Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Wewe unafikiri katika zama hizi za digital mwl mkuu angetunia zumari kuwaalika wenzake kwenye mkutano. Kuna sheria imevunjwa hapo.

Wasanii 200 wa kampeni fanyeni mtunge wimbo wenye miondoko ya 'yerusalem' kwa ajili ya JPM na CCM. Changanye na baadhi ya sets za kwata za wajaluo wa musoma.
 
Mbona ni mualiko, kuna tatizo gani sasa
 
Wapigaji wamemchoka wale waliozoea kula pesa ya mabango wakati wa kampeni.

Wazalendo wa kweli hawawezi kumchoka, wanatambua maono aliyonayo yalivyo na uhusiano na maisha yao.

Wenye kujua maana ya upanuzi wa bandari na uboreshaji wa viwanja vya ndege hawawezi kumchoka.
 
Nikiangalia sura za waliopo kwenye kampeni naona ni sura za vijana wa mtaani wakiburudika na jembe lao Magufuli .....hivi mkoa wa shinyanga unaweza kuwa na walimu wangapi??
 
Huyu naye amevutiwa na nini kama JPM amepoteza mvuto?
 
nimetazama mkutano wake wa leo Shinyanga ni kama anawakaripia wananchi 🤣 🤣 🤣
 
Si ni mualiko , Chadema wao wanapiga overall wanasema watu wote mnaalikwa kwenye mkutano , CCM wanaspecify kila group linaalikwa , sion kosa hapo unless kama ni shuruti
 
Chadema mwambieni Robertson wa Amsterdam, lissu ni Rais [emoji3]
 
Alichosahau tu ni kwamba canter na mafuso ya kuwabeba hayana mafuta!
 
Juzi tu mheshimiwa Sana na mtetezi wa haki za binadamu na zile zisizofaa Kwa tamaduni zetu" aliwahimiza watu wote kutoka sehemu zote za nchi yetu kumsindikiza kwenda kuchukua fomu za kuteuliwa kuwa mgombea wa uraisi! Je alikosea?
 
Kumbe ni "waalike". Hii haimshurutishi mwalim kuhudhuria mkutano husika.
 
Kwani serikali bado inaongozwa na chama gani kwa sasa? Kama wapinzani wana sera nzuri na mgombea anaefaa mafuriko mbona yapo tuu, hofu ya nini??? Mimi mikutano yote ya Lowasa Mbeya 2015 nilihudhuria na wala sikuambiwa na mtu tishirt nilinunua elf 15 kofia 15 wala haikuniuma,kwa hiyo upinzani mwaka huu mbona kutetemeka kwingi, Kwani kuna wasiwasi nawagombea waliosimamishwa? Mara Magufuli katoa rushwa kununua kuku.. Leo katumia waalimu sms Kwani waalim ni watumishi wa serikali ya chama gani??????
 
Si bora hiyo inasoma ni mwaliko

msg yetu walimu inasema hivi nanukuu

Walimu wote wa darasa la 1.2,3,5,6 na wale ambao hamtakuwa na vipindi darasa la 4 mnatakiwa kuja kwenye mkutano wa ugombea urais wa chama cha mapinduzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…