Umeonaeeeeee?Mkiwa hamna hoja,kuweni wasomaji tu!Kwa utopolo huu hata mataga wenzako watapita kushoto!
Unaanzisha uzi kwa ajili ya mipasho utasema hili ni jukwaa la taarabu,shame!
MAGUFULI O yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeUkifuatilia kampeni zinazoendelea haswa za wagombea urais utabaini kuna baadhi ya wagombea tayari wameshatepeta au kwa lugha nyepesi wamesha choka, ila utabaini kuwa japo magufu anatumia sana usafiri wa gari na kampeni za mkoa kwa mkoa wilaya kwa wilaya lk bado anaonekana ana energy/nguvu ya kutosha kila anapo pita...
Hakuna mtu wa kushindana na JPM,isipokua kwa kua wengine wako kwenye kutafuta maisha wapate chochote kwenye ruzuku, acha waendelee kujitafutia
Wauaji wakubwaAkiomba Dua na kumshukuru yeye atoaye.
Ni jambo jema na ishara ya unyenyekevu.
Safari inaendelea vizuri sana na ushindi ni dhahiri.
Lianzishwe jukwaa na liitwe "hoza na hapa na pale pamoja na mipasho"!Nyuzi kama hizi zilistahili kuwa huko!
Hilo jukwaa litawafaa sana vijana wa lumumba wanao kosa hoja za kuandika kwenye jukwaa la siasaLianzishwe jukwaa na liitwe "hoza na hapa na pale pamoja na mipasho"!Nyuzi kama hizi zilistahili kuwa huko!
Hana huruma yoyote huyo mama mnampaka sifa ambazo hanaKaharibu sana kuhusu shambulio LA Lissu.
Sijui alipatwa na nini hadi kutamka vile wakati ni mama mpole na mwenye huruma. Hata akivua hijab anaonekana ni mtulivu na kama alivyosema Magufuli ni mweupe na mzuri. [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1561200
Amen mkuu.Hakuna unye yekevu kwenye siasa zaidi ya unafiq
Hakuna mtu wa kushindana na JPM,isipokua kwa kua wengine wako kwenye kutafuta maisha wapate chochote kwenye ruzuku, acha waendelee kujitafutia
Mama yako peke yakoJamani tumsitiri bwana. Ni mama yetu huyu bwana,alighafirika tuu[emoji3]
Unaweza kunyanyua mikono kufumba macho na kuinama lakini moyoni ukawa chuki, wivu na uovu wa kila aina, hayo yanakuwa ni maigizo tuAkiomba Dua na kumshukuru yeye atoaye.
Ni jambo jema na ishara ya unyenyekevu.
Safari inaendelea vizuri sana na ushindi ni dhahiri.
Wakipita pembeni kwa sababu wanaelewa nilichowasilisha ndio ukweli mtupu hakuna wa kupambana na magu!Mkiwa hamna hoja,kuweni wasomaji tu!Kwa utopolo huu hata mataga wenzako watapita kushoto!
Unaanzisha uzi kwa ajili ya mipasho utasema hili ni jukwaa la taarabu,shame!
MNIOMBEEEEEEEEEEEEEEEE.Unaweza kunyanyua mikono kufumba macho na kuinama lakini moyoni ukawa chuki, wivu na uovu wa kila aina, hayo yanakuwa ni maigizo tu
Naona leo umepewa kitengo cha kugawa bundle ubaya umejipendelea!Masikini ya Mungu, yaani hapo na wewe unajiona umepandisha thread? Njaa mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Risasi za askari aliyesomea zifike kumi na sita hao ni chadema wenyewe hawana mafunzo!Kwakutandika watu risasi ni heavily weight kwelikweli
Huyu sijui walikua wanamdai pikipiki za wajumbe?alisema ukweli askari wa tanzania hawezi kupiga risasi 30 mtu mmoja asife hao ni wahuni tu walikodiwa na wadeni wa lissu msimuone lissu kama mtu safi sana ana yake yanayomfanya kuwa na maadaui wengi kama hivyo waka mtwanga risasi
Wakipita pembeni kwa sababu wanaelewa nilichowasilisha ndio ukweli mtupu hakuna wa kupambana na magu!