Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BILL OF LADING nindocument inayotolewa na.shipping line mara baada ya mzigo wako kupakiwa ndani ya meli,Asante Sana mkuu Kwa elimu Pana...
Wameshapata kua na amani mi mwenyewe nliagiza SBT nimeipata baada ya mwezi tu harrierAsante Sana mkuu Kwa elimu Pana...
Poa mkuu asante Kwa ushauri wakoWameshapata kua na amani mi mwenyewe nliagiza SBT nimeipata baada ya mwezi tu harrier
Shukran Mkuu Kwa kunifungua machoBILL OF LADING nindocument inayotolewa na.shipping line mara baada ya mzigo wako kupakiwa ndani ya meli,
Dicument hiyo ina details zote za msafirishaji na mnunuzi
Nani huyo amenunua hiyo Carina?Nimeuza tokea jumatatu ya wiki hii mkuu
Acha kutoa siri ya mteja mitandaoniKuna jamaa yupo Banana amenunua juzi ni mwalimu wa sekondari
Na ndio inayotumiwa kutolea mzigo bandariniShukran Mkuu Kwa kunifungua macho
Nimeshangaa kuona amesema gari za Uk gharama ni ndogo kulinganisha na JPPoint kubwa sana niliyotegemea isingekosa ni upande wa uscan. Tz tunatumia right hand ila kuna nchi tofaut zenye left hand ambayo ni changamoto kwa hapa tz. So Japani wanadrive right hand site tofaut na most of European countries (except UK, ireland etc) na USA...
Nashukuru Saana Kwa Ufafanuzi Murua Kabisa.premio zina aina 3 ya injini. Ipo injini yenye Cc 1500 ina Vvti, Ipo yenye Cc 1800 ina Vvti pia na ipo yenye Cc 2000 ambayo haina Vvti. injini inayoshauliwa zaidi ni hizo 2 zenye Vvti...
Na sisi wenye kipato cha chini ya 1.5m tunatakiwa tumiriki gari ganikwa maoni yangu binafsi, kwa wastani tunaweza kusema mtu ambae kipato chake kwa mwezi sio chini ya 1.5m na pia hakizidi 5m kwa mwezi.