Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Jasusi Bobevu Mastermind nyuma ya Utawala wa JPM Kanali Mstaafu Ngemera Lubinga naona wamemtoa kabisa hata UNEC alikosa. Aendelee na kazi zake za Ujasusi maana kazimile haina kustaafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msikilize hapa Chawa Mkuu Sophia Mjema 👇Shamba la bwana Kheri na mbuzi wa bwana Kheri ! Yakheee !
Huko CCM ni kama wamevurugana baada ya kujua sasa yanayokwenda kutokea ni balaa la gharika ya kisiasa. Walikuwa wanapambana na bondia aliyefungwa miguu sasa kakata kamba hivyo Ata fly like a butterfly and sting like a bee! Ni kipigo tuu. Na kapiteni anatua 25/1
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huyu dada watu Wana video zake nyingi za CONNECTION...... kuanzia kesho zitakuwa vinavujishwa moja baada ya nyingine
Hahahaha 😆😆🤣😂Vipi anaweza au kiuno kigumu Kama madem wa chuga!?
Imeandikwa aliyenacho ataongezewa, sisi tunawasikiliza Manabii.Vyeo viwili viwili ilihali kuna vijana wengi mtaani wenye sifa, wanaambiwa wajiajiri!! Watafute ukwasi!
I see!
Wewe chadema una taka cheo ccm?Vyeo viwili viwili ilihali kuna vijana wengi mtaani wenye sifa, wanaambiwa wajiajiri!! Watafute ukwasi!
I see!
Naiombea CCM amani na furaha...Maana bila CCM imara nchi itayumba...Mkachape kazi comreds, taifa linawategemeaAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Duuh hawa ni wachanga kisiasa wote kabisaHalmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
Vyeo viwili wapi, si baada ya hapo wata rekebisha huko kwingine? Acheni utoto!Vyeo viwili viwili ilihali kuna vijana wengi mtaani wenye sifa, wanaambiwa wajiajiri!! Watafute ukwasi!
I see!
Huyu Dada hufananishwa na wengi sana, Watu ni rahisi ku confuse.Huyu dada watu Wana video zake nyingi za CONNECTION...... kuanzia kesho zitakuwa vinavujishwa moja baada ya nyingine
Ndiyo tunataka hawa ambao hawajapata influences zozote waje na mawazo mapya...Lakini akina Sophia Mjema ni wa zamani na Katibu Mkuu ameshapata uzoefu wa kutosha ndani ya miaka hii 2....Duuh hawa ni wachanga kisiasa wote kabisa
Sophia Mjema hajui hata kujieleza.Ndiyo tunataka hawa ambao hawajapata influences zozote waje na mawazo mapya...Laki akina Sophia Mjema ni wa zamani na Katibu Mkuu ameshapata uzoefu wa kutosha ndani ya miaka hii 2....
Huyu si kawa mnec ?Sijapenda kabisa Kwa Shaka kutolewa
🤣 Shaka H Shaka mpiga mapambio kaachwa 😆Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
Hii ni tetesi till habari rasmi itakapotangazwa na credible source!
Na kama ni hivyo....
CCM watakuwa wameingia choo cha kike,sababu huyo Sophia mjema alikwisha prove failure kwenye teuzi ile ya kwanza.
Hawezi kuendana na kasi inayokuka ya siasa za majukwaani kwenye uhuru wa vyama vyote.
Labda Samia anataka taifa hili liwe la "KE" territory na inayoenda kuangukia Pua.
Ngoja basi afanye uone kama hata wezaHata Sophia hamna kitu , huyu hawezi kupangua Spana za Chadema
Shaka alishaanza kufit kwenye uenezi...kweli mambuzi mmepoteza poleni🤣Sijapenda kabisa Kwa Shaka kutolewa
Ngoja aanze, akichemsha si watam replace jamani?Sophia Mjema hajui hata kujieleza.
Uenezi unahitaji mtu kichwa sana