Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7
Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao.
Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi, huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO!
Majambawazi mapya hayoHalafu bado vijan wadogo ...karibuni uraiani
HIYO ni PGO Mkuu ya Kingai ngai na Mahita, uliza swali jingine mkuu
PGO ndio nini wakuu?
PGO inasema polisi anapaswa kutii amri halali na inayotekelezeka.Polisi si wanatii amri. Angefukuzwa kiongozi wao tu.
Weka japo kapicha tuwaoneSeptemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi
Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi
Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo
Pia soma: Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu
Ha hahaYule jamaa aliyekimbilia Malawi akisikia atacheka sana
Hayo ni maneno yakwenye khanga tu.Polisi wanahatarisha maisha yao kwaajili ya usalama wa nchi eti leo anatokea paka pori mmoja Otorong'ong'o anaongea uharo.Vuta picha tumbiwili wanalolipata polisi wa kenya au polisi wa Nigeria ni timbwili lile lile ndilo wanalokumbana nalo wanajeshi.Hadhi ya polisi nikubwa sana katika nchi,kwajirani hapo polisi wanalinda mipaka...Polisi ni Civilians in uniform.... Inshort ni raia wakakamavu
wale wakifanywa kitu naacha kutumia JF, tukio la mbowe lina baraka za jumba lileHii ni ishara mbaya kwa kina kingai, hawa hawakufuata GPO kama wao, ngoja jeshi lijithibitishie baada ya maamuzi ya jaji kwamba GPO haikuwa inazingatiwa
Njema kabisa. Ulipotea kurusha madini humu au Mimi ndiye sijui ku searchNipo mkuu, za kwako