwa na huyo kahaba angeishia kuhonga tu
....Kweli ! Kama Kahaba Mwenyewe ni yule niliemuona kwenye Picha wako pamoja na Hakimu, na Kiuno Chore Kiko Nje !...kweli Bora ametolewaKapa ! [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mahakama za kitanzania zimekulemaza,hayo maswali ni mepesi sana na sidhani hata kama kwenye situation kama hiyo ya jamaa yalipaswa kuulizwa.

Ndiyo alikuwa anatumia zote kwani kuna siku watoto au huyo mtalaka wake waliwahi kulia njaa kwamba jamaa hawahudumii?source hasa ya kuvunjika hiyo ndoa je kulikuwa na lalamiko lolote la matunzo?kama hapana then hizo pesa alizoonekana hana ndiyo alikuwa anazitumia kwa njia hiyo.

La mama yake kuwa na ukwasi kama alivyoeleza mwanasheria hapo juu nadhani mahakama haina uwezo wa kuhoji as long as wao wanasubiri mamlaka za kichunguzi zilete mashtaka kwao kwamba wamemchunguza mama Achraf wakamkuta anauza cocaine etc ndo wata-deal nae na hata akisema mwanae ameamua kumpa zawadi kila alicho nacho kwa sababu alimzaa hakuna wa kumuuliza maana huyo mwanae hajamuibia mtu wala haijawahi kuthibitika kwamba kuna siku huyo mama alimshikia mwanae bunduki akimshinikiza amwandikishie mali zake.
 
Vipi kuhusu pesa
Vipi kuhusu pesa za wanandoa zilizopo akaunti za wanandoa kwa majina yao binafsi nazo zinatakiwa zigawanywe?
 
Heri nusu Shari kuliko Shari kamili? Unafikiri wangegawana Mali matunzo kwa watoto yasingehitajika? Bila shaka kiwango cha fedha za matunzo kwa mtoto kipo kisheria kama atapigwa kiasi kikubwa ili kumkomoa kwakuwa Mali ipo kwa bimkubwa nae si atakata rufaa
 
Au hujui maana ya Ndoa, na pia hujui maana ya Talaka.
Ukishampa talaka hakuna hayo mambo ya kuhudumiana, ishu inayobaki ni Watoto.
Huduma yoyote italenga Watoto na sio mzazi anayewatunza hao Watoto(iwe Baba au Mama)
Wewe ndio hujui sheria ya ndoa, sheria ya ndoa imesema kuwa mahakama ' inaweza ' kutoa amri ya matunzo Kwa mke au kwa mke wa zamani, Wakati wa kesi ya ndoa na baada ya kutolewa talaka hiyo, hiyo Sheria ya Ndoa imesema kuwa mahakama inaweza kutoa amri ya matunzo, sio Lazima yani inaweza kutoa au isitoe amri ya matunzo kwa mke au mke wa zamani, kasome kifungu Cha 115 Cha sheria ya Ndoa
 
Hakuna sheria yoyote Duniani ya Aina Hiyo.

Kama Ipo hata nchi yoyote iweke hapa.

Anayehudumiwa ni MKE wa Ndoa, mkishaachana hakuna kitu kama hicho,
Power of court to order maintenance for spouse (1) The court may order a man to pay maintenance to his wife or former wife– (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g)
  • if he has refused or neglected to provide for her as required by section 63;
  • if he has deserted her, for so long as the desertion continues;
-during the course of any matrimonial proceedings;
-when granting or subsequent to the grant of a decree of separation; -when granting or sebsequent to the grant of a decree of divorce
 

Hakuna kitu kinachoitwa MKE wa zamani, embu inukuu hiyo sheria hapa, Acha habari za vijiweni.
Hata Lugha yenyewe inakataa, hakuna kitu kinaitwa MKE au Mume wa zamani kisheria.

Embu weka hiyo sheria, ugumu uko wapi?

MKE au Mume ni pale mnapokuwa ndani ya Ndoa, nje ya Ndoa atajulikana kama Baba au Mama, au Mwanaume au Mwanamke.

Sheria inatambua MKE wa Kwanza, wapili, watatu au wake wengi. Lakini haitambui MKE wa zamani.

Umesoma sheria Kwa kukariri Mkuu
 
-unajua maana ya neno Mali za Wana ndoa?
- Mimi natumia Sheria za Tanzania, najaribu kuliweka Hilo suala kwa sheria za Tanzania.
 
Sasa sheria ya Ndoa imetumia maneno former wife
 

Hiyo kuna Wanawake Wawili.
1. Mwanamke wa Kwanza ni aliyetengana na mumewe l
ii. Mwanamke aliyepewa Talaka.

Mwanamke alitengana na mumewe Kwa sababu zozote Mahakama ndio inaweza kuamrisha mwanaume amhudumie huyo Mwanamke, kwani bado ni Mkewe.

Huyo wapili ambaye amepewa Talaka, Mahakama haina huo uwezo wala mamlaka ya kumlazimisha Mwanaume amhudumie.
Hakuna sheria ya hivyo.
 
Sasa sheria ya Ndoa imetumia maneno former wife

Sasa hapo sijui kwenye tafsiri utaiweka vipi, lakini hakuna ishu ya kuhudumia Mwanamke au Mwanaume Baada ya Talaka.
Talaka tafsiyyake ni kuvunja Ndoa(mahusiano mliyokubaliana) ninyi sio mume na mke tena, ninyi wote ni Watu wazima, kila mmoja anauwezo wa kujitegemea na kufanya kazi ya uzalishaji, hivyo ni jukumu la kila MTU kujilisha na kujitunza.

Kama Mwanamke anataka apate Huduma anatakiwa akatae talaka, Ila muwe mnaishi separate Kwa makubaliano Fulani. Hiyo wengi ndio wanafanya.
Lakini Hii inamzuia Mwanamke au Mwanaume kuoa au kuolewa na MTU mwingine.

Lakini kuvunja ndoa na kupewa talaka ni kuruhusu Uhuru Kwa kila mmoja kuendelea na Maisha yake.
Huwezi hudumia MTU Huru (aliyejikomboa)
Ni kama mtoto aliyekua, akaondoka nyumbani, hakuna sheria inayomlazimtaka mzazi amhudumie mtoto wake aliyefikisha umri wa utu uzima.

Hizo ndio sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…