evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Huyu kawa MNECWamebugi sana kumtoa Shaka Hamdu Shaka,
Jamaa alikuwa anaisaidia sana CCM,
Shaka ni hazina kwa Chama, Why aachwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kawa MNECWamebugi sana kumtoa Shaka Hamdu Shaka,
Jamaa alikuwa anaisaidia sana CCM,
Shaka ni hazina kwa Chama, Why aachwe?
🤣Sijapenda kabisa Kwa Shaka kutolewa
Wamebugi sana kumtoa Shaka Hamdu Shaka,
Jamaa alikuwa anaisaidia sana CCM,
Shaka ni hazina kwa Chama, Why aachwe?
Hahahq sio kazi rahisiNgoja aanze, akichemsha si watam replace jamani?
MNEC ndio nini? Wanatakiwa watu wenye ushawishiHuyu kawa MNEC
😆Wamebugi sana kumtoa Shaka Hamdu Shaka,
Jamaa alikuwa anaisaidia sana CCM,
Shaka ni hazina kwa Chama, Why aachwe?
Labda kaponzwa na kauli yake ya "tuzaane tujaze nchi Mama atasomesha"
Uzuri wa Shaka alikuwa na wisdom, hajawahi kujichanganya kwa maneno ya ama matusi au dhihaka...Ameweza ku manage emotion yake vizuri sana...Ila was a bit shy, kama vile alikuwa hajiamini amini kidogo...Ama pengine alikuwa hajawa na experience ya kutosha...Shaka alishaanza kufit kwenye uenezi...kweli mambuzi mmepoteza poleni🤣
😆 Shaka popote ulipo uwe unasoma hizi comments mkuuLabda kaponzwa na kauli yake ya "tuzaane tujaze nchi Mama atasomesha"
umewahi kusikia John Momose Cheyo anaipinga CCM ?We nae,kwa hiyo chadema ndio chama pekee cha upinzani?
Wafanye na kwa mawaziri vile vile kuongeza accountability, huwezi kuwa mtendaji at the same time msimamizi...NEC ndiyo wanajadili utendaji wa mawaziri hao ambao wamo humo wanawezaje kujijadili?Huyu si kawa mnec ?
May be if you are mnec no cheo kingine
Sahihi jamaa alikuwa na kaustarabu cha kizanzibar.Uzuri wa Shaka alikuwa na wisdom, hajawahi kujichanganya kwa maneno ya ama matusi au dhihaka...Ameweza ku manage emotion yake vizuri sana...Ila was a bit shy, kama bile alikuwa hajiamini amini kidogo...Ama pengine alikuwa hajawa na experience ya kutosha...
Tunamshukuru sana kwakua hajikiinhiza chama kwenye migogoro na mivutano ya kijinga
Polisi si wapo ?Ccm Huwa wanashangaza sana au pengine Kwa kuwa wanajua wataiba kura au?
Unawezaje kuwatoa watu wenye ushawishi na wanaojua kujenga hoja kama kina Shaka na Bulembo ukawela hao wengine wasiojua kujieleza?
Ndivyo walivyo.CCM wamebugi Sana
Wafanye na kwa mawaziri vile vile kuongeza accountability, huwezi kuwa mtendaji at the same time msimamizi...NEC ndiyo wanajadili utendaji wa mawaziri hao ambao wamo humo wanawezaje kujijadili?
Ma Katibu wakuu ni muhimu ila wakurugenzi siyo lazima maana wapo huko local government.....Tugatushe madaraka, wizara iwe small na compatible kwaajili ya sera tu na kuratibu utendaji wa wakurugenzi wilayani ikisaidwa na teknolojia ya TEHAMA...Watendaji wote waende grass root wilayani na kijijini...Ofisi za utendaji vijijini ziimarishwe na kupewa watendaji wote na waratibu utendaji huko then budget iwe executed kijijini na siyo wilayani...DED atoe tu miongozo na kusimamia watendaji wa vijiji vilivyopo wilayani....Mambo ya tarafa na kata vifutwe kupunguza urasimi na tuimarishe council zetu ili maamuzi yaweze kufanyika haraka na effectively..Yap ni good move.
But for me mawaziri wasingekuwa wanasiasa kabisa wawe professionals no need for permanent secretaries.
Then Mnec asiwe mbunge wala mtendaji serikalini
Kama kawaida ya wabongo. Wivu, husda na majungu. Hebu pambaneni na maisha yenuAna jipya? Huyu Mjema Hana jipya
Mimi? Au umekosea??Kama kawaida ya wabongo. Wivu, husda na majungu. Hebu pambaneni na maisha yenu