Huo utaratibu wa kulipa kidogo ukoje na unachukua muda gani..?? Haya magari tunayapenda na tuna mahitaji nayo mwanawane lakini hizo hela za kulipa kwa mkupuo ndio hatuna aisee..!!

~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
 
Mtoa maada.

Toyota mark II grande ya mwaka 2003 yenye yenye Engine ya 1G Inaenda kwa bei gani?

Sitaki zile zenye engine ya 1J....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mkuu nikiwa na 15.5m nikija kwenye ofisi yenu mnanipatia hiyo gari ikiwa na vibali vyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nataka Toyota liteace au Suzuki carry zinaweza kuwa bei gani
 
Toyota Rush Umbali KM 80 Kushuka Chini Naipata Kwa Tsh Ngapi Nikija Kwenu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huo utaratibu wa kulipa kidogo ukoje na unachukua muda gani..?? Haya magari tunayapenda na tuna mahitaji nayo mwanawane lakini hizo hela za kulipa kwa mkupuo ndio hatuna aisee..!!

~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~

Huu ni utaratibu wa kawaida kwa kuwekeza. Ni sawa na unajihifadhia kidogo kidogo mwenyewe ili uje kutimiza lengo lako, ila kwa kutambua dharula nyingi zinazotokea ndipo tukapewa wazo na baadhi ya wateja kwamba waweke pesa kwenye akaunti yetu maalumu mpaka kitakapotimia kiasi cha kumuwezesha kuagiza gari flani.

Tunapenda anayewekeza asizidishe miezi 24 na asiwe chini ya miezi 3. Hii ni sawa na wamama wengi wanavyofanya kwamba, wanaenda kwa muuza Friji wanalipa kidogo kidogo then kiasi kikitimia anachukua friji yake.
 
Mkuu Noah old model mnauzaji happy kwenu, je kwa mtu wa kipato cha kati inaweza kumfaa?
 
Hizi ni baadhi tu kutoka katika stock washirika. Gharama zimejumuisha Manunuzi, Usafiri, Ushuru na Gharama za Bandari.

Kimomwe Motors (T) Ltd waagizaji wa Magari kutoka Japan, Singapore, Ulaya Dubai na Korea tunaokoa Mda na Tunaokoa Pesa



Zaidi piga 0746267740 Au tembelea Ofisi zetu za Dar es Salaam na Mbeya.

HERI YA MWAKA MPYA KWETU SOTE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…