and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Kupenda na Kumiliki ni vitu tofautiNami penda sana gari za Toyota Opa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupenda na Kumiliki ni vitu tofautiNami penda sana gari za Toyota Opa
Kuna gari kama Toyota Rush, Toyota IST, Toyota Raum, Toyota Cami, Toyota Vitz, Toyota, Fun Cargo, Passo, Nissan Note, Nissan March, Subaru Impreza, Pajero Mini, Premio, Terrious Kid, n.k
Tc-v kiboko ya wote. Pesa ikitumwa inazuiwa mpaka mwenye gari Japan aipakie kwenye meliAsante Sana mkuu Kwa elimu Pana
Mimi nimeagiza Toyota rumion ya 2008 kupitia SBT Tanzania juzi tarehe 19/08 na baada ya kufanya malipo ya awali (CIF) nilitumiwa email Ile juzi na Jana pia nimepata email kutoka NBC bank kuwa pesa Yangu imeshatumwa....
Nilikuwa mwoga bure Tu kama ningejua ningeagiza gari kupitia tradecarview Ila ndiyo hivyo nimeshafanya biashara na SBT Japan pia bado mpaka Leo nasubir nimeambiwa kuanzia tar20 September itakuwa umefika bongoTc-v kiboko ya wote. Pesa ikitumwa inazuiwa mpaka mwenye gari Japan aipakie kwenye meli
Punguza mizuka bwashee, SBT ni waaminifu balaa, hata wakichelewa relaxAsante Sana mkuu Kwa elimu Pana
Mimi nimeagiza Toyota rumion ya 2008 kupitia SBT Tanzania juzi tarehe 19/08 na baada ya kufanya malipo ya awali (CIF) nilitumiwa email Ile juzi na Jana pia nimepata email kutoka NBC bank kuwa pesa Yangu imeshatumwa...
Hata mi nimestaajabu ametembelea website zao kweli huyu, au amehadithiwa[emoji15]Nimeshangaa kuona amesema gari za Uk gharama ni ndogo kulinganisha na JP
Hata messi huwa anatoa boko 😂Hata mi nimestaajabu ametembelea website zao kweli huyu, au amehadithiwa[emoji15]
Tatizo kubwa la SBT gari zao nyingi zimeenda km nyingi sana.Punguza mizuka bwashee, SBT ni waaminifu balaa, hata wakichelewa relax
Bill of lading ile ni kama risiti ya makabidhiano ya gari yako kati ya meli inayobeba na hao sbt...
Mbona hata hao Be foward wamechezea na odometer kwa sana.Tatizo kubwa la SBT gari zao nyingi zimeenda km nyingi sana.
Magari mengi wameanza na km 100,000 na kuendelea. Au kukuta gari lenye km 150,000 ni kitu cha kawaida sana.
Mwezi mmojaNaomba kuuliza kua ukiagiza gari na ukafanya taratibu zotr kama inavo takiwa je itachukua muda gani kukufikia wewe mumliki
Odometer huwa inachezewa na muuzaji/mmiliki.Mbona hata hao Be foward wamechezea na odometer kwa sana.
Sbt magari yenye km nyingi ni ya bei rahisi, lkn yenye bei kidogo imechangamka km ni chache
Ila kwa kule japan nadhani hiyo michezo hamna.Odometer huwa inachezewa na muuzaji/mmiliki.
Kampuni kama be forward ni world wide na inaingiza revenue kubwa Sana japan,hizo biashara za kihuni zinafanywa na mtu mmoja mmoja Nyumbani kwake