Spika Ndugai adai tena kuwa Lissu alishalipwa pesa zake zote

Tuna spika kimeo haijapata kutokea.
Ongea yake, tazama yake, vinatoa taswira ya upumbavu uliyomjaa.
sahihi, jambo jingine hako kajamaa nikalimbukeni sn ka madaraka...kanaongea utadhani kenyewe ndo kanatoa pumzi ya watu kuishi.
Gafla tu amejisahau aliponea kwenye tundu la sindano kule India!
 
Kweli huyu ana file Mirembe kama alivyokiri mwenyewe.... no question about it.

Kinachonishangaza. Watanzania wanamwachaje-achaje mtu wa namna hii aendelee "kuijsaidia" na kukinajisi kiti kitukufu cha spika hivi hivi miaka yote hii?

Kwa kweli Watanzania ni makondoo waliopitiliza - sidhani kama kuna taifa kama letu kokote katika sayari hii!
 
Mkuu Hero,
Kalibu kuficha ujinga ili familia yako ipate Cha kujifunza.
Ujinga huwa haufichwi bali huondolewa weye mwelevu 😜!
Kodi nilip6ni kwa maendeleo ya jamii yetu Tanzania na siyo kumpa msaliti 😠!
 
Sijakuekewa madam yani na yeye azungushwe mpaka Zanzibar, kisha hitimisho wilayani kongwa.
Ingependeza Sana ingetokea speaker ana chuki inayo mtafuna moyoni na atajitaftia maradhi ya moyo, hawa viongoz wa kikristo Wana miroho mibaya Sana ndio maana hawadumu mda mrefu.
 
huyu spika ni takataka kabisa naona swala la Lissu kuwa hai linamtesa sana na ni mtu wa chuki sana dhidi ya Lissu, Mbowe na wapinzani wengine ila ipo siku atalipia uovu wote anaoufanya"only time will tell" hata Omary Alli Bashiri alikuwa raisi ils sasa yuko wap uongozi ni koti la kuazima kesho linavaliwa na mwingne
 
Ndugai hajapona ugonjwa wake kichwani, dah Mungu si atusaidie tu kwa huyu coconut head aliyeharibu bunge.
Chadema pia acheni tukunga uzushi mitandaoni.

Kama mlijua ile document ilikua ya 2018, mka crop majina tu ila hamkuweka full pdf document ili kuwapumbaza wafuasi wenu nyumbu spika amewaumbua.
 
Malkia wa mipasho at the best level.
 
Spika mppumbavu kuwahi kutokea kila siku vijembe pumbavu zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…