Songwe: Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express lapata ajali, watu wanne wafariki dunia

Acha mambo ya kuhisi hisi. Kampuni ina bus mengi tu ya kuagiza ambayo hata kampuni zingine zinaota kuyamiliki. View attachment 2149819
Mabasi original yatakuwa machache sio nahisi, mimi mwenyewe zama za kale in my early 20’s wakati naishi UK ndio nilikuwa nampeleka Sawaya kununua hizo 7.5 tonnes za mizigo anazogeuza mabasi, ma lorry yake ya masafa ya marefu, parts za magari yake hasa engines za Scania na tankers zake (ambazo nyingi wanazoleta huku, ulaya wanapotoa wanabebea maziwa, ndio maana zikianguka mafuta yanamwagika) tanker la mafuta lina bei na ngumu mafuta kumwagika ata likipinduka.

So naelewa ninachokisema
 
Marcopolo za kilimanjaro hazijawa modified. Unless unaongelea mawazo yako binafsi
 
Mjinga nani hapo Kati yako na konda?
 
Hii gari ilikuwa na bima? Majeruhi wanatibiwa kwa Gharama ya bima au mwenye bus au Serikali?

Marehemu wanne nini kitaendelea kuhusu bima ?
Kuna tabia bus Linaua watu kila mtu anaondoka na mwili wa ndugu yake kwenda kijijini kuuzika hawarudi tena nyuma kuulizia au kuifuatilia bima.

Ninashauri TIRA itoe maelezo na maalekezo kwa abiri wanaotumia vyombo vya moto.
 
Ni kweli kabisa Aboud mabasi mabovu anayapeleka Mbeya na Tunduma!
Sasa nauli ikiwa kubwa hamtaki kulipa
Basi jipya huwezi peleka route ya wataka nauli ndogo hailipi

Basi la zamani linakuwa Walau pesa ilisharudi kupitia route fupi.Likichoka unapeleka route ndefu kwa wabahili waishie nalo

Mabasi mazuri route ndefu kubali kulipa nauli kubwa.Mbona yapo
 
Tunduma kuna visu vya uhakika.

Hiyo mbaula Kilimanjaro imepotea njia tu ilitakiwa iende Babati huko!
 
Siku hizi unakuta magari ya mikoani yamejaza hadi abiria wengine wamekalia vile vindoo vya dustbin na wala hawaogopi trafiki.

Sasa ikitokea ajali kama hii mtoa roho anaanza na wewe.
Yaani route kutoka sumbawanga to Tunduma Hadi dar mabasi hayana ustaarabu Hata kidogo hii tabia ya kupanga ndoo njiani kuanzia seat ya nyuma Hadi mbele nimeshangaa Sana aiseee.. gari linajaza Sana na trafik Hata wachukui hatua... Igeni mikoa ya Arusha na Moshi gari ikiwa level seat it's enough
 
Mkuu.
Route ya DAR ARUSHA, ni habari nyingine. Hata DOM DAR DOM wanaionea wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…