Siku hizi hakuna fahari Kuna JF member. Hakuna Great Thinkers kabisa.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na ukweli lazima tuuseme hadharani, CCM ina hali mbaya na inazidi kuwa tete kila uchao.
Wamejaribu kutumia viongozi wa dini kusifu na kuabudu juhudi, ngoma imegoma. Alichokipata PM huko alikoenda wote tumeona na hata mikutano ya mama isiyokuwa na wasanii tunaona hali ilivyo tete..
Kwa jinsi JPM alivyomnanga atafanya lakini nafsi haikubali.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na ukweli lazima tuuseme hadharani, CCM ina hali mbaya na inazidi kuwa tete kila uchao.
Wamejaribu kutumia viongozi wa dini kusifu na kuabudu juhudi, ngoma imegoma. Alichokipata PM huko alikoenda wote tumeona na hata mikutano ya mama isiyokuwa na wasanii tunaona hali ilivyo tete...
Hakika.Siasa za Tanzania ni kamlango ka dhambi isiyosameheka aisee
Wewe huoni tofauti?? Ondoka hapa wewe sio GTSiku hizi hakuna fahari Kuna JF member. Hakuna Great Thinkers kabisa..
Suala la Kikwete kushiriki Kampeni ni suala la utamaduni tangu enzi,
Nyerere alishiriki Kampeni akiwa mstaafu, Mwinyi alifanya hivo, Mkapa alifanya hivo sasa kwa Kikwete AJABU iko wapi..
Wewe kama uliajiriwa kazi ya ufariji endelea kujifariji tu ila october sio mbaliMsema kweli ni mpenzi wa Mungu na ukweli lazima tuuseme hadharani, CCM ina hali mbaya na inazidi kuwa tete kila uchao.
Wamejaribu kutumia viongozi wa dini kusifu na kuabudu juhudi, ngoma imegoma. Alichokipata PM huko alikoenda wote tumeona na hata mikutano ya mama isiyokuwa na wasanii tunaona hali ilivyo tete.
Ukiangalia mikutano ya PM na mama isiyokuwa na wasanii na maroli utagundua namna CCM ilivyo na hali mbaya.
Sasa Kikwete anaingia ulingoni kuokoa jahazi kama Hayati JK kipindi cha marehemu Mkapa. Vipi ataweza mziki huu? Asipopewa wasanii na maroli ataweza? Japo nguvu ya Kikwete siyo ya kubeza ukizingatia watanzania tulivyommiss na sifa alizomwagiwa na wapinzani kipindi hiki.
Kuke field umeona hali ya Samia Suluhu na PMTatizo lenu makamanda munaamini kura zitapigwa Jf, FB na twitter . Likes za mitandaoni zinamdanganya sana lissu.
Awe mwangalifu la sivyo atapoteza mvuto wote.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na ukweli lazima tuuseme hadharani, CCM ina hali mbaya na inazidi kuwa tete kila uchao.
Wamejaribu kutumia viongozi wa dini kusifu na kuabudu juhudi, ngoma imegoma. Alichokipata PM huko alikoenda wote tumeona na hata mikutano ya mama isiyokuwa na wasanii tunaona hali ilivyo tete...
Kwani wanaolike ni panya?Tatizo lenu makamanda munaamini kura zitapigwa Jf, FB na twitter . Likes za mitandaoni zinamdanganya sana lissu.
Wewe ni mgeni hapa Tanzania?Mawakala wenu watakua wapi mpaka kura ziibiwe?.
Tutashangaa mtakuja na matusi mapya?Kama ushindi halali haina shida kwani ndio demokrasia. Lakini kama ni wizi nyie tangazeni lakini mtashangaa
Elewa mantiki ya ushiriki wa Nyerere kwa Mkapa au JK kwa Magu mitano ya kwanza.Siku hizi hakuna fahari Kuna JF member. Hakuna Great Thinkers kabisa..
Suala la Kikwete kushiriki Kampeni ni suala la utamaduni tangu enzi,
Nyerere alishiriki Kampeni akiwa mstaafu, Mwinyi alifanya hivo, Mkapa alifanya hivo sasa kwa Kikwete AJABU iko wapi..
Tatizo lenu makamanda munaamini kura zitapigwa Jf, FB na twitter . Likes za mitandaoni zinamdanganya sana lissu.
Tunashukuru kwa ndoto za mchanaMsema kweli ni mpenzi wa Mungu na ukweli lazima tuuseme hadharani, CCM ina hali mbaya na inazidi kuwa tete kila uchao.
Wamejaribu kutumia viongozi wa dini kusifu na kuabudu juhudi, ngoma imegoma. Alichokipata PM huko alikoenda wote tumeona na hata mikutano ya mama isiyokuwa na wasanii tunaona hali ilivyo tete..
Endelea kujifariji. Kama una presha tar 28 wa kumi kaa mbali na vyombo vya habari ikiwezekana tupa mbali simu yako.