Kama GPO haikuwa inazingatiwa inamaana hakina Kingai na wenzake itabidi wafukuzwe Jeshi la Polisi kama wale Askari wa IlejeHii ni ishara mbaya kwa kina kingai, hawa hawakufuata GPO kama wao, ngoja jeshi lijithibitishie baada ya maamuzi ya jaji kwamba GPO haikuwa inazingatiwa
Hii kazi alipewa Mhe. Mwiguli kipindi cha JPM sijui aliishia wapiNadhani PGO ziandikwe kwa kiswahili ili hawa vilaza wajue kilichoandikwa
PGO ndio tuliambiwa huwa hawasomi, Kibatala knows better
------nimecheka 😀 😀 😀 sanaHii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7
Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao
Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi , huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO !
wanamuda wa kusoma, hao jamaa ni legalized bandits kama vile insurance ilivyo legalized theft.Nadhani PGO ziandikwe kwa kiswahili ili hawa vilaza wajue kilichoandikwa
Hawajui mipaka ya nchi yao?
Nipo mkuu, za kwakoEvelyn Salt upo?
Je ilikuwa ni mara yao ya kwanza kuvamia Malawi kwa ajili ya kusaka magendo? Je ni kweli wamefukuzwa kazi???Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7
Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao
Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi , huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO !
alafu bado vijan wadogo ...karibuni uraiani
Tena waliingia na gari la TanPol...!!Polisi wetu nilidhani hawajui vitu vikubwa kama vifungu vya PGO, kumbe hata vidogo kama hicho cha kufanya kazi nje ya mipaka ya nchi yao hawavijui?
Hawa vilaza sasa wataligharimu taifa.
Wale waliokamatwa Mwanza kwenye zile dhahabu walihamishiwa wapi sijui!!!???Ebwana eeh kama akifanya ujanja asiporudisha sare anahama nazo mkoa mwingine anakua anatapeli watu.
Anajua muundo wa jeshi la polisi na taratibu zake so inakua rahisi tu kukamata vinabo na kuvipiga.
round hii lazima wakatoe hata photocopy sio Kwa mishale hiiHv hao jamaa hawasomagi hilo dubwasha linaitwa PGO!!??
Kwanza wanajulikana kama JESHI mbaya zaidi KUINGIA NCHI NYINGINE KUFANYA SHUGHULI ZA KIJESHI!!??? Iko siku watatuingiza kwenye majanga makubwa hawa.Tena waliingia na gari la TanPol...!!
That was very dangerous....
Wale ndio waliomchagua MheshimiwaWale waliokamatwa Mwanza kwenye zile dhahabu walihamishiwa wapi sijui!!!???
Hapo wanakuja kukimbizana na pension nssf mpaka buti linatoboka mwisho wa siku anaingia kitaa kupiga roba wapita njia.alafu bado vijan wadogo ...karibuni uraiani
Ahahaaaa...!Ata katika biblia waliambiwa watosheke na mishahara yao, hawa jamaa wakiona pesa akili wanaweza kuziacha popote