PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Dualis ni gari nzuri Kwa mjini na Safarini pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss tembelea garage uzungumze na mafundi wakueleze wateja wao wengi ambao ni sisi watanzania tunanunua spare za daraja lipi!! Hizo OG unazosema wanaonunua wengi ni mashirika au serikali. Gari kama Mazda, Nissan na Mitsubishi hawana spare za daraja la chini ndio sababu vifaa vyao vinakua juu kidogo kuliko Toyota mwenye daraja la chini, kati na juu....watanzania wengi tunakimbilia hizo za chini kabisa na matokeo yake vifaa havidumu'vifaa au vipuli vyake vinakufa baada ya matumizi ya mda mrefu ikilinganishwa na gari za juu juu za Toyota.'
Uongo ndio uko hapo,ni nani amenunua spare parts org za toyota na akaona kama vipuri vyake havikai muda mrefu kulinganisha na vya Nissan?
Mkuu Spare parts fake za Nissan umeziona ngapi mtaani?Boss tembelea garage uzungumze na mafundi wakueleze wateja wao wengi ambao ni sisi watanzania tunanunua spare za daraja lipi!! Hizo OG unazosema wanaonunua wengi ni mashirika au serikali. Gari kama Mazda, Nissan na Mitsubishi hawana spare za daraja la chini ndio sababu vifaa vyao vinakua juu kidogo kuliko Toyota mwenye daraja la chini, kati na juu....watanzania wengi tunakimbilia hizo za chini kabisa na matokeo yake vifaa havidumu
Mkuu nikusahihishe kidogo...kwa sasa Nissan spea feki zipo za kumwaga kwa sababu na zwnyewe zimeanza kuwa nyingi mtaani...Boss tembelea garage uzungumze na mafundi wakueleze wateja wao wengi ambao ni sisi watanzania tunanunua spare za daraja lipi!! Hizo OG unazosema wanaonunua wengi ni mashirika au serikali. Gari kama Mazda, Nissan na Mitsubishi hawana spare za daraja la chini ndio sababu vifaa vyao vinakua juu kidogo kuliko Toyota mwenye daraja la chini, kati na juu....watanzania wengi tunakimbilia hizo za chini kabisa na matokeo yake vifaa havidumu
Ntatulia nikujibu baada ya kutafakali vizuri unachotaka kujua hapo juu...mda si mrefu sana ntarudiMkuu Sorry,hv kodi ya TRA kwenye gari inapokuwa ni kubwa kuliko CIF kwa zaid ya 1M+,Je,mteja ana option yoyote ya kupata punguzo la kodi ya uagizaji wa gari kwendana na uzoefu wako?
Hapo sasa ndio pa kujiuliza..Maana gari ya Toyota ikiwa imefanyiwa mainatanance kabla haijawa shipped ikija inakaa muda mrefu sana kabla ya mavifaa hayajaanza kusumbua. Sababu ubovu wa gari huanza na njia ikiwa rough na madimbwi.'vifaa au vipuli vyake vinakufa baada ya matumizi ya mda mrefu ikilinganishwa na gari za juu juu za Toyota.'
Uongo ndio uko hapo,ni nani amenunua spare parts org za toyota na akaona kama vipuri vyake havikai muda mrefu kulinganisha na vya Nissan?
Haya magari wabongo tunakosea sana, gari ishafanyiwa inspection Japan lakini ikishashuka kwenye meli mtu analipeleka Lumumba kufanya interior design, kufungua dashboard sijui kunyanyua juu, mwisho wa siku gari yako unaichukia balaa maana haina tena fleva zake, ukiendesha km 5 dashboard inawakaHapo sasa ndio pa kujiuliza..Maana gari ya Toyota ikiwa imefanyiwa mainatanance kabla haijawa shipped ikija inakaa muda mrefu sana kabla ya mavifaa hayajaanza kusumbua. Sababu ubovu wa gari huanza na njia ikiwa rough na madimbwi.
Kama unakaa lami kwa lami kuna gari zinadunda hata miaka 2 we ni kubadili brake na kumwaga oil tu. Na ni gari za Toyota hizi hizi mnazozipondeaga.
Any new?Ntatulia nikujibu baada ya kutafakali vizuri unachotaka kujua hapo juu...mda si mrefu sana ntarudi
Kimomwe ni wakala Tu hawauzi Magari Bali unaweza kuagiza gari yeyote mtandaoni na wao watafanya kila kitu mpaka gari inakufikia mkononi
Kuna jamaa yangu wa bandari aliinunua mnadani bandarini Subaru. Imemsulubu sana, kila jmos garage.
Ok hii Subaru inaonyesha ni nzuri