Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa kila mtu .kuna watu wenye pesa zao cha kwanza anachojali ni quality bila kujali cost sababu pesa ipo.Anayejali cost sana ni lofa ndio maana tajiri yuko tayari kwenda kula chips mayai hoteli kubwa kwa gharama ya elfu 30 chips mayai mawili kuliko kula mtaani kwa mchoma chips mayai kwa shilingi elfu tatu mia tano
revise your notes. Jitahidi kuelewa unachosoma usipende kukariri tu unachosoma ili upate cheti
Bila kujifariji kwa maneno kama hayo watakuwa na hali ngumu ya mioyo yao..wamefura wivu, hasira na chuki..kwa sasa tuwaonee huruma..tuwaunge mkono wanapojifariji.
Juzi wamesingizia serikali imezuia chopa kuruka..mara magufuli atajiongezea muda..hawataki maendeleo ya vitu halafu hapo hapo wanaahidi kuwajengea machinga masoko.
Hawa watakuwa wanaenda kwa hashimu rungwe hawa.
Thubutu?Yote haya Namlaumu mwenyekiti wa tume, angemkata tu Lissu kazi ingeisha
"aitaji = hahitajiMagu aitaji kabisa kufanya kampeni. Aludi tu ikuru akare bata
Usidanganyike na mikusanyiko ya wanafunzi wa shule za msingi na chekechea wanaosombwa na malori.
Pumzi imekata! Lissu hafai aisee!! Alijua mwaka huu atateremka tu mlima kitonga! Kisa amenunua ndege na kujenga flyovers. Alichokutana nacho, hatokuja akisahau kamwe.
Hili ndilo somo sahihi la kudhani maendeleo ni VITU pekee!
Daah! Anaumiza Sana uchumi wa mwananchi mmoja mmoja huyu jamaa
Mitano tena View attachment 1567026
Huyu 🐍🐍 Jeshi lote kapeleka Zanzibar kwenda kumsimika Mwinyi.Pumzi imekata! Lissu hafai aisee!! Alijua mwaka huu atateremka tu mlima kitonga! Kisa amenunua ndege na kujenga flyovers. Alichokutana nacho, hatokuja akisahau kamwe.
Hili ndilo somo sahihi la kudhani maendeleo ni VITU pekee!
Hivi kama kwa miaka yote mitano alivipiga pin vyama vingine akabaki yeye na ccm yake kupiga kampeni na kutoa rushwa kila alipopita, mpaka sasa hajiamini, na anendelea na hizo kampeni, kwa nini kama tayari ana ushindi si angetulia tu ili oa wengine kwa hii miezi michache ya kampeni wagawane hizo 10% iliyobaki?
Kati ya mwaka atakaopata ugumu wa kampeni ni mwaka huu maana mbinu za ccm zimefeli na imebakia moja tu ya kutangaza kwa nguvu/mabavu aliyeshindwa kuwa kashinda.
AU NDO KUSEMA WANAFUNZI WANA MAPENZI NA KIONGOZI WAOSasa hiyo 90% unaipima na kuipataje ikiwa mgombea wa CCM hana mvuto, mpaka malori yatumike, shule zifungwe na wanafunzi wahudhurie?
Bwege aliwaambia ila hamkusikia.acha dawa iwaponye kunguni nyie.ninyi bila maji ya moto hamtoki vitandani .Nyie ni wapuuzi sana kila kitu kwenu ni hoja. Nyie ndio mbumbumbu mnaosemwa na Selemani bwege
Mi sio chadomo mzee.mnakana watu wenu
Hoja za msingi,Uhuru,haki na maendeleoNyie ni wapuuzi sana kila kitu kwenu ni hoja. Nyie ndio mbumbumbu mnaosemwa na Selemani bwege
NdioHaya sawa, tuseme tu Magufuli amemuachia Lissu Urais,ili uridhike 😂😂.