Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Mwanga wa milele umuangazia ehee bwana.apumzike kwa amani
 
We uelewa wako finyu sana, hapa tunajadili mambo ya kitaasisi we unaleta mifano ya mtu binafsi.


Sio kwa kila mtu .kuna watu wenye pesa zao cha kwanza anachojali ni quality bila kujali cost sababu pesa ipo.Anayejali cost sana ni lofa ndio maana tajiri yuko tayari kwenda kula chips mayai hoteli kubwa kwa gharama ya elfu 30 chips mayai mawili kuliko kula mtaani kwa mchoma chips mayai kwa shilingi elfu tatu mia tano

Mbona umekazana na masuala ya kukariri, kwenye mijadala huwa tunajibu hoja. Inavyo onesha wewe ndio umekaririshwa kwamba kila kitu kinakaririwa.

revise your notes. Jitahidi kuelewa unachosoma usipende kukariri tu unachosoma ili upate cheti
 
Tuwahurumie tu hawa watu
Bila kujifariji kwa maneno kama hayo watakuwa na hali ngumu ya mioyo yao..wamefura wivu, hasira na chuki..kwa sasa tuwaonee huruma..tuwaunge mkono wanapojifariji.

Juzi wamesingizia serikali imezuia chopa kuruka..mara magufuli atajiongezea muda..hawataki maendeleo ya vitu halafu hapo hapo wanaahidi kuwajengea machinga masoko.
 
Usidanganyike na mikusanyiko ya wanafunzi wa shule za msingi na chekechea wanaosombwa na malori.

1599899051676.png


1599899089221.png
 
JF ya miaka hii imekuwa nyepesi mnoo. Hata muda wa kufuatilia ratiba ya kampeni iliyotolewa na tume ya uchaguzi watu hawana, ni kutiririka tu na mada!
 
Mpaka wanajaza wanafunzi ktk mikutano yao jua hawakufikiria ingrkuwa ivyo,

dadeki zao walidhan chadema itakufa by2020 kumbe walikuwa wakiipa kiki za bure bila kujua
Pumzi imekata! Lissu hafai aisee!! Alijua mwaka huu atateremka tu mlima kitonga! Kisa amenunua ndege na kujenga flyovers. Alichokutana nacho, hatokuja akisahau kamwe.

Hili ndilo somo sahihi la kudhani maendeleo ni VITU pekee!
 
Daah! Anaumiza Sana uchumi wa mwananchi mmoja mmoja huyu jamaa

alafu hakunaga kitu kama uchumi in real, mtu kua maskini ama tajiri that all depends kwa mtu mwenyewe! wanaoendesha uchumi wa hii nchi ni wafanya biashara! izo kelele zingine ni upuuzi mtupu, mnakua kama hamjasoma bwana
 
Pumzi imekata! Lissu hafai aisee!! Alijua mwaka huu atateremka tu mlima kitonga! Kisa amenunua ndege na kujenga flyovers. Alichokutana nacho, hatokuja akisahau kamwe.

Hili ndilo somo sahihi la kudhani maendeleo ni VITU pekee!
Huyu 🐍🐍 Jeshi lote kapeleka Zanzibar kwenda kumsimika Mwinyi.
 
Hivi kama kwa miaka yote mitano alivipiga pin vyama vingine akabaki yeye na ccm yake kupiga kampeni na kutoa rushwa kila alipopita, mpaka sasa hajiamini, na anendelea na hizo kampeni, kwa nini kama tayari ana ushindi si angetulia tu ili oa wengine kwa hii miezi michache ya kampeni wagawane hizo 10% iliyobaki?

Kati ya mwaka atakaopata ugumu wa kampeni ni mwaka huu maana mbinu za ccm zimefeli na imebakia moja tu ya kutangaza kwa nguvu/mabavu aliyeshindwa kuwa kashinda.

cdm bana! mmeshindwa kushawishi watu saaahv mnasema uizi wa kura hata hatujapiga izo kura
 
Nyie ni wapuuzi sana kila kitu kwenu ni hoja. Nyie ndio mbumbumbu mnaosemwa na Selemani bwege
Bwege aliwaambia ila hamkusikia.acha dawa iwaponye kunguni nyie.ninyi bila maji ya moto hamtoki vitandani .

Kumbe mbunge bwege aliwakuna kwelikweli.poleni
 
Back
Top Bottom