Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Dkt Sophia Mjema amechukua nafasi ya Shaka Hamdu Shaka, yeye ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi.

Sophia anakuwa mwanamke wa kwanza kushika nafsi hiyo.

Wanaomfahamu wanaelewa kwamba Sophia ni mtu wa kazi, mtu wa siasa. Mwaka 2020 alionesha vizuri uwezo wake kwenye siasa za chama alipotaka Ubunge wa Ilala na kuleta upinzani mkubwa kwa Zungu.
akiwa Mkuu wa Wilaya katika maeneo yote aliyopita nako hakuwa mtu wa kupoa.

Wakati huu ambapo Mikutano ya Siasa itafanyika, wapinzani watarajie mtu makini zaidi na mtata kuliko Shaka.
 

Attachments

  • img-20190427-wa0054-833054946.jpg
    34.6 KB · Views: 9
 
Naiombea CCM amani na furaha...Maana bila CCM imara nchi itayumba...Mkachape kazi comreds, taifa linawategemea
 
Duuh hawa ni wachanga kisiasa wote kabisa
 
Mataga enzi zenu zimeisha, kaa kimya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…